Wakili Mwabukusi nakukubali sana, ila taniana na Wote lakini usitake Kuwazoea vibaya JWTZ na Usijidanganye ukaja Kujuta

Wakili Mwabukusi nakukubali sana, ila taniana na Wote lakini usitake Kuwazoea vibaya JWTZ na Usijidanganye ukaja Kujuta

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Hata TISS sio wa kubishana nao.

Labda kama mtu anataka aione kuzimu mapema.
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Waingie Loliondo pale kuna jeshi limevamia nchi na kuweka base yao pale.
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Leo ndo nimejua ww ni walewale wa vijiweni[emoji107][emoji107]
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Mwabu kapigwa mkwara aisee🤣
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Wewe vipi wewe.

Mwambulukusi ni shujaa, hakuna jeshi wala Rais, aweke mkutano na waandishi wa habari awape za uso, kwanini wajifanye wako juu ya sheria.


Mwambulukusi wewe ni shujaa wa Tanzania. Itisha mkutano mkubwa wa waandishi uwape za uso hao wanajeshi, usimsahau mdudu, slaa na yule askofu anayevaa kanzu ya pinki.
 
Wewe vipi wewe.

Mwambulukusi nishujaa, hakuna jeshi wala Rais, aweke mkutano na waandishi wa habari awape za uso, kwanini wajifanye wako juu ya sheria.


Mwambulukusi wewe ni shujaa wa Tanzania. Itisha mkutano mkubwa wa waandishi uwape za uso hao wanajeshi, usimsahau mdudu, slaa na yule askofu anayevaa kanzu ya pinki.
Wewe bibi wa kiarabu vipi? Umevimbiwa kashata au?
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
Acha woga wewe, hao VIBARAKA WA CCM hawako juu ya sheria. Jeshi ilikua enzi za Mwalimu, hawa wasasa wapo kwaajili ya kuhakikisha chama twawala kinaendelea kudumu pasipo bugdha yoyote.

Kama una NJAA njoo upate moja mbili tatu hapa..

Tafuta pesa.jpg
 
Waache wafanye Kazi yao na kwa Taarifa yako tu isingekuwa Ushujaa wait na Kulipambania Taifa hili kwa Uweledi Wao Uliotukuka ya Amboni Tanga na MKIRU Pwani yangeleta madhara na maafa makubwa nchini kiasi kwamba hata hizo Bia unazopenda Kunywa na hizo Nyama Choma zinazokunenepesha Mashavu yako hayo kama Panya Buku wa Nangurukuru usingeweza Kuzipata kwakuwa nchi ingekuwa Imeshachafuka ( namaanisha kingekuwa Kimeshanuka ) na tunatafutana tu.

Labda tu Wakili Mwabukusi nikusaidie Kukuelekeza wa Wewe Kuwatania na Kuwapiga Mikwara yako Mbuzi ni akina Mgambo Tanzania, Polisi Taniana, K4Security, Kiwango Security, TAKUKURU, UHAMIAJI Tanzania, TISS na Ulinzi Shirikisho ila Usithubutu tena Kuwatishia Kisheria JWTZ na usisahau kuwa hata huko Kwao JWTZ pia kuna Wabobezi ( Gurus ) wa Sheria na Uwakili na huenda wana Akili, Uwezo na Ujuzi hata wa Kukuzidi Wewe.

JWTZ fanyeni Kazi yenu bila Uwoga.
unaandika kama vile hao wanajeshi hawaishi kwa mishahara inayotokana na kodi zetu. kwa taarifa yako, wanajeshi wengi tu wakivunja sheria huwa wanahukumiwa kijeshi au ikizidi sana huwa wanauvliwa uanajeshi na kuletwa kwenye mahakama hizi za kawaida, na wapo wengi tu gerezani hata leo wamefungwa. hawana haki ya kuvunja sheria au kuvunja haki za raia. yawapasa wawe makini.
 
Back
Top Bottom