Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIP Prof. J Mwaikusa, Inasikitisha sana kusikia mtu ametolewa uhai wake just like that! Poleni wafiwa
Mkj nafikiri huyo lawyer ni somebody Kapinga kama sikosei.
The High Court yesterday sentenced to death four people after convicting them of killing a prominent Dar es Salaam lawyer, Elithuter Kapinga, in 2002. `There is one punishment for these people�that is death by hanging,` High Court Judge Juyston Mlay told a fully packed court.
`According to the evidence tendered in court and adduced by prosecution witnesses, the court has proved beyond reasonable doubt that the accused committed the offence,` the judge said.
Those sentenced to death were Zakaria Mahushi, Ramadhani Ali Makuka, Goodluck Sangawe, and Ali Ng�enya.
The accused were smartly dressed. Mahushi was donning a white shirt and black trouser, Makuka wore a blue T-shirt, Sangawe had put on a khaki coloured shirt, while Ng�enya was in a yellow T-shirt.
When the sentence was read, the convicts held each other�s hands, their eyes appearing somewhat wet, although no tears ran down their cheeks. They appeared to have abandoned all hope.
All were facing murder charges for allegedly killing Kapinga at his residence in Mbezi Beach, Jangwani in the outskirts of Dar es Salaam.
The fifth accused Alex Nkolela, a soldier with the Tanzania People�s Defence Forces, was set free after the prosecution failed to prove its case against him.
He appeared tense even after the sentence was announced, and immediately burst into tears.
He was then escorted by police officers outside the courtroom.
`Evidence given by the prosecution has failed to prove beyond reasonable doubt that Nkolela participated in the killing and stealing of Kapinga`s vehicle,` said Judge Mlay in his five-hour verdict.
According to the High Court judge, submissions from both the defence and prosecuting sides had proved that the four accused took part in a plot to kill Kapinga and steal his vehicle.
`What the accused persons were doing in their explanations was just trying to throw blame on each other, but all of them conspired in the whole plan,` Mlay told the court.
Talking to this paper shortly after the judge had delivered his judgment, Kapinga`s widow, Catherine, said: `Basing on my beliefs, I am not impressed by the death sentence meted out against the accused, despite the fact that they killed my husband.`
`In my opinion, the court should have imposed a life sentence�this would give them time to confess their offence and go to heaven. I also suggest to our President Jakaya Kikwete to do away with the death sentence�it is a very bad thing,` she said.
Earlier, the prosecution alleged that the accused killed Kapinga on June 10 2002, at Jangwani-Mbezi before stealing his car.
Yaelekea wewe ni mwandishi mwandamizi wa serikali na unayejua siri nyingi za serikali. Tuhabarishe basi kushughulikia watu kimya kimya maana yake nini manake inabaki ni mafumbo kwa waioelewa.Bwana Samson Mfalila,
Watu wenye mawazo kama yako ndiyo wanaoleta chokochoko kwenye jamii na nadhani ndiyo wanaostahili kushughulikiwa ipasavyo. Kwani unahusisha kitua ambacho hauna uhakika nacho na kauli ya Mheshimiwa Rais, bila kuwa na ushahidi wa kutosha.
Kwa kauli kama yako na maandishi kama yako katika jamii ya watu wasioweza kuchambuwa mambo unaweza kuwa chanzo cha kupoteza amani na utulivu tulionao Tanzania, na watu kama wewe ndiyo wanastahili kushughulikiwa na Dola.
Usitumie tofauti zako binafsi kama zipo na Rais Kikwete na maneno aliyoyatumia katika mazingira tofauti katika kutafuta mtaji wa umaarufu humu ndani ya jamvi la Jamii Forums.
Namalizia kwa kuwapa pole Familia ya Prof. Mwaikusa, Mungu amlaze mahali pema peponi. Mwisho nato Rai kwa vyombo vya dola kama wamo humu ndani, basi wafuatilie wanaohusika na ujambazi huu wafikishwe mbele ya sheria. na kuwakamata wengine wote wanaofanya matendo ya kijambazi katika miji yote ya Tanzania.
