Hizi ni ishara za kutapatapa. Maji yame wafika shingoni, sasa mnaropoka tu kama vichaaWatashughulika nae vilivyo.
"Watashughulika nae vilivyo". Nani hao, polisi? Kuna siku yenu mtashughulikiwa vilivyo na wananchi wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni ishara za kutapatapa. Maji yame wafika shingoni, sasa mnaropoka tu kama vichaaWatashughulika nae vilivyo.
Hakuna cha "kujitathimini" chochote kuachana na taka taka kama huyo spika. Kinacho takiwa hapo ni kutoruhusu kura zao zichafuliwe na kulazimisha huo uchafu uendelee kubaki Bungeni.Wanambeya wajitathimini kama Tulia bado anatosha kwao.
Nina imani kubwa, safari hii tutapata jibu kwa tofauti yetu hii.Kwa hizi chaguzi kiinimacho, watapatikana wawakilishi fake wa wananchi kwa sana.
Hizi akili ni zile zinazofikiria kutumia makalioTLS imechukua nafasi ya makanisa, misikiti, bunge na mahakama, good
Sio viongozi tuu, ona hii akili sasa inavyofikiria na wako wengi sana, safari ni ndefuMmewaponza wenzenu kama Sa8 na Deus Soka,familia zao zinateseka nyie mnajidai kubweka kinafiki na hakuna radical decision mnayochukua
Poor you.stupid
Ilikuwa kwa nia njema.nyie mnapotoshaKwanini sasa mlikubali mfumo wa Vyama vingi?!
Kama nyie UWTHizi akili ni zile zinazofikiria kutumia makalio
Sawa dada nimekusoma.Imekuwa kosa toka lini kuwa mwanasiasa au mwanachama wa CHADEMA? Hao mawakili walio shindana naye na kubwagwa hawakuwa wanachama wa CCM?
Kuwa CHADEMA kunaondoa hadhi ya kuwa mTanzania, au kupigania maslahi ya wananchi hii?
Mbona nyinyi watu mmekuwa wapuuzi kiasi hiki?
Spika yupo sahihi kutaka utaratibu ufuatwe, mauaji hayajaanza leo wala jana hapa Tanzania.Hizi ni ishara za kutapatapa. Maji yame wafika shingoni, sasa mnaropoka tu kama vichaa
"Watashughulika nae vilivyo". Nani hao, polisi? Kuna siku yenu mtashughulikiwa vilivyo na wananchi wenyewe.
Kuna bunge pale???Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo yanakwamisha hilo, amezungumza hayo wakati anahojiwa na Kituo cha Crown FM.
Sijui siku mtoto wa kiongozi akitekwa sijui wataendelea kukaa kumya au?Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo yanakwamisha hilo, amezungumza hayo wakati anahojiwa na Kituo cha Crown FM.
Very learned Man ------------- Esc Mwabukusi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Rais wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Boniface Mwabukusi amesema Bunge lina wajibu wa kuruhusu mjadala wa suala la utekaji kujadiliwa ndani ya Bunge bila kujali kuna mambo ya kiufundi ambayo yanakwamisha hilo, amezungumza hayo wakati anahojiwa na Kituo cha Crown FM.
Nia njema gani mlitaka tuwe Vyama Puppets.Ilikuwa kwa nia njema.nyie mnapotosha
Punguza hasira, kutekwa wanatekwa wanasiasa wa USA na UK mahali penye usalama wa hali ya juu kuliko huku Afrika.Kiukweli hili bunge linaongozwa na majuha.kwa nini kwenye baadhi ya mikataba yao ya kijinga Huwa wanaitisha hati ya dharura lakini kwenye utekaji wa kuua watanzania hawataki kupitisha dharura ili kuijadili na kutoa maazimio?.Mfano mkataba wa gesi ya mtwara uliitishwa Kwa dharura na wananchi hatukushirikishwa lakini hii ya kuteka watu wanajifanya utaratibu.Hawa watekaji wateke na ndugu wa viongozi ili akili ziwakae vizuri
Unaweza kuniita chochote unachotaka, lakini ujue kuwa haya mnayo yafanya kwa waTanzania hayafa.Sawa dada nimekusoma.
Hapana.Tukutane kwenye mdahalo tuwagalqgaze na vijihoja vyenu uchwaraNia njema gani mlitaka tuwe Vyama Puppets.
Watu wanatekwa, wanapoteza maisha, kuna utaratibu gani huo unaoshinda maisha ya binaadam wengine. Tena wahusika hasa wakiwa ni hao hao wanaohimiza "utaratibu ufuatwe"? Ili iweje, watu wengi zaidi wapotezwe/wauawe; au hadi hapo lengo la maovu hayo litakapo kuwa limetimia; la kuwatisha na kuwatia uoga waTanzania wasihoji wanayo yaona kutokuwa sawa?Spika yupo sahihi kutaka utaratibu ufuatwe, mauaji hayajaanza leo wala jana hapa Tanzania.