Rejea kichwa cha habari, chahusikaRais mtarajiwa ni Lisu,Slaa au Mwabukusi?
Mbona unaderail thread za wenzio?😂😂😂🔥
Kila nikiwatazama Hamas walivyoibadilisha Israel kwa ghafla, Hakika Dunia ya sasa usimdharau yoyote!
Ni Mjinga tu anayeamini yanayotokea Palestine yatabaki huko huko!Mbona unaderail thread za wenzio?
Si umefungua thread zaidi ya mbili za Vita vya Mashariki ya kati na Mods wamekuhurumia hawajaziunganisha.Ni Mjinga tu anayeamini yanayotokea Palestine yatabaki huko huko!
Hivi Hamas ni CHAMA cha Siasa?Si umefungua thread zaidi ya mbili za Vita vya Mashariki ya kati na Mods wamekuhurumia hawajaziunganisha.
Sauti ya Watanzania Oyeee!!!Hivi Hamas ni CHAMA cha Siasa?
We jamaa inaelekea umeumia sn kupigwa kwa Israel.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91]
Kila nikiwatazama Hamas walivyoibadilisha Israel kwa ghafla, Hakika Dunia ya sasa usimdharau yoyote!
Wewe ni yule au yule ni wewe?🤣Si umefungua thread zaidi ya mbili za Vita vya Mashariki ya kati na Mods wamekuhurumia hawajaziunganisha.
Well.. mimi sio mwenye thread lakini Yohana kila uzi anaingiza stori za GazaWewe ni yule au yule ni wewe?🤣
Alipo Mwabukusi, tupo.Kama Hamas wameweza kufanya waliyofanya jana kwa taifa linalosaidiwa na wamarekani na washirika wake. Mwakubusi anaweza kuwa rais wa nchi hii. Ni kujipanga tu.
OyeeeeSauti ya Watanzania Oyeee!!!
Usimkataze Mwizraeli wa Temeke Sudan kutema nyongo banaWell.. mimi sio mwenye thread lakini Yohana kila uzi anaingiza stori za Gaza
Kumbe ni Jirani yangu wacha nimkaribishe Gahwa na Konyagi😁Usimkataze Mwizraeli wa Temeke Sudan kutema nyongo bana