Bwana Mfalila unataka kutuambia kuwa na yale Mauaji yaliyotokea katika kisiwa cha ziwa la Victoria yalikuwa na uhusianao na mambo ya kisiasa?
Akiwa anakaribia kutaja mgombea binafsi naomba nimnukuu RAIS,DK KIKWETE
Mimi napenda niwaonye kabisa yoyote atakaeshabikia ama kutaka kufanya kitu kitakachotutenganisha
nawaambia kweli hii serikali si sehemu ya kutafuta umaarufu,,nasema hili nikimaanisha nawambia ili mtu asishangae ..kuna walioanza chokochoko tuliwashugulikia na wengine (
tumewasahau)
kabisa
Mwenye akili utajua ana maana Gani!!!nawaambia ukweli tutakushugulikia mpaka mwisho..mi nawaambia msidanganyike bwana kitu kikija kwangu nikisema no ni no hata iweje..utahangaika kwa haki za binadamu ,,mahakama kuu na vyombo vingine vya sheria nikisema no itaishia no
DK KIKWETE TUELEZE PROF WETU ALIPO...HILI JAMBO WANA JF SI LA KUCCHUKULIA MZAHA HATA KIDOGO..ATUITAJI KUISHI NA SERIKALI YA WAUWAJI..UTAMUUA KILA MTU SIKU YA MWISHO BABAKO ANAKUKANA UTAMMALIZA???
Maneno yaliyoandikwa hapa ni vigumu kuamini kama yanaweza kutamkwa na mwajiriwa wa wananchi. Kila neno liliandikwa ni zito mno...hata mahakama kuu!. Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa maneno haya yametamkwa na mtu anayetarajiwa kuwajibika kwa wananchi mpaka nisikie mwenyewe kwa masikio yangu. Mwenye hotuba airushe hapa ili tuhakikishe wenyewe. Maana tunahitaji madaraka ya serikali yarudi kwa wananchi ili tuwe salama zaidi.Akiwa anakaribia kutaja mgombea binafsi naomba nimnukuu RAIS,DK KIKWETE
Mimi napenda niwaonye kabisa yoyote atakaeshabikia ama kutaka kufanya kitu kitakachotutenganisha
nawaambia kweli hii serikali si sehemu ya kutafuta umaarufu,,nasema hili nikimaanisha nawambia ili mtu asishangae ..kuna walioanza chokochoko tuliwashugulikia na wengine (
tumewasahau)
kabisa
Mwenye akili utajua ana maana Gani!!!nawaambia ukweli tutakushugulikia mpaka mwisho..mi nawaambia msidanganyike bwana kitu kikija kwangu nikisema no ni no hata iweje..utahangaika kwa haki za binadamu ,,mahakama kuu na vyombo vingine vya sheria nikisema no itaishia no
DK KIKWETE TUELEZE PROF WETU ALIPO...HILI JAMBO WANA JF SI LA KUCCHUKULIA MZAHA HATA KIDOGO..ATUITAJI KUISHI NA SERIKALI YA WAUWAJI..UTAMUUA KILA MTU SIKU YA MWISHO BABAKO ANAKUKANA UTAMMALIZA???
BongolanderHili ni fundisho kwa wasomi wanaojifanya kuunga mkono opposition.
Naungana na wewe sioni mauaji haya yanahusianaje na kesi ya mgombea binafsi, kesi ilitupiliwa mbali angalau basi ingepita, kama ni mauaji yanayohusiana na kesi hiyo labda yangetokea kipindi cha kesi yenyewe na hasa kabla ya hukumu na si baada ya hukumu kutolewa.Nimejaribu kutafakari hisia za baadhi ya wachangiaji ... kujaribu kuunganisha haya mauaji na lile suala la mgombea binafsi lakini nimeshindwa kupata any dot to join..
