Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 4,062
- 5,741
Mahakama itaamua. Haina haja ya kuamini vitu ambavyo hatuvijuiMbowe siyo GAIDI na hawezi kuwa GAIDI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama itaamua. Haina haja ya kuamini vitu ambavyo hatuvijuiMbowe siyo GAIDI na hawezi kuwa GAIDI.
Kile alichokalilishwa ni tofauti kabisa na anachoulizwaSasa hapo wakili wa Jamhuri anapo dai mshahidi apewi utu na heshima ni nini hiyo na jaji akakazia wakati kimsingi ameshindwa kutolea ufafanuzi na ushahidi anaotaka kuutoa,
Ndiyo raha ya sheria ukijiandaa kwa hili wakili msomi anakujeuzua kibao
Wewe kichwani umebeba ubongo au kinyesi?yaani kwa akili na ufahamu wa kawaida kutokana na mwenendo wa mashahidi ulipofikia,hapo kuna kesi ya halali?Mahakama itaamua. Haina haja ya kuamini vitu ambavyo hatuvijui
Hahahaha[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] #WakiliWaJamhuri: Objection Mheshimiwa Jaji. Tunaomba maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha udhalilishaji.
HakikaWahuni hawa wangekuwa wanajua utu na udhalilishaji basi wasingembambikia Mbowe kesi FEKI.
Daa, nimejikuta nacheka.KIBATALA: Kwahiyo polisi mlikamata gaidi mkamnunulia nyama choma na ndizi? Mkampa na Mo Energy ya kushushia?
MAHITA: Kimya
Bongo sihami wallah[emoji23]Unamkamata mtuhumiwa wa ugaidi kisha unatembea naye ili akusaidie kutafuta gaidi mwingine[emoji23][emoji23][emoji23]
Tz sihami.
Hii kitu haihitaji kupapasa.Aisee huyu jamaa namuona Lisu mwingine hapa.Hizi ni kesi ambazo wale wanaosoma sheria inabidi wazifuatilie kwa karibu maana kuna kitu cha kujifunzaWakili msomi Peter Kibatala V/S Mtoto wa IGP Mahita.
KIBATALA: Inspekta Mahita nimekufuatilia wewe ndiye ulikuwa arresting Officer?
MAHITA: Sahihi.
KIBATALA: Kazi ya Kingai ilikuwa nini?
MAHITA: Alikua Mkuu wa Msafara.
KIBATALA: Mkuu wa msafara ni role gani kwenye arresting?
MAHITA: Kimya.
KIBATALA: Adamoo pale Bomang'ombe alikula Chakula gani?
MAHITA: Wote walikula.
KIBATALA: Sitaki kujua wote. Nakuuliza Adamoo alikula nini?
MAHITA: Alikula Nyama Choma na Mo Energy.
KIBATALA: Nani alilipia?
MAHITA: Afande Kingai.
KIBATALA: Kwahiyo polisi mlikamata gaidi mkamnunulia nyama choma na ndizi? Mkampa na Mo Energy ya kushushia?
MAHITA: Kimya
KIBATALA: Na wengine mlikula pia?
MAHITA: Ndio
KIBATALA: Nani alilipia vyakula vyenu?
MAHITA: Afande Kingai.
KIBATALA: Siku zote mlizokua Hotel Dar alilipia nani?
MAHITA: Afande Kingai.
KIBATALA: Umewahi kushiriki zoezi la Retirement za Pesa alizotumia Kingai?
MAHITA: Hapana.
KIBATALA: Umewahi kumkabidhi Afande Kingai risiti za matumizi yako ili aweze kufanya retirement?
MAHITA: Hapana.
KIBATALA: Kwahiyo Kingai alitumia pesa za umma bila kuzitolea maelezo wala ripoti.
MAHITA: Siwezi kumsemea.
KIBATALA: Je unafahamu kuwa katika PGO namba 236 (3)ix unapomkamata mtuhumiwa unapaswa ujitambulishe wewe binafsi?
JAJI: Mpatie PGO.
KIBATALA: Ngoja nimepelekee.
MAHITA: Mheshimiwa Jaji, Wakili Kibatala ananionyesha kitu kingine.
