LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Nahis tungeweka special Uzi was vifo vya vitokanavyo na matatizo ya upumuaji au wagonjwa waliougua muda mfupi haswa wwnye umri mkubwa mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia Jaji Munuo wakati bado ni Hakimu Mkazi Arusha aliwahi kumweka ndani mumewe baada ya kuja mahakamani na kupiga honi ya gari na kuisababishia mahakama usumbufu.Pole Jaji Eusebia Munuo kwa kuondokewa na Mumeo.
Nasikia Jaji Munuo wakati bado ni Hakimu Mkazi Arusha aliwahi kumweka ndani mumewe baada ya kuja mahakamani na kupiga honi ya gari na kuisababishia mahakama usumbufu.
Poleni. Yes hata mimi nilitaka kumfananisha na Mengi!Mbona amefanana na late Mr machache.
Anyway RIP Kwake.
Huyu huyu mkuu.Niliwahi kusikia hii story, kumbe ni huyu.
... Hata mie ile nmeona picha tuu, nkasema mbona wametuwekea picha ya Mr Machache? Kumbe wanafanana... Rip wakili msomiMbona amefanana na late Mr machache.
Anyway RIP Kwake.
mbona mawaziri tu,anzia juuMimi nataka ianze kuwala mawaziri
Nasubiri kwa hamu sana
Nadhani ikianza na mawaziri,ndio wataelewa kuna watu wanakufa TZ hii....
Ndani ya siku tatu au nne from now,kuna waziri or mbunge or somthing,lazima afeee