Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Haswaaa!!!,Tutakuwa tumekomaa sasa.Lakini ni kwa bahati mbaya sana "kujua sheria" Tanzania, kwenye enzi tulipotoka (enzi za Magufuli), ilikuwa haisaidii chochote. Labda sasa tutaanza kuona maana na uzuri wa kujua sheria kama hali itaendelea kuwa hivi ; yaani mahakama ionekane kufanya kazi bila ya kuingiliwa na yeyote.
Kukiuka taratibu za kumkamata mtuhumiwa au kukiuka taratibu za matumizi ya fedha za Umma hakuondoi hatia ya mshtakiwa
Jamaa kapigwa spana za kukata na shokaπDadeki wakili msomi aliupiga mwingi sana
Ni kweli kabisa, walicho bakiza ni kumwinda na kumtungua vilevile kama kwa Lissu. Watz tusichoke kumfanyia maombi ulinzi kwa MunguIvi kibatala ana ulinzi kweli? Maana sio kwa za uzo anazo ipiga sirikale hii mara kwa mara jamaa huwa anawa nyoosha sana
Wakili wa Serikali inaelekea hajui kitu ni mbumbumbuHtreeeee hii
Sasa njia ya muongo ni fupi walizoea kuwabambikia kesi lakini sasa wanaumbukaMagaidi wananunuliwa mbuzi Choma na Mo energy ya kushushia.ππππ
Polisiccm wamejidhalilisha sana wanazidi kuumbukaaibu naona mimi Tanzania kweli tuna ukarimu wakununulia magaidi nyama choma.
kama gaidi anakula nyama choma mafisadi watakuwa wanaletewaga adi wanawake.
Hakuna udhalilishaji wowote bali wakili wa Serikali ni mbumbumbu tu ni wakili kilazaKuna udhalikishaji gani hapo?
Hayo ni matunda ya kudesa....
Maswali ya Kibatala yamenyooka kama rula.
Ukiangalia kwa mbali uta gundua hawa polisi walikuwa na kiburi cha mwenda zake.
Kwanza walikaa vutuoni zaidi ya saa 48 pasipo kuwafikisha mahakamani, Polisiccm wanaenda kuumbuka waache kutumika na CCM kuwabambikia kesi wapinzaniUnajua kesi inayoendelea inahusu nini? Kumbuka wako kwenye kesi ndogo ya ukamataji na kuwatesa watuhumiwa. Je kukiuka taratibu za ukamataji hapa haiwapi watuhumiwa nafuu?
Wamezoea kuwabambikia kesi watu wasio na msaada wa mawakili thabiti lakini sasa wanaumbuka kwa ushetani waoWanaumbukaje sasa yani kama mitoto. MBOWE UTATOKA SALAMA MCHANA KWEUPE. MUNGU YUPO
Kibatala ni noma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] #WakiliWaJamhuri: Objection Mheshimiwa Jaji. Tunaomba maswali ya Kibatala yazingatie utu na kuacha udhalilishaji.
Na nyoma choma mnakula pamoja..Unamkamata mtuhumiwa wa ugaidi kisha unatembea naye ili akusaidie kutafuta gaidi mwingine[emoji23][emoji23][emoji23]
Tz sihami.
Wapo smart na wanajielewa, tatizo ni kesi wanayoiendesha. Na ukumbuke maandalizi ya mwanzo tangu arrest, investigation na interrogation imefanywa na watu wasiojua wanachofanya. Hata Kibatala angekuwa prosecutor lazima angeonekana hajui.Wakili wa Serikali inaelekea hajui kitu ni mbumbumbu
Hawawezi kuzifuata kwasababu wanajua wanafanya ubatili. PGO nadhani zinakuwa zimenyooka, kwahiyo wakizifuata watashindwa kutekeleza maagizo kutoka juu. Wanaamua kupuyanga tu.Mwisho wa ubaya ni aibu.
Hilo ndilo tatizo kubwa la kesi za kubambika, Polisi hakumbuki tena kuwa yeye ni mtumishi wa Umma, ambapo anatakiwa afanye kazi kwa kufuata sheria na kanuni.
Katika kesi ya Mbowe, mapolisi hata hizo Police General Orders zao hawakutaka kuzifuata[emoji16]