Wakili Musa Kwikima (1939 – 2020) Katibu Tume ya Waislam ya Mgogoro wa EAMWS, 1968

Wakili Musa Kwikima (1939 – 2020) Katibu Tume ya Waislam ya Mgogoro wa EAMWS, 1968

Kwikima amefanya mengi huenda wewe ulikuwa mtoto au hujazaliwa, hao ndio ma pioneer wa sheria ya Tanganyika, unaweza usimpite hata mtu mzima mmoja wa umri wa kuanzia miaka 60 katika fani ya sheria ashindwe kukueleza umaridadi wa kwikima, bwana mkapa alikuwa akimuita mnyamwezi mbishi.

Kwikima ndio hakimu mkazi wa kwanza mtanganyika, kwikima ndio kabidhi wasii wa kwanza mtanganyika, kwikima ndio pendekezo la kwanza la Philip Telford Georges (aliyekuwa Jaji mkuu baada ya uhuru akitokea visiwa vya Trinidad and Tobago) kwenda kwa mwl julius ili awe Jaji mkuu, itoshe tu kukwambia wapo wazee wengi walioifanyia hii nchi makubwa hutokuja kuwasikia, Mola Ampumzishe kwa Amani Advocate kwikima
Allahumma ghfirahu warhamhu wamaskanahu fil jannat. AMEEN
 
Back
Top Bottom