Wakili Msomi Pascal Mayalla, umemsikia Prof. Shivji? Bado unatuita watanzania Wajinga?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Pengine Prof. Tibaijuka unaona labda anazeeka haraka, Pengine Lissu unamuita Mwanaharakati, Pengine Mbowe unamuona asiye na taaluma ya Sheria na wewe tu ndio mwanasheria, pengine Akina Dr Nshala, Akina TEC na Watanzania hawa mtaani ambao sass wanaamini Nchi imeuzwa, wanahoji kwanini Mkataba hauelezi Miaka mingapi ya huduma ya DP World itakuwepo? Hawa wote ni Wajinga.

Kwako, akina Zembwela, Kitenge, Kibajaji, Msukuma ndio unaowaelewa.

Historia huwa inajirudia. Tuendelee Kusimama kwenye ule Upande sahihi wa historia.

Makinika, utawapoteza au utajiondolea heshima kwa Wazalendo muhimu ambao tayari walikuona kama Mwanandishi Mahiri na Mbobezi.
 
Nasubiri P aamke ...ajibu najua baraza kuu usalama linasukwa kupewa notes wakubaklli bandari iende huko ....masikini Tanganyika yangu ......Sijui kama watapangua uozo huu .....Mungu ibariki Tanzania
 
Ukiongelea huo mkataba kwa kuukosoa, eti unaambiwa we ni mdini au mbaguzi wa kijinsia au unaleta u Tanganyika! Paskali kaamua kujitoa ufahamu ili asipewe hayo majina
 
Maandiko ya Paskali (nazungumzia maandiko yake) yamejaaa unafiki mnooooo. Kisaikolojia ukiona MTU anaeleza JAMBO Dogo tu Kwa maneno mengi with irrelevant references ujue anaficha panapovuja!
I concur, ukiona jambo linahitaji maelezo mafupi lakini mtu anakuwekea makala ujue kuna tatizo, kuna figisu, kuna uongo unataka kutengenezewa cover uwe ukweli. To be sincere, huwa mara chache sana kusoma mabango yake kwa asilimia 100, maana yamejaa unafiki tupu. Its like hes waiting for something (a promise that'll never be fulfilled)
 
paschal na waandishi wa habari wote siwalaumu wengi siwalaumu katika sakata la bandari ni njaa na taaluma ya habari haina uhakika wa kula wanatangatanga, shida ndio imeanzia hapo wamehongwa pesa wasiandike ukweli, wamedanganya hii habari ina public interest (swala hili ni la kitaifa) wote wamejaa, wamepewa maelekezo Rais ndio anataka kwa manufaa ya umma, wasiandike kinyume na Rais, haya ni matakwa ya Rais, sio maneno yangu ya mwandishi mmoja, ananiambia msituone kimya juu ya ili,

wameambiwa wasusie habari zote ambazo hazina mlengo wa serikali na swala la kitaifa, kama ni pesa watalipwa. kwa hiyo tuwe tu wakweli, media inayotoa habari ni Jambo Tv, na wao wanashida wanatafutiwa pumzi,

njaa , njaa, ya waandishi wa habari imewafanya kuwa madalali wa nchi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…