Wakili msomi Kibatala

Wakili msomi Kibatala

It's non-sense kumuita wakili msomi, kwani mawakili wapo ambao hawajasoma?

All over the World sio hoja ya msingi, kama tunataka kuangalia hivyo basi mambo yote ya kijinga yanayofanyika huko kwa wenzetu nasisi utashauri tuyafanye?

Watalaamu wa sheria, kwani kuna mtu anafanya kazi za sheria na sio msomi wa mambo ya sheria?

Watu weusi tunapenda kujikweza sana huu ndio ukweli.

Mheshimiwa flani, mbona huko kwa wenzetu unakolilia husikii wakisema honorable President Obama au honorable President Donald Trump?
Utasikia US President Donald Trump
Sasa hapa kwetu sema waziri John bila kutaja muheshimiwa Waziri John.

Ujinga mtupu, tunakomalia vyeo vya kijinga kuliko kufanya mambo ya maana.

Uliwahi kusikia Nyerere akiitwa Muheshimiwa? Unadhani kwanini hakuwahi kuitwa muheshimiwa ilihali alikua rais?

Watanzania tuache mambo ya sifa za kijinga
Safi sana kaka eti hadi diwani "Mhashimiwa diwani"..... non sense!
 
Wanasheria duniani kote wana utaratibu wa kuitana,learned counselors ,learned brothers,sisters,My Lord, nk.Ni utamaduni tuuu,ni professional language,ni slang yao.Msitoe povu.
Yes, hata hapa nikiangalia supreme Court of Kenya, my lord clause imetawala.
 
It's non-sense kumuita wakili msomi, kwani mawakili wapo ambao hawajasoma?

All over the World sio hoja ya msingi, kama tunataka kuangalia hivyo basi mambo yote ya kijinga yanayofanyika huko kwa wenzetu nasisi utashauri tuyafanye?

Watalaamu wa sheria, kwani kuna mtu anafanya kazi za sheria na sio msomi wa mambo ya sheria?

Watu weusi tunapenda kujikweza sana huu ndio ukweli.

Mheshimiwa flani, mbona huko kwa wenzetu unakolilia husikii wakisema honorable President Obama au honorable President Donald Trump?
Utasikia US President Donald Trump
Sasa hapa kwetu sema waziri John bila kutaja muheshimiwa Waziri John.

Ujinga mtupu, tunakomalia vyeo vya kijinga kuliko kufanya mambo ya maana.

Uliwahi kusikia Nyerere akiitwa Muheshimiwa? Unadhani kwanini hakuwahi kuitwa muheshimiwa ilihali alikua rais?

Watanzania tuache mambo ya sifa za kijinga
Utasikia eti raisi dk shika,rais professor majimarefu! Raisi ni raisi tu akitaka udk akafundishe au akatibu tujue moja bana.
 
Unajuaje kama usomi huo unaozungumza ndio umepelekea mteja wake akapewa adhabu ndogo (miaka miwili sawa na miezi kadhaa) kiasi cha mteja huyo kuafikiana nacho na kumtaka asikate rufaa?
 
Kama OJ Simposon aliweza kuchomolewa kwenye tuhuma ya mauwaji ya mtalaka wake na mpenzi wa mtalaka wake, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri aliweza kuchomoka kesi ya kuua dreva wa daladala SWALI imekuwaje wakili msomi kibatala kashindwa kumchomoa LULU. Je aendelee kujiita wakili msomi wakati kesi rahisi kama hii imemshinda
Marando alimchomoa Mnyere na mauaji ya Mpenzi wake....tena Mauaji ya makusudi kabisa.
 
Walioandika hapa wote sina hakika kama kuna mtu hata mmoja amesoma walau hata darasa moja la sheria,hakuna wakili asieshindwa kesi,lakini pia kazi ya wakili yeyote ni kuisaidia mahakama kufikia maamuzi ya haki dhidi ya mteja wake,sasa kesi kwa sababu wakili alikuwa kibatala lulu aachiwe tu hata kama ana hatia ?
 
It's non-sense kumuita wakili msomi, kwani mawakili wapo ambao hawajasoma?

All over the World sio hoja ya msingi, kama tunataka kuangalia hivyo basi mambo yote ya kijinga yanayofanyika huko kwa wenzetu nasisi utashauri tuyafanye?

Watalaamu wa sheria, kwani kuna mtu anafanya kazi za sheria na sio msomi wa mambo ya sheria?

Watu weusi tunapenda kujikweza sana huu ndio ukweli.

Mheshimiwa flani, mbona huko kwa wenzetu unakolilia husikii wakisema honorable President Obama au honorable President Donald Trump?
Utasikia US President Donald Trump
Sasa hapa kwetu sema waziri John bila kutaja muheshimiwa Waziri John.

Ujinga mtupu, tunakomalia vyeo vya kijinga kuliko kufanya mambo ya maana.

Uliwahi kusikia Nyerere akiitwa Muheshimiwa? Unadhani kwanini hakuwahi kuitwa muheshimiwa ilihali alikua rais?

Watanzania tuache mambo ya sifa za kijinga
Uko sahihi mkuu,ili ni tatizo la Africa wanapenda sifa wakati sifa nimatokeo.
 
Raisi Dokta Magufuli....hahaha upuuzi mtupu hawa wandishi,nimeshawahi kuona raisi wa Tanzania anaitwa Mheshimiwa raisi Dokta Magufuli kwenye Dar24 website😱😱


USA wao wanaita Mr. President.
 
