Wakili msomi Kibatala

Wakili msomi Kibatala

Kama OJ Simposon aliweza kuchomolewa kwenye tuhuma ya mauwaji ya mtalaka wake na mpenzi wa mtalaka wake, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri aliweza kuchomoka kesi ya kuua dreva wa daladala SWALI imekuwaje wakili msomi kibatala kashindwa kumchomoa LULU. Je aendelee kujiita wakili msomi wakati kesi rahisi kama hii imemshinda
Kama ni rahisi kiasi hicho kwanini usiende wewe kuonyesha umwamba wako wa sheria!
 
Japo jamii inaamini kuwa tabia ya mtoto inachangiwa sana na malezi anayopata toka kwa wazazi,walezi,ndugu,jamii,marafiki,mazingira.....ila inasahau kuwa kuna watoto wengine jamani hata wazazi wangejitahidi vipi kuwalea katika misingi bora ya malezi ila bado huyo mtoto anajiamulia tu kuwa Nunda. Malezi ya watoto wakati mwingine hakuna anayeweza kujisifu kuwa yeye ndiye mlezi bora . Mungu pekee ndiye ajuaye hatima ya watoto wetu....Ila bado wazazi , walezi tunawajibu wa kuendelee kuwajibika kwa watoto wetu.

Yeah! Just play your part but no grantee that you will succeed, MUNGU TU
 
It's non-sense kumuita wakili msomi, kwani mawakili wapo ambao hawajasoma?

All over the World sio hoja ya msingi, kama tunataka kuangalia hivyo basi mambo yote ya kijinga yanayofanyika huko kwa wenzetu nasisi utashauri tuyafanye?

Watalaamu wa sheria, kwani kuna mtu anafanya kazi za sheria na sio msomi wa mambo ya sheria?

Watu weusi tunapenda kujikweza sana huu ndio ukweli.

Mheshimiwa flani, mbona huko kwa wenzetu unakolilia husikii wakisema honorable President Obama au honorable President Donald Trump?
Utasikia US President Donald Trump
Sasa hapa kwetu sema waziri John bila kutaja muheshimiwa Waziri John.

Ujinga mtupu, tunakomalia vyeo vya kijinga kuliko kufanya mambo ya maana.

Uliwahi kusikia Nyerere akiitwa Muheshimiwa? Unadhani kwanini hakuwahi kuitwa muheshimiwa ilihali alikua rais?

Watanzania tuache mambo ya sifa za kijinga
His Excellence President Obama,nayo hujaisikia?
 
It's non-sense kumuita wakili msomi, kwani mawakili wapo ambao hawajasoma?

All over the World sio hoja ya msingi, kama tunataka kuangalia hivyo basi mambo yote ya kijinga yanayofanyika huko kwa wenzetu nasisi utashauri tuyafanye?

Watalaamu wa sheria, kwani kuna mtu anafanya kazi za sheria na sio msomi wa mambo ya sheria?

Watu weusi tunapenda kujikweza sana huu ndio ukweli.

Mheshimiwa flani, mbona huko kwa wenzetu unakolilia husikii wakisema honorable President Obama au honorable President Donald Trump?
Utasikia US President Donald Trump
Sasa hapa kwetu sema waziri John bila kutaja muheshimiwa Waziri John.

Ujinga mtupu, tunakomalia vyeo vya kijinga kuliko kufanya mambo ya maana.

Uliwahi kusikia Nyerere akiitwa Muheshimiwa? Unadhani kwanini hakuwahi kuitwa muheshimiwa ilihali alikua rais?

Watanzania tuache mambo ya sifa za kijinga
Nimekuelewa msingi wa swali lako nami pia nimewahi kuuliza kwa jamaa angu 1 alikua anasoma law sasa nikamuuliza kwa nn huwa mnaitana wakili msomi ??
Majibu yake yalikua kama ifuatavyo
Anasema hapo nyuma ktk history ya mawakili kuwa mahakaman na ku-argue ikafika kipindi hao mawakili wakaanza kutupiana maneno ya kafsha na kuzalilishana sana so baada ya hiyo kesi kwisha ndo wakaa na kuweka utaratibu wa Ku-recognize uwezo wa watu wengine (mawakili wenzao kwa kutumia maneno yenye staha na hapo ndo kukaanza rasmi kutumika kwa neno learned lawyer (cna hakika kama ndo neno sahihi la kingereza )lenye maana ya wakili msomi kwa lugha yetu

Ndo maana huwa hatusikii mawakili wakizalilisha hata kama m1 kashidwa kwenye kesi still wanatumia maneno yenye hekima yasiyo ya kuuzi

For more reference watu washeria nadhani wanaweza kutuwekea hiyo case ya hao jamaa mawakili waliokua wanatoleana maneno makali ili kila mtu apate kuelewa

Naomba kuwasilisha
 
Back
Top Bottom