Na kwa hiyo hilo likishapitishwa ndo itakuwa marufuku kujadili issue za bandariNasubiri P aamke ...ajibu najua baraza kuu usalama linasukwa kupewa notes wakubaklli bandari iende huko ....masikini Tanganyika yangu ......Sijui kama watapangua uozo huu .....Mungu ibariki Tanzania
Nilishawahi kukomenti kwenye Uzi Mmoja wa pascal kwa mawazo kama haya.To be specifi,pasca anayaangalia mambo yote kwa jicho la ccm.Huwa analazimika kuweka mofano miiingi ili watu wamuelewe lakini ni kazi bure kwa sababu usoma maandiko yake yote unaona uccm ndani yake.Maandiko ya Paskali (nazungumzia maandiko yake) yamejaaa unafiki mnooooo. Kisaikolojia ukiona MTU anaeleza JAMBO Dogo tu Kwa maneno mengi with irrelevant references ujue anaficha panapovuja!
Siku Pascal Mayalla akigombea urais ndipo Lissu atakapofungukaLissu natamani siku moja atuelezee Pascali alikuwa mtu wa aina Gani shuleni waliposoma pamoja.
Urais wa machawa wabobezi labda.Siku Pascal Mayalla akigombea urais ndipo Lissu atakapofunguka
Mayala maana yake ....................................................................Maandiko ya Paskali (nazungumzia maandiko yake) yamejaaa unafiki mnooooo. Kisaikolojia ukiona MTU anaeleza JAMBO Dogo tu Kwa maneno mengi with irrelevant references ujue anaficha panapovuja!
Mkuu mtu hawezi kusema uongo kama sio muongo!Tuhukumu contents zake sio yeye binafsi hahahaha [emoji23]
Kamwee usitegemee huo uwakili utakua active ndan ya CCM!! Yaan Pascal ni mpaka awe nje ya CCM ndipo tasnia yake ya sheria ataitumia properly!! OverPengine Prof. Tibaijuka unaona labda anazeeka haraka, Pengine Lissu unamuita Mwanaharakati, Pengine Mbowe unamuona asiye na taaluma ya Sheria na wewe tu ndio mwanasheria, pengine Akina Dr Nshala, Akina TEC na Watanzania hawa mtaani ambao sass wanaamini Nchi imeuzwa, wanahoji kwanini Mkataba hauelezi Miaka mingapi ya huduma ya DP World itakuwepo? Hawa wote ni Wajinga.
Kwako, akina Zembwela, Kitenge, Kibajaji, Msukuma ndio unaowaelewa.
Historia huwa inajirudia. Tuendelee Kusimama kwenye ule Upande sahihi wa historia.
Makinika, utawapoteza au utajiondolea heshima kwa Wazalendo muhimu ambao tayari walikuona kama Mwanandishi Mahiri na Mbobezi.
Anasema kimjazacho MTU ndicho kimtokachoMkuu mtu hawezi kusema uongo kama sio muongo!
Hivyo contents zake ndizo zinamhukumu na kutoa picha yake mwenyewe.
Umesahau kukumbusha na T law society ambayo yeye ni mwana hama hai, lakini akaiona ni mbugila tuu. Atoke mbele na kupinga aliyoyasema prof shivji, vinginevyo na yeye awekwe kwenye kitabu cheusi katika historia ya 🇹🇿Pengine Prof. Tibaijuka unaona labda anazeeka haraka, Pengine Lissu unamuita Mwanaharakati, Pengine Mbowe unamuona asiye na taaluma ya Sheria na wewe tu ndio mwanasheria, pengine Akina Dr Nshala, Akina TEC na Watanzania hawa mtaani ambao sass wanaamini Nchi imeuzwa, wanahoji kwanini Mkataba hauelezi Miaka mingapi ya huduma ya DP World itakuwepo? Hawa wote ni Wajinga.
Kwako, akina Zembwela, Kitenge, Kibajaji, Msukuma ndio unaowaelewa.
Historia huwa inajirudia. Tuendelee Kusimama kwenye ule Upande sahihi wa historia.
