Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paskali mayalla ni takataka kabisa,hata maandiko yake huwa siyasomi kbs.yamejaa unafiki wa hari ya juu.Pengine Prof. Tibaijuka unaona labda anazeeka haraka, Pengine Lissu unamuita Mwanaharakati, Pengine Mbowe unamuona asiye na taaluma ya Sheria na wewe tu ndio mwanasheria, pengine Akina Dr Nshala, Akina TEC na Watanzania hawa mtaani ambao sass wanaamini Nchi imeuzwa, wanahoji kwanini Mkataba hauelezi Miaka mingapi ya huduma ya DP World itakuwepo? Hawa wote ni Wajinga.
Kwako, akina Zembwela, Kitenge, Kibajaji, Msukuma ndio unaowaelewa.
Historia huwa inajirudia. Tuendelee Kusimama kwenye ule Upande sahihi wa historia.
Makinika, utawapoteza au utajiondolea heshima kwa Wazalendo muhimu ambao tayari walikuona kama Mwanandishi Mahiri na Mbobezi.
Hatuja ongelea wajahi wake,wala sura yake.tunaongelea maandiko yake.Tuhukumu contents zake sio yeye binafsi hahahaha [emoji23]
Sasa hao maprof si ndio wametufikisha hapa tulipo nchi masikini wajifunze au wao tunawapima na wale maprof wenzao wa kipindi kama chao waliokuwa nchi za vietnam ,singapore na south korea wa huko ndio kipimo chao,ila wao kwa sasa hawana nafasi ni fikra zilizopitwa kwa kweli zilipendwa tutajifunza nini kwao kwenye dunia ya utengemano wao bado ni conservative wakati tunahitaji modernisation na economic liberalisation tunahitaji mitaji ije ,technology na knowledge za kisasa zije through foreign investment tunataka makampuni makubwa yaifanye Dar es salaam hub ya business operation zao ili pia wananchi na raia na sekta binafsi wawe ndio engine kuu za kuendesha na kuumiliki uchumi na kukuza kipato binafsi na pato la nchi na sio states tena yaani states ikamue kodi,iweke sera, na kuweka uwanja sawia kwa watu kufanya biashara nchi inafunguka.Pengine Prof. Tibaijuka unaona labda anazeeka haraka, Pengine Lissu unamuita Mwanaharakati, Pengine Mbowe unamuona asiye na taaluma ya Sheria na wewe tu ndio mwanasheria, pengine Akina Dr Nshala, Akina TEC na Watanzania hawa mtaani ambao sass wanaamini Nchi imeuzwa, wanahoji kwanini Mkataba hauelezi Miaka mingapi ya huduma ya DP World itakuwepo? Hawa wote ni Wajinga.
Kwako, akina Zembwela, Kitenge, Kibajaji, Msukuma ndio unaowaelewa.
Historia huwa inajirudia. Tuendelee Kusimama kwenye ule Upande sahihi wa historia.
Makinika, utawapoteza au utajiondolea heshima kwa Wazalendo muhimu ambao tayari walikuona kama Mwanandishi Mahiri na Mbobezi.
Ha ha ha haMimi mnafki ila kwa Pasco nimenyosha mikono.
Kama walisoma darasa moja, lazima alitizamia Kwa Lisu kwenye mitihani.Huyo Pascal alikuwa ni jamii ya wanafunzi viherehere
Wanaojipendekeza sana kwa walimu na alipenda sana kusoma na alitumia nguvu kubwa sana kusoma japo matokeo yalikuwa ya akuwa ya kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Utamtofautisha vipi mtu naTuhukumu contents zake sio yeye binafsi hahahaha 😂
TISS si ndo kazi yao ama? 😳Paschal Mayala ni snitch mbaya sana huyu jamaa.
Pengine Prof. Tibaijuka unaona labda anazeeka haraka, Pengine Lissu unamuita Mwanaharakati, Pengine Mbowe unamuona asiye na taaluma ya Sheria na wewe tu ndio mwanasheria, pengine Akina Dr Nshala, Akina TEC na Watanzania hawa mtaani ambao sass wanaamini Nchi imeuzwa, wanahoji kwanini Mkataba hauelezi Miaka mingapi ya huduma ya DP World itakuwepo? Hawa wote ni Wajinga.
Kwako, akina Zembwela, Kitenge, Kibajaji, Msukuma ndio unaowaelewa.
Historia huwa inajirudia. Tuendelee Kusimama kwenye ule Upande sahihi wa historia.
Makinika, utawapoteza au utajiondolea heshima kwa Wazalendo muhimu ambao tayari walikuona kama Mwanandishi Mahiri na Mbobezi.
Kaka Pascal Mayalla njoo huku ujibu hoja..!!Maandiko ya Paskali (nazungumzia maandiko yake) yamejaaa unafiki mnooooo. Kisaikolojia ukiona MTU anaeleza JAMBO Dogo tu Kwa maneno mengi with irrelevant references ujue anaficha panapovuja!
Ndio anayo credibility tena kubwa tuu nani miongoni mwa M TANZANIA 🇹🇿🇹🇿 anakumbukwa Kwa kumuuliza Hayati JPM swali gumu la kikatiba najua unajua😊😊😊😊Hivi Pasco ana crediibility kiasi cha kuanzishiwa uzi?
Kwa unafiki wake inafaa kuwaHivi Pasco ana crediibility kiasi cha kuanzishiwa uzi?