JAJI: Muonyeshe taratibu, mtakuwa mmeshamchanganya.
KIBATALA: Mheshimiwa Jaji ngoja nimsomee (ananza kusoma)
MAHITA (anapaza sauti): Mheshimiwa Jaji, Wakili Kibatala anasoma vitu tofauti.
JAJI: Shahidi hebu tulia. Unafikiri mimi sitasoma hiyo PGO?
KIBATALA: Je ulipomkamata Adamoo ulitamka maneno yaliyoandikwa kwenye PGO?
MAHITA: Hapana.
KIBATALA: PGO 236(3) sehemu ya 10 inataka urekodi jibu la Adamoo katika Notebook yako. Je ulifanya hivyo?
MAHITA: Mheshimiwa Jaji, Kibatala anaongea vitu tofauti na PGO, nataka kumsaidia kidogo.
JAJI: Hiyo siyo kazi yako.
KIBATALA: soma hapa kwenye PGO
MAHITA: (anasoma).
KIBATALA: je ni sahihi kuwa Misingi yote inayoainishwa katika PGO kuhusu ukamataji lazima ifuatwe kwa kunyooka kama RULA?
MAHITA: Ni sahihi.
KIBATALA: Unafahamu kuwa unakuja kutoa ushahidi kuhusu statement ya Dama Kasekwa?
MAHITA: Sifahamu.
KIBATALA: Okay. Sasa, mwambie Jaji kwamba hujui kama ulikuja kutoa ushahidi kwenye Kesi ndogo katika kesi ya msingi kuhusu Adamoo.
MAHITA: Hilo sifahamu.
KIBATALA: Kumbe tupo na shahidi ambaye hajui amekuja kufanya nini Mahakamani?
#WakiliWaJamhuri: Objection Mheshimiwa Jaji. Tunaomba maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha udhalilishaji.
JAJI: Naomba tuzingatie utu.
KIBATALA: Naomba unisomee hapa katika PGO kuhusu Notebook.
MAHITA: Nadhani tafsiri ya PGO hainilazimishi kukumbuka kila kitu Mahakamani.
KIBATALA: Sihitaji tafsiri yako, nimekwambia soma.
MAHITA: Anashindwa kusoma.
Jaji anaingilia kati na kusema "naona Mmechoka, natoa mapumziko tutarudi baada ya nusu saa"
Malisa GJ
View attachment 1942769
nyie jamuhuri mnahisi mtaonewa??Ushabiki na maamuzi vitakua vitu tofauti kuna watu watasema tumeonewa ...
Gaidi napewa kwanza mbuzi choma na mo energy.kweli lazima uDaa, nimejikuta nacheka.
Kimbiza michawi ya polisi ccm,huyu shahidi ukufuatilia sifa pekee iliyomuingiza kwenye ajira ya polisi,ni kuwa mtoto wa IGP Omary Mahita!Wakili msomi Peter Kibatala V/S Mtoto wa IGP Mahita.
KIBATALA: Inspekta Mahita nimekufuatilia wewe ndiye ulikuwa arresting Officer?
MAHITA: Sahihi.
KIBATALA: Kazi ya Kingai ilikuwa nini?
MAHITA: Alikua Mkuu wa Msafara.
KIBATALA: Mkuu wa msafara ni role gani kwenye arresting?
MAHITA: Kimya.
KIBATALA: Adamoo pale Bomang'ombe alikula Chakula gani?
MAHITA: Wote walikula.
KIBATALA: Sitaki kujua wote. Nakuuliza Adamoo alikula nini?
MAHITA: Alikula Nyama Choma na Mo Energy.
KIBATALA: Nani alilipia?
MAHITA: Afande Kingai.
KIBATALA: Kwahiyo polisi mlikamata gaidi mkamnunulia nyama choma na ndizi? Mkampa na Mo Energy ya kushushia?
MAHITA: Kimya
KIBATALA: Na wengine mlikula pia?
MAHITA: Ndio
KIBATALA: Nani alilipia vyakula vyenu?
MAHITA: Afande Kingai.
