Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Huyu ashukuru sasa,lakini wakati wa Mwalimu Nyerere,angeozea jela,Kina Bibi Titi,kina Fundikira ,kina Kambona chamoto walikiona,na wengine wengi.Wafikiri Mwalimu angewachekea hawa,leo tusingekuwa na Tanzania hii.
Ilikuwa enzi hizo , nyakati tulizonazo ni nyingine,
Raia kiwango cha kujitambua kimeongezeka,
Wasomi wameongezeka,
Utandawazi unaonesha raia wa nchi nyingine wanavyoishi na serikali zao,
Wanaona Uhuru wa haki ya kutoa maoni,
Mfano nchi jirani ya Kenya n.k