Marekani hata kama ni Professor lakini ukiwa Rais unaitwa Mr. President hakuna mbwembwe zingine tena.
 
Drama tu hizo, watu waongo sana.
Hapa bongo sikuwahi kusikia mwanasheria akiitwa wakili msomi zaidi ya huyo Kibatala.
Kwamba mawakili wengine hapa bongo hawajasoma au vipi?
Wewe sasa unaonyesha kuchanganyikiwa. Jitahidi kuielewa dunia ndugu. Kibatala na mawakili wenzake ni wasomi( learned), wewe unapotoka povu kwa ajili ya Kibatala ni kisokorokwinyo chako tu. Utakufa na kijiba rohoni. Utateswa sana na mambo yaliyo nje ya uwezo wako.
 
Kuita msomi tafsiri yake ni pana kidogo sio kama mnavyofikiri na sio kibatala tu mawakili wote wanaitwa mawakili wasomi,majaji na mahakimu pia,msomi wa biashara kwa mfano,uelewa wake itakuwa ni biashara lakini wakili anatetea mteja yeyote awe ni kashtakiwa,rubab
 
Wewe sasa unaonyesha kuchanganyikiwa. Jitahidi kuielewa dunia ndugu. Kibatala na mawakili wenzake ni wasomi( learned), wewe unapotoka povu kwa ajili ya Kibatala ni kisokorokwinyo chako tu. Utakufa na kijiba rohoni. Utateswa sana na mambo yaliyo nje ya uwezo wako.
Kwa uandishi huo unafaa sana kuishi na wamama wa uswahilini.
Naona una degree ya mipasho.
Mi ni mwanaume sijui mipasho mkuu.
 
It's non-sense kumuita wakili msomi, kwani mawakili wapo ambao hawajasoma?

All over the World sio hoja ya msingi, kama tunataka kuangalia hivyo basi mambo yote ya kijinga yanayofanyika huko kwa wenzetu nasisi utashauri tuyafanye?

Watalaamu wa sheria, kwani kuna mtu anafanya kazi za sheria na sio msomi wa mambo ya sheria?

Watu weusi tunapenda kujikweza sana huu ndio ukweli.

Mheshimiwa flani, mbona huko kwa wenzetu unakolilia husikii wakisema honorable President Obama au honorable President Donald Trump?
Utasikia US President Donald Trump
Sasa hapa kwetu sema waziri John bila kutaja muheshimiwa Waziri John.

Ujinga mtupu, tunakomalia vyeo vya kijinga kuliko kufanya mambo ya maana.

Uliwahi kusikia Nyerere akiitwa Muheshimiwa? Unadhani kwanini hakuwahi kuitwa muheshimiwa ilihali alikua rais?

Watanzania tuache mambo ya sifa za kijinga


Watanzania tunapenda sana sifa ya kutukuzwa...mfano kwenye Business card ya mtu utakuta kaandika HON,DR,PH holder,REV,..........Vyeo vyoote anataka visomeke kwenye card kabla ya jina lake....au Dk 10 zinatumika kutaja vyeo, tuzo alizotunukiwa, na elimu yake tu kabla ya jina lake... na hapo siyo kwenye mazishi bali ni utambulisho tu wa kawaida.....ha ha ha haaa...Wabongo tunapenda sana kujikweza...
Huko kwa wenzetu tunakokwenda kupata hizo elimu wala hawana hizo mbwembwe...
 
Binafsi naona Msomi wakili Kibatala kajitahidi sana sana, bila kuweka jitihada hizo , nahisi Mrembo Lulu angehukumiwa miaka mingi sana. Na kikubwa ni hicho cha Lulu kupata dhamana ya kuwa nje kwa dhamana wakati kesi ilipokuwa haijatolewa hukumu.
Huo mwaka mmoja atakaokaa Lulu wala siyo mudamrefu sana.....Mungu tu ampe moyo wa Subira, nikiamini akitoka huko atakuwa mtoto mwema sana. Makosa wakati mwingine yanatufundisha japo kupitia mafunzo hayo wakati mwingine tunaumia.
 
Mama yake unamtwisha mzigo usiokuwa wake mkuu, Kama una watoto subiri utaona

Japo jamii inaamini kuwa tabia ya mtoto inachangiwa sana na malezi anayopata toka kwa wazazi,walezi,ndugu,jamii,marafiki,mazingira.....ila inasahau kuwa kuna watoto wengine jamani hata wazazi wangejitahidi vipi kuwalea katika misingi bora ya malezi ila bado huyo mtoto anajiamulia tu kuwa Nunda. Malezi ya watoto wakati mwingine hakuna anayeweza kujisifu kuwa yeye ndiye mlezi bora . Mungu pekee ndiye ajuaye hatima ya watoto wetu....Ila bado wazazi , walezi tunawajibu wa kuendelee kuwajibika kwa watoto wetu.
 
Drama tu hizo, watu waongo sana.
Hapa bongo sikuwahi kusikia mwanasheria akiitwa wakili msomi zaidi ya huyo Kibatala.
Kwamba mawakili wengine hapa bongo hawajasoma au vipi?
Wale Mawakili wa serikali walio pewa jukumu la kwenda kusimamia ile kesi ya samaki wa magufuli na kupigwa nje nao utadhubutu kusema walikuwa mawakili wasomi?

Ile kesi angeisimamia wakili msomi Kibatala angewalaza mapema kabisa
 
Back
Top Bottom