Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Bakwata yenyewe ilishajichongea kwa waislamu toka ilivyoundwa.Unaichonganisha BAKWATA na waislamu
Inatambulika wazi Bakwata ipo kwa faida ya nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bakwata yenyewe ilishajichongea kwa waislamu toka ilivyoundwa.Unaichonganisha BAKWATA na waislamu
Allahumma ghfirahu warhamhu wamaskanahu fil jannat. AMEENKwikima amefanya mengi huenda wewe ulikuwa mtoto au hujazaliwa, hao ndio ma pioneer wa sheria ya Tanganyika, unaweza usimpite hata mtu mzima mmoja wa umri wa kuanzia miaka 60 katika fani ya sheria ashindwe kukueleza umaridadi wa kwikima, bwana mkapa alikuwa akimuita mnyamwezi mbishi.
Kwikima ndio hakimu mkazi wa kwanza mtanganyika, kwikima ndio kabidhi wasii wa kwanza mtanganyika, kwikima ndio pendekezo la kwanza la Philip Telford Georges (aliyekuwa Jaji mkuu baada ya uhuru akitokea visiwa vya Trinidad and Tobago) kwenda kwa mwl julius ili awe Jaji mkuu, itoshe tu kukwambia wapo wazee wengi walioifanyia hii nchi makubwa hutokuja kuwasikia, Mola Ampumzishe kwa Amani Advocate kwikima