Wakili Msomi Peter Kibatala alivyomkaanga mtoto wa IGP Mahita kwenye kesi ya Mbowe

Magaidi wananunuliwa mbuzi Choma na Mo energy ya kushushia.😀😀😀😀
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] #WakiliWaJamhuri: Objection Mheshimiwa Jaji. Tunaomba maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha udhalilishaji.
Hawa wanajidhalilisha wenyewe waache wadhalilike.

Katika hali ya kawaida tu Jaji ameshaelewa ukweli kwamba hapa ni kanjanja tupu, kesi kama hii kwenye nchi zilinyooka haipaswi kupotezea watu muda ni Jaji kuwafukuza Polisi mahakamani na kuwaonya mahakama si chombo cha kuja kuigizia filamu.
 
Hawajarudi tu mahakamani waendelee kutujuvya?

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 #WakiliWaJamhuri: Objection Mheshimiwa Jaji. Tunaomba maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha udhalilishaji.
Mwisho wa ubaya ni aibu.

Hilo ndilo tatizo kubwa la kesi za kubambika, Polisi hakumbuki tena kuwa yeye ni mtumishi wa Umma, ambapo anatakiwa afanye kazi kwa kufuata sheria na kanuni.

Katika kesi ya Mbowe, mapolisi hata hizo Police General Orders zao hawakutaka kuzifuata😁
 
Ninacheka mno. Yaani hii ni aibu na fedheha kwa nchi. Mh. Rais usikubali kubebeshwa hili igizo lililobuniwa enzi za yule Lucifer, the dictator. Sasa wameliamsha ili kukuchafua. Rais wangu umezingukwa na bàadhi ya watendaji wenye agenda zao dhidhi yako. Ifike mahali uteue wote muhimu vinginevyo unaharibiwa.
 
DPP kwa kuficha hii aibu wangemaliza kwa kuifuta kesi kama hizo za kina Ruge watoe sababu yeyote tutawaelewa kuliko kila siku watu wanajibu maswali kama watoto wa chekechea...kuulizwa maswali na Kina Kibatala ni sawa na kushindana Control na Gaucho hata Jaji atakua upande wa Gaucho...
 
Kesi ya Zuma polisi walijichelewewsha muda wa kuingia mahakamani Jaji aliwapa onyo wakifanya siku ingine hivyo wataenda ndani..bongo polisi wanaanzisha sheria zao eti simu marufuku na wanaendelea kujadili Jaji anawasikiliza watu wasiojua kitu...
 
MAHITA (anapaza sauti): Mheshimiwa Jaji, Wakili Kibatala anasoma vitu tofauti.

JAJI: Shahidi hebu tulia. Unafikiri mimi sitasoma hiyo PGO?
Hahaaahaa kapiga kelele utadhani kabanwa naniliu hahahhaha Jaji nae kammaliza

Hii imenikumbusha tukiwa wadogo jamaa walikuwa wanapigana!

Mmoja wao kwa sauti kubwa akapiga kelele akisema;
Anang'ataaa,anang'ataaa😆😆
 
Nina imani Mama anayajuwa yoote hayo uliyoyasema na hata sisi kina kaj.....nani tunayajuwa.Kwa uwezo wa Mwenyezimungu wale wenye nia ovu na Mama watashindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…