Nani katetemeka?Tanzania ya sasa inahitaji watu kaliba ya wakili Boniface Mwabukusi, wanaume wa shoka, akiongea mijizi na mifisadi yote ya mali za Umma inatetemeka popote pale ilipo.
Mungu ambariki sana Rais wetu ajaye Mwabukusi,
Amina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani katetemeka?Tanzania ya sasa inahitaji watu kaliba ya wakili Boniface Mwabukusi, wanaume wa shoka, akiongea mijizi na mifisadi yote ya mali za Umma inatetemeka popote pale ilipo.
Mungu ambariki sana Rais wetu ajaye Mwabukusi,
Amina.
Mbona CCM na wewe mnaidharau chadema😂😂😂🔥
Kila nikiwatazama Hamas walivyoibadilisha Israel kwa ghafla, Hakika Dunia ya sasa usimdharau yoyote!
Unajua mtu kama Mwabukusi anaonekana ni mzalendo na jasiri sana. Na taifa linahitaji kiongozi ambaye yeye mwenyewe alipende na kulithamini alione kama mali yake binafsi kwa kuwa na uchungu nalo.Kwa sapoti kiduchu qnayopata Mwabukusi, Sasa hivi atakata upepo na kutokomea huko Busokelo
Chadema msingeramba Asali mngeheshimika sanaMbona CCM na wewe mnaidharau chadema
You are losing focus! Watu wamepewa mabilioni waunge juhudi wamezikataa, leo unabwabwaja upuuzi!Chadema msingeramba Asali mngeheshimika sana