TANZIA Wakili msomi Judith Mushumbusi hatunae tena

TANZIA Wakili msomi Judith Mushumbusi hatunae tena

Akikufikia au wapendwa wako utamfahamu vyema.
Sikukuomba ujibu kama hukuwa na jibu la busses la kunipa😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎👎

Nonsense
 
Aina mpya ya corona toka South Africa.Ipo pia ya Kenya inatokana na ngamia zote hizo ni mwendo Kasi zinaua haraka sana. RIP. Judith 🙏
Asante mkuu kwa kunifahamisha ubarikiwe 🙏🙏
 
P
Watanzania fanyeni mazoezi, mwili unatakiwa uchangamshe.

Jitahidini hata utembee km 2 kwa siku.

Huu ugonjwa hauna madhara kwa watu wanaoushughulisha mwili.

Mbona mama ntilie, machinga, wapiga debe, mafundi ujenzi, wanamichezo, dereva bajaji na bodaboda hawafi?

Sababu miili yao haikai kizembe kama hawa wanaokaa kwenye viyoyozi ofisini.

Note:
Tangu Corona ianze hakuna mwanamichezo duniani Pierre nkurunzinza hakuwa mwanamichezo?
 
Magufuli ndiye sababu ya mambo yote kwenda mrama! Ila Tanzania kusema kweli tuna wasomi na raia wajinga na waoga sijawahi kuona. Kama yule prof. wa chuo Kikuu Huria alivyotoa tahadhari nimeshangaa mno mno kada ya wasomi inamwambia aombe radhi. Hii nchi kuna limwata tumelishwa si bure! Inakuwaje mtu mmoja tena anaoneka kama mentaly unstable apelekeshe nchi nzima?

Uoga wetu ndio kifo chetu. Watu wanamuogopa jamaa hatari.
 
Ukipata kusimuliwa na mtu aliyepata huyu mdudu mpya namna hali anayopitia, sidhani kama utaichukulia poa hii makitu...

Mkuu kuna dada Nesi Muhimbili pale, yeye ndie alianza kuni-alert kuwa kuna uwezekano mtaani Corona imeanza kuwa nyingi kwa sababu Kuna siku walipokea wagonjwa karibu 200, na walikuwa na dalili zote.
Nikamuonya awe makini sana, na Wagonjwa na Manesi wanaowahudumia maana yeye alikuwa anaripoti kwa Boss tu.
Siku chache Baadae akaanza kulalamika kuchoka, siku ya pili akachoka sana kuliko jana yake.
Siku ya Tatu akanipigia kuwa anajisikia vibaya na maumivu ya Kichwa, nikajua Tayari mtihani ushampata. Mpaka kufikia mchana alikuwa keshakunywa Dawa za maumivu kupita kiwango chake, maana alikuwa analalamika mwili kuuma sana na maumivu makali ya Kichwa.
Mi nikamshauri aondoke arudi nyumbani, akaenda kuanza Dozi ya Tangawizi na Limao, kuanzia saa 8 mpaka 7 Usiku alikunywa karibu mara 6, ndio iliomsaidia Asubuhi akaamka kidogo nafuu. Alipofika nyumbani hali aliyonayo wadogo zake walidhani Dada yao anarudi kwa muumba.
Ukihadithiwa na mtu alieugua serious Corona hutailetea masihara. Nauheshimu mno huu Ugonjwa.
 
Dah inasikitisha sana.

Ukute hata alikuwa bado hajawarudishia wazazi gharama za kumsomesha.
Kwa nini uwarudishie wazazi hela ya kukusomesha wakati ni wajibu wao? Wewe unawalipia wanao ada kubwa kubwa ili waje wakurudishie hapo baadaye? Mawazo ya kijinga kabisa haya yanayosababisha watoto wawe watumwa kwa wazazi wao maisha yao yote, na kusababisha stresses zisizo na sababu kwa watoto.
 
Kwa nini uwarudishie wazazi hela ya kukusomesha wakati ni wajibu wao? Wewe unawalipia wanao ada kubwa kubwa ili waje wakurudishie hapo baadaye? Mawazo ya kijinga kabisa haya yanayosababisha watoto wawe watumwa kwa wazazi wao maisha yao yote, na kusababisha stresses zisizo na sababu kwa watoto.
Kwani wewe ukiwa mtumwa kwa wazazi wako unapungukiwa nini?.

Ukweni unasomesha mpaka mashemeji zako,ila mzazi wako hutaki aje hata mjini akutembelee eti atakuaibisha.

Mzazi anaridhika hata na kidogo unachompa na anakubariki,hakupangii kiwango.

We una bahati sana kwa kuwa wazazi wako walikuwa na kipato wakakusomesha bila stress,sisi unarudishwa nyumbani sababu ya ada mama anaenda kuweka rehani godoro analala chini ili uende shule.mkuu hujanishawishi bado kutowakumbuka wazazi kwa shida walizopitia ili niwe na maisha bora.

Sa hii unaringa juu shule ni bure,kutana na sisi ambao mkoa nzima ulikuwa na shule tano za sirikali, ili usome lazima upelekwe shule za private.

Kwa kuwa sa hivi nyie mliozaliwa juzi shule ni bure huna haja ya kurudishia gharama ya upendo.
 
Magufuli ndiye sababu ya mambo yote kwenda mrama! Ila Tanzania kusema kweli tuna wasomi na raia wajinga na waoga sijawahi kuona. Kama yule prof. wa chuo Kikuu Huria alivyotoa tahadhari nimeshangaa mno mno kada ya wasomi inamwambia aombe radhi. Hii nchi kuna limwata tumelishwa si bure! Inakuwaje mtu mmoja tena anaoneka kama mentaly unstable apelekeshe nchi nzima?
Mkuu katika utawala kuna kitu kinaitwa kambale mwenye ndevu, kambale lenye ndevu linatakiwa kuwa moja......
 
Hivi kuna ugumu gani kwa Magufuli kudeclear kwamba gonjwa lipo na hivyo kuwapa uhuru wataalamu wa afya kufanya kazi zao bila woga kwamba wanapingana na mwenye Nchi?

Hakuna fedheha wala aibu kusema kwamba Corona “imerudi” baada ya kuwa “tumeiondoa” kwa maombi yetu July 2020

Kinyume chake ni ujuha tu na upunguwani
Tatizo alitumia jina Mungu kuhalalisha dhana kwamba tumeishinda Corona.... Sasa ni ngumu kurudi nyuma, hebu jiweke kwenye viatu vyake, nchi ya "wacha" Mungu, umewaambia tupige maombi na "muujiza" umetokea. Unarudije kuwaambia ugonjwa umerudi tena?

Ndio maana mwanasiasa siku zote haipaswi kuwa na closed au definitive statements. Ongea kwa namna ambayo kesho unaweza rudi nyuma kwa aibu kidogo. Hizi kauli za "kamwe" na "tumeshashinda" ndio zinambana sasa hivi. Hawezi kurudi nyuma
 
Back
Top Bottom