Wakili msomi Peter Kibatala: Wasifu (CV) wake na historia yake katika kuendesha kesi

Wakili msomi Peter Kibatala: Wasifu (CV) wake na historia yake katika kuendesha kesi

Mkuu ni kweli kenya wanajitahidi sana Babu owino mbunge kijana kabisa katoka chuo juzi tu kamuita Rais kenyatta MBWA kwenye public kabisa....ila amekaa selo siku moja tu ya pili kaachiwa na kesi kashinda unafkiri kwa hapa Tanzania umejionea mwenyewe jinsi lissu sugu mdee na lema walivyosota rumande kisa kutoa maneno ya "uchochezi"
Je wewe mwanao akikuita mbwa utaona sawa?
Au unafikili ndio democracy hiyo?
Embu jaribu kuishi Nairobi uswahilini kwa siku mbili tu ,utajifunza kitu.
Mimi nakushangaeni sana, mtu anatoka mishipa ya shingo kupigizana kelele kwa kutolea mfano kuhusu Kenya ati wapo sawa,Wakenya wana staili yao ya kuishi kufuata kabila zao.
Mtu yupo tayali kumuua jirani yake ndani ya nyumba moja kisa tofauti ya kabila na siasa alafu nijifunze kwake kwa sababu kasema hichi au kaamua kile, fikra huendana na busara.
Wacheni mihehuko.
 
Huna Elimu ya masuala ya mikopo mikubwa Kuna Secured and Unsecured loan endelea kuwa Ngombe wa Mbowe unafikiri Huo mkopo ni wa Sh. 8million? Ukaweka Nyumba Ile Project imejidhamini yenyewe na Ni Longterm Debt Sasa akishindwa Kulipa Hotel ndo Itauzwa.
Mkuu shida yako unalazimisha uongo kuwa ukweli hiyo unsecured loan toka lini haipimi capacity ya mtu kulipa??? Unsecured loan haijalishi unataka ujenge kasri ama ikulu ni lazima uwe na evidence ya UWEZO na UBAVU wa kulipa nje ya kuweka securities!! Embu niwekee hapa Masharti ya benki yoyote ile ambayo inakupa unsecured loan bila kwanza kutathmini kiasi cha thamani ulichonacho au pesa unayoingiza!!!

Kma sugu alikuwa na hiyo thamani ndio maana kakopesheka ila kma ingekuwa hawaangalii assets ulizonazo leo hii vijana wasio na ajira wasingekuwa wanalialia kukosa mtaji wa kuanza biashara..... Ni vizuri ukasome upya hiyo elimu yako ya mikopo maana unaongea usichokifahamu kabisa
 
Je wewe mwanao akikuita mbwa utaona sawa?
Au unafikili ndio democracy hiyo?...
Ni tusi lakini kwanni akitukanwa mtu wa kawaida mtaani kesi haiendi kokote ila kwa kuwa ni Rais eti ndio ukae rumande miezi 6??? Hayo ni Tanzania tu. Sheria imeweka wazi kabisa makosa yenye dhamana hta leo nkimtukana Rais kma kosa hilo lina dhamana basi nipewe sio nazungushwa kwa maksudi na kukomoana kisa nmemtukana Rais... Huo ujinga kenya hamna

Kingine kenya kuna ukabila sikatai lakini bado tuna mengi ya kujifunza kwao hasa upande wa haki na sheria..... Odinga na vurugu zote zile hadi kujiapisha umeshawahi ona amekamatwa??? Au ushawahi sikia kaitwa mchochezi? Maadam kila anachofanya kipo ndani ya katiba wakenya wanaheshimu sio huku mikutano ipo kikatiba ila ukifanya unakamatwa!

Tuna mengi sana ya kujifunza kenya hayo ya ukabila ni changamoto tu ila hayafuti ukweli kwamba utawala wa sheria kenya upo vzuri kuliko TZ
 
Ni tusi lakini kwanni akitukanwa mtu wa kawaida mtaani kesi haiendi kokote ila kwa kuwa ni Rais eti ndio ukae rumande miezi 6??? Hayo ni Tanzania tu.... Sheria imeweka wazi kabisa makosa yenye dhamana hta leo nkimtukana Rais kma kosa hilo lina dhamana basi nipewe sio nazungushwa kwa maksudi na kukomoana kisa nmemtukana Rais... Huo ujinga kenya hamna
Embu jaribu kumtukana yeyote mtaani kwenu alafu tupe mrejesho

