Mkuu kwani kuna vyama ambavyo chaguzi zao ndani ya Chama zinagubikwa na Rushwa, utengano, vifo na aina yeyote ya kuto aminiana?Aliomba kukaa pembeni baada ya kutuhumiwa ili waliomtuhumu waridhike, lakini hakuwa na uwezo wa kupanga safu yake
Halafu huu uchaguzi wa cdm unasimamiwa na viongozi wa chadema, kwahiyo tusitegeme3 wanuniane, watasalimiana tu maana wanajuana na wako pamoja miaka mingi, Uchaguzi si uadui