Makinika, utawapoteza au utajiondolea heshima kwa Wazalendo muhimu ambao tayari walikuona kama Mwanandishi Mahiri na Mbobezi.
Kwako, akina Zembwela, Kitenge, Kibajaji, Msukuma ndio unaowaelewa.[emoji3064][emoji848][emoji2827]Pengine Prof. Tibaijuka unaona labda anazeeka haraka, Pengine Lissu unamuita Mwanaharakati, Pengine Mbowe unamuona asiye na taaluma ya Sheria na wewe tu ndio mwanasheria, pengine Akina Dr Nshala, Akina TEC na Watanzania hawa mtaani ambao sass wanaamini Nchi imeuzwa, wanahoji kwanini Mkataba hauelezi Miaka mingapi ya huduma ya DP World itakuwepo? Hawa wote ni Wajinga.
Kwako, akina Zembwela, Kitenge, Kibajaji, Msukuma ndio unaowaelewa.
Historia huwa inajirudia. Tuendelee Kusimama kwenye ule Upande sahihi wa historia.
Makinika, utawapoteza au utajiondolea heshima kwa Wazalendo muhimu ambao tayari walikuona kama Mwanandishi Mahiri na Mbobezi.
Unaweza kufanya editing kidogo ueleweke vizuri Mpwa?Nilishawahi kukomenti kwenye Uzi Mmoja wa pascal kwa mawazo kama haya.To be specifi,pasca anayaangalia mambo yote kwa jicho la ccm.Huwa analazimika kuweka mofano miiingi ili watu wamuelewe lakini ni kazi bure kwa sababu usoma maandiko yake yote unaona uccm ndani yake.
like hes waiting for something (a promise that'll never be fulfilled)[emoji848][emoji2827]I concur, ukiona jambo linahitaji maelezo mafupi lakini mtu anakuwekea makala ujue kuna tatizo, kuna figisu, kuna uongo unataka kutengenezewa cover uwe ukweli. To be sincere, huwa mara chache sana kusoma mabango yake kwa asilimia 100, maana yamejaa unafiki tupu. Its like hes waiting for something (a promise that'll never be fulfilled)
Inahitaji utulivu na akili kubwa kusoma makala za Pascal Mayala na kuzielewa,Maandiko ya Paskali (nazungumzia maandiko yake) yamejaaa unafiki mnooooo. Kisaikolojia ukiona MTU anaeleza JAMBO Dogo tu Kwa maneno mengi with irrelevant references ujue anaficha panapovuja!
Na ni dhahiri anafanya propaganda.Actually labda nimuhukumu kwa flip flopping; ila angalau anajitahidi kujibu hoja kwahio mtu kama huyu ni rahisi sana kama Hoja zako zina mashiko na zina nguvu zaidi kubishana nae na mwisho wa siku kupata mchele na pumba....
Kuliko wengine waliopo kwenye majukwaa haya ambao mkianza kuongelea Hoja wanahamisha magoli na mwisho wa siku wanaanza personal attacks na kama hawakujui wanahamia kwenye matusi (kwa hili Paskali ana shida zaidi sababu watu wanamjua hence ni rahisi kumu-attack yeye na sio hoja zake ambazo binafsi naona leaves a lot to be desired)...
Watu kama Paskali wanafaa katika jamii kama hii ya kushindana kwa hoja na sio viroja mfano Jamii Forums (ambapo watu wanampinga) ingawa huenda kwa kutumia kalamu yake kuwaelimisha watu huenda akawa anaharibu sababu huko anaweza akatumika kama chombo cha propaganda kuwalisha watu matango pori....
Hivyo kwa JF nakubali mchango wake na aendelee kuwepo sababu kile nikiona heading yake nina uwezo wa kumpinga anachosema na mimi kusubiri rebuttal yake....,
After all kama Thatcher alivyosema....;
I love argument, I love debate. I don't expect anyone just to sit there and agree with me, that's not their job.
Huyo Pascal alikuwa ni jamii ya wanafunzi viherehereLissu natamani siku moja atuelezee Pascali alikuwa mtu wa aina Gani shuleni waliposoma pamoja.