KIBATALA: Siku zote mlizokua Hotel Dar alilipia nani?
MAHITA: Afande Kingai.
KIBATALA: Umewahi kushiriki zoezi la Retirement za Pesa alizotumia Kingai?
MAHITA: Hapana.
KIBATALA: Umewahi kumkabidhi Afande Kingai risiti za matumizi yako ili aweze kufanya retirement?
MAHITA: Hapana.
KIBATALA: Kwahiyo Kingai alitumia pesa za umma bila kuzitolea maelezo wala ripoti.
MAHITA: Siwezi kumsemea.
KIBATALA: Je unafahamu kuwa katika PGO namba 236 (3)ix unapomkamata mtuhumiwa unapaswa ujitambulishe wewe binafsi?
JAJI: Mpatie PGO.
KIBATALA: Ngoja nimepelekee.
MAHITA: Mheshimiwa Jaji, Wakili Kibatala ananionyesha kitu kingine.
JAJI: Muonyeshe taratibu, mtakuwa mmeshamchanganya.
KIBATALA: Mheshimiwa Jaji ngoja nimsomee (ananza kusoma)
MAHITA (anapaza sauti): Mheshimiwa Jaji, Wakili Kibatala anasoma vitu tofauti.
JAJI: Shahidi hebu tulia. Unafikiri mimi sitasoma hiyo PGO?
KIBATALA: Je ulipomkamata Adamoo ulitamka maneno yaliyoandikwa kwenye PGO?
MAHITA: Hapana.
KIBATALA: PGO 236(3) sehemu ya 10 inataka urekodi jibu la Adamoo katika Notebook yako. Je ulifanya hivyo?
MAHITA: Mheshimiwa Jaji, Kibatala anaongea vitu tofauti na PGO, nataka kumsaidia kidogo.
JAJI: Hiyo siyo kazi yako.
KIBATALA: soma hapa kwenye PGO
MAHITA: (anasoma).
KIBATALA: je ni sahihi kuwa Misingi yote inayoainishwa katika PGO kuhusu ukamataji lazima ifuatwe kwa kunyooka kama RULA?
MAHITA: Ni sahihi.
KIBATALA: Unafahamu kuwa unakuja kutoa ushahidi kuhusu statement ya Dama Kasekwa?
MAHITA: Sifahamu.
KIBATALA: Okay. Sasa, mwambie Jaji kwamba hujui kama ulikuja kutoa ushahidi kwenye Kesi ndogo katika kesi ya msingi kuhusu Adamoo.
MAHITA: Hilo sifahamu.
KIBATALA: Kumbe tupo na shahidi ambaye hajui amekuja kufanya nini Mahakamani?
#WakiliWaJamhuri: Objection Mheshimiwa Jaji. Tunaomba maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha udhalilishaji.
JAJI: Naomba tuzingatie utu.
KIBATALA: Naomba unisomee hapa katika PGO kuhusu Notebook.
MAHITA: Nadhani tafsiri ya PGO hainilazimishi kukumbuka kila kitu Mahakamani.
KIBATALA: Sihitaji tafsiri yako, nimekwambia soma.
MAHITA: Anashindwa kusoma.
Jaji anaingilia kati na kusema "naona Mmechoka, natoa mapumziko tutarudi baada ya nusu saa"
Malisa GJ
View attachment 1942769
Kukiuka taratibu za kumkamata mtuhumiwa au kukiuka taratibu za matumizi ya fedha za Umma hakuondoi hatia ya mshtakiwa
Wenye akili ni Polisi Na vijana wa CCM tu.Karibu katika mjadala wa Inspector MAHITA Na KIBATALA !Pitia pia mjadala wa Mahita na Wakili Dickson Matata.Nakuitia Na wengine wakusaidie maana uko pekee yako hapa Mudawote USSR jingalao@ WakudadavuwaVijana wa chaggadema hawajawahi kuwa na akili kabisa
Aliyeanza kumvuruga Shahidi Mahita ni Wakili Matata alipomuuliza swali kuhusu baba yake akiwa IGP.Hatari Sana. Hii inaitwa Kibatala vs Mahita Toe to Toe.