Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 44
Mkuu De Novo kwani kuna nini kati yako na Mwanakijiji? Unakisilani naye? unaugomvi naye? Unashindwa kuona ameanza na neno inawezekana? hilo neno laonyesha hana hakika, iweje sasa unamhukumu kwa asilimia 100% Nimesoma post zilizotangulia kuna waliotoa hisia zao bila kutumia neno inawezekana na wala hujawashukia kama ulivyofanya kwa Mwanakijiji. Tueleza basi kama mlingombana naye, vinginevyo tunashindwa kukuelewa una ajenda gani.Mkuu, with all due respect naomba usianze mambo yako ya kuingiza kila kitu kwenye siaza tafadhali... IT IS TOO EARLY!!!
RIP Prof. Mwaikusa