Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Mtu yeyote mwenye akili anajua kikao cha marais wa zamani wa TLS cha kujadiili haki za uchaguzi ni kikao cha Chadema tu, hakuna lingine.
Kama marais wa zamani mbona wakili Edward Hossea hakuwepo?
Kama marais wa zamani mbona wakili Edward Hossea hakuwepo?