Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kule nani alitoa rushwa na alimpa nani?Huko rushwa (aliyoisema lisu) haikutembea kama kule kwa akina Msigwa vs Sugu?
Mgombea mmoja ametuhumiwa kuwahonga msimamizi na wapiga kura. Si unaikumbuka ile sikendo ya makreti ya bia.Kule nani alitoa rushwa na alimpa nani?
Msimamizi wa Uchaguzi kwenye uchaguzi huru na haki anawezaje kubadili matokeo?Mgombea mmoja ametuhumiwa kuwahonga msimamizi na wapiga kura. Si unaikumbuka ile sikendo ya makreti ya bia.
Btw, mgombea mmoja aliandika barua ya malalamiko kwa K/M!
Kwa hiyo ni sawa tu msimamizi kuhongwa?Msimamizi wa Uchaguzi kwenye uchaguzi huru na haki anawezaje kubadili matokeo?
Hayo mambo tumemiachieni huko kwenu,japo mlifanya majaribio ya kupenyeza penyeza tupesa pesa twenu,sisi mambo yetu ya msingi ni zaidi ya tupesa pesa twenu tena twakukwapua🤣Huko rushwa (aliyoisema Lissu) haikutembea kama kule kwa akina Msigwa vs Sugu?
Ahongwe ili afanye nini?Kwa hiyo ni sawa tu msimamizi kuhongwa?
Na Mrema akaondolewa kusimamia Uchaguzi akaletwa Benson KigailaMgombea mmoja ametuhumiwa kuwahonga msimamizi na wapiga kura. Si unaikumbuka ile sikendo ya makreti ya bia.
Btw, mgombea mmoja aliandika barua ya malalamiko kwa K/M!
Mbona alibadilishwa?Msimamizi wa Uchaguzi kwenye uchaguzi huru na haki anawezaje kubadili matokeo?
Aliomba kukaa pembeni baada ya kutuhumiwa ili waliomtuhumu waridhike, lakini hakuwa na uwezo wa kupanga safu yakeMbona alibadilishwa?
Uchaguzi si uadui Msigwa na Sugu ni ndugu Wote baba yao ni Jah people wa Makambako 😂😂Aliomba kukaa pembeni baada ya kutuhumiwa ili waliomtuhumu waridhike, lakini hakuwa na uwezo wa kupanga safu yake
Halafu huu uchaguzi wa cdm unasimamiwa na viongozi wa chadema, kwahiyo tusitegeme3 wanuniane, watasalimiana tu maana wanajuana na wako pamoja miaka mingi, Uchaguzi si uadui
Niwamachama tu wa kawaida wa ChademaIlikuwa busara kutuonesha safari ya Matata kisiasa - (biography)
PCB kazi yeke nini?Huko rushwa (aliyoisema Lissu) haikutembea kama kule kwa akina Msigwa vs Sugu?