Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 44
Mkuu De Novo kwani kuna nini kati yako na Mwanakijiji? Unakisilani naye? unaugomvi naye? Unashindwa kuona ameanza na neno inawezekana? hilo neno laonyesha hana hakika, iweje sasa unamhukumu kwa asilimia 100% Nimesoma post zilizotangulia kuna waliotoa hisia zao bila kutumia neno inawezekana na wala hujawashukia kama ulivyofanya kwa Mwanakijiji. Tueleza basi kama mlingombana naye, vinginevyo tunashindwa kukuelewa una ajenda gani.Mkuu, with all due respect naomba usianze mambo yako ya kuingiza kila kitu kwenye siaza tafadhali... IT IS TOO EARLY!!!
Hakuna mwenye uhakika kwa sasa, yawezekana siyo majambazi, ila kwa sasa tuseme ni watu wasiojulikana wamewaua Prof. Mwaikusa na Mwanawe.Huu ni ujambazi wa kawaida tu nadhani. Tuone polisi wetu watalifanyiaje kazi hili. Lile la yule wakili rafiki ya Mkapa walilifanyia kazi kwa spidi ya ajabu.
Ni wakati wa kurudisha madaraka ya rais na serikali kwa wananchi ili Watanzania wawe salama zaidi. Kwa sasa madaraka ya rais na serikali yapo kwa rais badala ya wananchi. Watanzania turudishe madaraka mikononi mwa wananchi kutoka kwa rais na serikali.Nadhani unaamanisha wakati alipokuwa anakaribia kumtaja mgombea mwenza.
Kama haumfahamu muuaji kwa asilimia 100% unawezaje kusema fulani hahusiki?Mkuu sifahamu hata muuaji mmoja, lakini naweza kusema hakuna mnyarwanda anayeweza kuja kumuua huyo jamaa kwa kuwa judge tu wa ile mahakama. Tusiumize vichwa kwa sasa, he is already dead, in weeks and months ahead tutajua muuaji ni nani, for sure hata kamatwa and life will go on. Hii ndio haki Tanzanian style.
Hapana mpita njia hatuwezi kusema ni majambazi wakati hatujui muuaji kwasababu muuaji siyo lazima awe jambazi. Ni sahihi tukisema ni wauaji wasiojulikana.Kwa sasa hivi inafahamika kuwa ni majambazi. Nadhani uchunguzi wa kina baadaye ndio utakaoonyesha iwapo kuna mkono mwingine
R.I.P Prof
Mtujuze kama ni majambazi tu au kuna mkono mwingine.
Nasikia siasa zimetawala kwenye mazingira yote ya kifo chake!
Sijui ni kumbukumbu zangu au ndio uzee wenyewe.... kuna wakili mmoja aliuawa miaka michache iliyopita kwa staili hiyo hiyo, halafu sijui ni mwaka jana ule ambapo msomi mwingine toka UDSM aliuawa kwa staili ile ile.. (jina limenitoka kidogo) na sasa Mwaikusa. Aidha hawa "majambazi" wanapenda sana wasomi tena mawakili.. au
Mi ndiyo nimezeeka zaidi kwani hata sikumbuki matukio unayorejea, kweli uzee unatujia mapema sana!
Akiwa anakaribia kutaja mgombea binafsi naomba nimnukuu RAIS,DK KIKWETE
Mimi napenda niwaonye kabisa yoyote atakaeshabikia ama kutaka kufanya kitu kitakachotutenganisha
nawaambia kweli hii serikali si sehemu ya kutafuta umaarufu,,nasema hili nikimaanisha nawambia ili mtu asishangae ..kuna walioanza chokochoko tuliwashugulikia na wengine (
tumewasahau)
kabisa
Mwenye akili utajua ana maana Gani!!!nawaambia ukweli tutakushugulikia mpaka mwisho..mi nawaambia msidanganyike bwana kitu kikija kwangu nikisema no ni no hata iweje..utahangaika kwa haki za binadamu ,,mahakama kuu na vyombo vingine vya sheria nikisema no itaishia no
DK KIKWETE TUELEZE PROF WETU ALIPO...HILI JAMBO WANA JF SI LA KUCCHUKULIA MZAHA HATA KIDOGO..ATUITAJI KUISHI NA SERIKALI YA WAUWAJI..UTAMUUA KILA MTU SIKU YA MWISHO BABAKO ANAKUKANA UTAMMALIZA???
Sijui ni kumbukumbu zangu au ndio uzee wenyewe.... kuna wakili mmoja aliuawa miaka michache iliyopita kwa staili hiyo hiyo, halafu sijui ni mwaka jana ule ambapo msomi mwingine toka UDSM aliuawa kwa staili ile ile.. (jina limenitoka kidogo) na sasa Mwaikusa. Aidha hawa "majambazi" wanapenda sana wasomi tena mawakili.. au