Yeye alikuwa ni mshauri/rafiki wa mahakama na alitoa ushauri wake kulingana na alivyoliona shauri. Mahakama haikutilia/ilitilia maanani ushauri wake na kesi ikaamuliwa vile ilivyoamuliwa. Je ukiamua 'kumwondoa' sasa baada ya kesi kwisha kutakuwa na impact yeyote kwenye ile hukumu iliyokwisha somwa? Jibu langu ni hapana. Hivyo, mimi nafikiri sababu za mauaji zitakuwa ni nyingine zaidi ya hii ambayo baadhi ya wachangiaji wameihisi.
Ujambazi?
Kisasi?
Bila info zaidi ni vigumu kuelewa.
RIP Professor wetu Mwaikusa
habari nilizozipata zinasema prof.mwaikusa mwalimu wa sheria na mwanasheria aliyebobea wa chuo kikuu cha dsm amefariki dunia baada ya kuvamiwa na watu wanaosemekana kuwa ni majambazi alipokuwa akirejea nyumbani kwake usiku wa kuamkia leo. prof.mwaikusa pia alikuwa rafiki wa mahakama ambaye alitetea vizuri hoja alizowakilisha kuhusu mgombea binafsi. mwenye data zaidi atujuze. rip prof.mwaikusa.
Tusi argue kwa emotions jamani...huyu mtu kweli kauawa na mazingira ya kifo chake ni kweli yanatia mashaka lakini si busara kuanza ku point watu au taasisi katika hili kwa sababu tunaujua upande mmoja tu wa maisha ya profesa (profesheni yake) hatujui upande wa social life yake....inawezejakana waliomuua wana visasi na familia au nayeye mwenyewe...SIKUBALIANI NA KUANZA KUJAJI SUALA HILI KISIASA KWANI NADHANI TUMEKUWA NA WATU WENGI TU HAPA WANAOIKOSOA SERIKALI WAZI WAZI...SHIVJI, LATE CHACHAGE, HAROUB, Baregu...et
Nikisoma taarifa nchi nyingine juu ya mauaji ya watetea haki naiweka serikali ya TZ kwa awamu zote katika mstari wa uvumilivu uki kompea na kenya , zaire nk hata kama inaua watu lakini si utamaduni wake ku deal na wapinzani kwa staili ya kuua
wote hawa mbona wasiuwawe? iweje leo huyu ndio aonekane ana impact ya ajabu!!!! siamsini katika hili KIRAHISI RAHISI...MAISHA YA MTU HAYAISHII KWENYE PROFESHENI YAKE TU
tusiwe wepesi wa kutupia kila lawama serikali .....ni kukosa akili ya uchambuzi
Pole kwa wanafamilia, pole kwa wafanyakazi wenzake na wanasheria....pole kwa watz wote
mix with yours
Watu msi conclude kuwa ni suala la kisiasa ingawaje ujambazi nao haumo kwa sababu hawakuiba kitu,ila watu wanasahau kuwa hakuna mtu ambaye hana mapungufu duniani.Inawezekana kabisa ikawa ni ishu ya kudunguliana wake,gfriend au pesa n.k.
Kisiasa pia mie napinga sio kweli kwani hatiiishi kihivyo kama akina Slaa,Zito,Maalim na wengineo,Nafikiri suala hili litakuwa kibinafsi zaidi na maybe visasi.
Lets wait vyombo vya sheria vifanye kazi yake tusizushe vitu ambavyo sivyo.
rip prof.
Yaelekea unayafahamu maisha binafsi ya Prof. Tueleze na utupatie ushahidi. Tunachojua sisi serikali ni mwajiriwa wa wananchi na inatarajiwa kuwajibika na kuwalinda wananchi wake.Watu msi conclude kuwa ni suala la kisiasa ingawaje ujambazi nao haumo kwa sababu hawakuiba kitu,ila watu wanasahau kuwa hakuna mtu ambaye hana mapungufu duniani.Inawezekana kabisa ikawa ni ishu ya kudunguliana wake,gfriend au pesa n.k.
Kisiasa pia mie napinga sio kweli kwani hatiiishi kihivyo kama akina Slaa,Zito,Maalim na wengineo,Nafikiri suala hili litakuwa kibinafsi zaidi na maybe visasi.
Lets wait vyombo vya sheria vifanye kazi yake tusizushe vitu ambavyo sivyo.
rip prof.