Hakuna mwenye hata robo ya akili ya Hamas hapa TanzaniaKama Hamas wameweza kufanya waliyofanya jana kwa taifa linalosaidiwa na wamarekani na washirika wake. Mwakubusi anaweza kuwa rais wa nchi hii. Ni kujipanga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mwenye hata robo ya akili ya Hamas hapa TanzaniaKama Hamas wameweza kufanya waliyofanya jana kwa taifa linalosaidiwa na wamarekani na washirika wake. Mwakubusi anaweza kuwa rais wa nchi hii. Ni kujipanga tu.
Ila asidanganyike na hilo kundi lililomuita rais.. Abaki kwenye focus yake.. Kuwa rais sio jambo la mchezoLeo katika kufuatilia habari, nimeshangzwa sana na mapokezi ya Wakili Msomi Boniface Mwabukusi huko kwao Busokelo.
Pamoja na Mkutano wake kupigwa "stop" na jeshi Polisi, bado wananchi wengi walikuwa na hamu kubwa ya kumsikiliza shujaa huyu wa Taifa letu kwa sasa huku wakimshangilia na kumwita Rais, Rais, Rais, Rais.
Kwa hakika nathubutu kusema mioyo ya Watanzania wengi inazidi kuvutiwa na Wakili huyu.
Uchonganishi wa chama chawala.. CHADEMA hawana upuuzi huoNyimbo za chadema Tena zinafanyaje mkutano kuzuiliwa
Kwa hiyo Mshana Jr Mwabukusi hawezi kuwa Rais?Ila asidanganyike na hilo kundi lililomuita rais.. Abaki kwenye focus yake.. Kuwa rais sio jambo la mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa Mkuu, nakubaliana na wewe asilimia 100.Ila usalama wetu wa taifa ungekuwa unafuata matakwa ya wananchi na nani anafaa kuliongoza taifa kwa sasa this man is presidential material wa viwango vya juu sana
Hakuna niliposema hawezi nimesema asidanganyike nao akapoteza focus yake kwa yaliyo mbele yakeKwa hiyo Mshana Jr Mwabukusi hawezi kuwa Rais?
Kwa vigezo gani ambavyo unafikiri hana?
Sawa Mkuu, tuungane kuwaombea Wazalendo wote akiwemo na huyu mwamba Mwabukusi.Hakuna niliposema hawezi nimesema asidanganyike nao akapoteza focus yake kwa yaliyo mbele yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana[emoji1545]Sawa Mkuu, tuungane kuwaombea Wazalendo wote akiwemo na huyu mwamba Mwabukusi.
Kandete pale karibu na hospitali?Niko kandete,kwao wapi???
Mbwabwajaji tu kama wengineLeo katika kufuatilia habari, nimeshangzwa sana na mapokezi ya Wakili Msomi Boniface Mwabukusi huko kwao Busokelo.
Pamoja na Mkutano wake kupigwa "stop" na jeshi Polisi, bado wananchi wengi walikuwa na hamu kubwa ya kumsikiliza shujaa huyu wa Taifa letu kwa sasa huku wakimshangilia na kumwita Rais, Rais, Rais, Rais.
Kwa hakika nathubutu kusema mioyo ya Watanzania wengi inazidi kuvutiwa na Wakili huyu.
Awe rais wa nyumbani kwako labda.Kama Hamas wameweza kufanya waliyofanya jana kwa taifa linalosaidiwa na wamarekani na washirika wake. Mwakubusi anaweza kuwa rais wa nchi hii. Ni kujipanga tu.
Jisemee usitusemee hujatumwaAlipo Mwabukusi, tupo.
Sema rais wako hujatumwa kuwakilisha watzTanzania ya sasa inahitaji watu kaliba ya wakili Boniface Mwabukusi, wanaume wa shoka, akiongea mijizi na mifisadi yote ya mali za Umma inatetemeka popote pale ilipo.
Mungu ambariki sana Rais wetu ajaye Mwabukusi,
Amina.
Viva BAK MwabukusiTanzania ya sasa inahitaji watu kaliba ya wakili Boniface Mwabukusi, wanaume wa shoka, akiongea mijizi na mifisadi yote ya mali za Umma inatetemeka popote pale ilipo.
Mungu ambariki sana Rais wetu ajaye Mwabukusi,
Amina.
sIDHANI KAMA cHADEMA WANAWEZA KUKATAA WIMBO USIPIGWA. hII NI KISNGIZIOKUZUIA MKUTANO WAOMh. Rais ajaye wa JMT