Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
- Thread starter
- #141
Hakuna mahali kaacha kutumia neno TanganyikaBaada ya kutoka Mahabusu kaacha kutumia neno Tanganyika …karudi kutumia neno Tanzania na sasa Dr Samia Suluhu Hassan anamtambua kama Rais sio Mwanamke kutoka Zanzibar
Wakufunzi wa Jela za Tanzania ni mahiri sana kuelimisha watu ndani ya muda mfupi
Sent using Jamii Forums mobile app