TANZIA Wakili msomi Judith Mushumbusi hatunae tena

Ni kweli cha,msingi kuchukua tahadhari kubwa mno.

Huu ugonjwa ukikukuta una sukari au presha, ni kama umepuliza puto alafu, ukachukua sindano ukaipeleka moja kwa moja kwenye puto kitakacho tokea nadhani unajua.
Siku hizi hata watu wakifa sababu ikiwa abortion, bado utaambiwa ni Corona!!
 
Acha upuuzi we mtoa mada, unao uthibitisho ni Corona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…