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
HONGERA Wakili Msomi Peter Kibatala. Mungu azidi kukubariki uwendelee kuwasaidia wanaodhulumiwa na mfumo huu kandamizi
 
Wanasheria nisaidieni hili daraja la wakili msomi inapatikanaje
 
Ukitaka ya Peter (wangoni wanaita peteri) basi tuletee ya msomi wa Lumumba "Godwin Kunambi" aliyekua mwanasheria wa CCm na sasa analinda interest za mzee kipara Dodoma kama DED! hivi kuna kesi aliwahi shinda?? jamaa level zake kama Monday likwepa rais wa bao!
Ahaaaaaa nimecheka wewe jamaa Kichwa chako kiko vizuri!
 
Wanasheria nisaidieni hili daraja la wakili msomi inapatikanaje
Mwenye LLB huitwa Ofisa wa sheria (Legal Officer). Wakili wa Mahakama kuu ni yule aliyesoma Law School kisha kuhitimu na kusajiliwa na Tanganyika Law Society.

Anaitwa Wakili Msomi (Learned Brother) kwa kuwa kazi yake inamtaka asome kila wakati sheria na kanuni mbalibmbali kadri zinavyotungwa. Fani zingine ukisha hitimu waweza kufanya kwa ufanisi hata usiposoma tena.
 
Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana!

Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana!

Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv, KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!

Mpuuzi ni wewe uliye mjinga, kama unadhani hao walioko huko kwenye TV ndo bora basi watafute ufunge nao ndoa.
Ni mwanamje mjinga pekee anaesifu mume wa mwenzake huku akimponda mumewe kama wewe.
 
Sasa kama hashindi anapewaje kesi " zote" kubwa?

Akili za Uvccm na Bavicha tofauti yake ni ndogo sana!
 
Kibatala ni mwanasheria tegemeo wa Chadema.
Kesi karibu zote amekuwa akipewa yeye na analipwa vizuri sana.

Lakini sikumbuki kesi yoyote kubwa aliyowai kushinda.

Anaekumbuka ebu tukumbushane maana haya mambo ya kushindwa kesi uwa hayatokei bahati mbaya kila mara.
Naweye mbanbikaji umeshafunga wangapi Kwa kubambikia?umesahahu kuwa kabla kesi kuanza mlisema mtampa ambayo hata chomoka🏃.
 
Ukipenda kucheza boxing usiogope ngumi za macho subiri ngumi za macho zinakuja kutoka kwa mabavicha.
 
Kibatala ni Mwanasheria wa kawaida sana!

Nimesoma mahojiano yake jana Mahakamani kuhusu kesi ya Dikteta Uchwara ana maswali ya kitoto sana!

Tatizo lenu wengi " Lugha" haipandi mngetazama Citizen Tv, KTN na K24 muone nini maana ya Wanasheria wasoma na sio upuuzi wa eti KIBATALA!
Kwahiyo hatuna lugha ila tunaongea kwa ishara?
Baadhi ya watanzania ni wapumbavu sana,kwao kiingereza ndiyo lugha na zingine siyo lugha.

Wengi wakiwa na simu aina iPhone wanawadharau wenye tecno kama Mimi,lakini huyo hata maisha unamshinda

Kibatala jana kamshushi mizigo ya maswali kingai mpk ilibidi mawakili wa serikali wasimame kwa umoja wao,lakini aliwakali chini.

Alimpiga swali linalohusiana na Raid na BBC, ilibidi jaji wenu aingilie kati
KIBATALA NI MOTO MKALI
 
Mtabishana bure ila mjue kesi zinazowahusu wanachadema haziamuliwi kisheria, matakwa ndiyo yanayotumika zaidi. Turejee vifungo ambavyo wanachadema walipewa na baadae waliachiwa na mahakama kuwa hawana makosa!
 
Mwanasheria ama wakili mzuri ni yule mwenye upeo mkubwa sana kwenye logic. Wale wanafunzi waliokuwa wakali wa logic kwenye Science na hisabati wakigeukia fani ya uanasheria wanakuwa ni watu balaa kubwa.

Kama unajua logics + ukajifunza sheria inakuwa rahisi zaidi kwako kutengeneza arguments za kisheria kumtetea ama kumkandamiza mtu mahakamani.
 
Back
Top Bottom