Wakili Mwabukusi siasa zinakuvunjia heshima TLS kama marais wa TLS wamekutana mbona Wakili Edward Hossea hakuwepo?

Wakili Mwabukusi siasa zinakuvunjia heshima TLS kama marais wa TLS wamekutana mbona Wakili Edward Hossea hakuwepo?

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Mtu yeyote mwenye akili anajua kikao cha marais wa zamani wa TLS cha kujadiili haki za uchaguzi ni kikao cha Chadema tu, hakuna lingine.

Kama marais wa zamani mbona wakili Edward Hossea hakuwepo?
 
Hivi kwa nini utaka mtu akijamba useme kapumua wakati unajua ni ushuzi.
Anza na familia yako kwanza inawezekana hata mkeo na chama chako ccm kina kukosea ila umeshindwa kujua kilijamba ukasema kina nukia marashi.
 
Mtu yeyote mwenye akili anajua kikao cha marais wa zamani wa TLS cha kujadiili haki za uchaguzi ni kikao cha Chadema tu, hakuna lingine.

Kama marais wa zamani mbona wakili Edward Hossea hakuwepo?
Kutokuwepo kwa Edward Hosea sio lazima iwe ni kwa sababu hicho kikao kilikuwa cha CHADEMA! There is more than one possible reason!
 
Mtu yeyote mwenye akili anajua kikao cha marais wa zamani wa TLS cha kujadiili haki za uchaguzi ni kikao cha Chadema tu, hakuna lingine.

Kama marais wa zamani mbona wakili Edward Hossea hakuwepo?
Hivi wewe ndio umeingia JF leo??? Mbona mada haina kichwa wala miguu... yaani kimsingi hueleweki... Hata kama ni mtoto wa huyo Hosea, ndio ukose akili kiasi hiki???
 
Mtu yeyote mwenye akili anajua kikao cha marais wa zamani wa TLS cha kujadiili haki za uchaguzi ni kikao cha Chadema tu, hakuna lingine.

Kama marais wa zamani mbona wakili Edward Hossea hakuwepo?

Swali lako la kipuuzi!! Yaani kukosekana kwa mtu mmoja kunaondoa uhalali wa kikao? Unajuaje pengine ana udhuru au yu mgonjwa.
 
Mtu yeyote mwenye akili anajua kikao cha marais wa zamani wa TLS cha kujadiili haki za uchaguzi ni kikao cha Chadema tu, hakuna lingine.

Kama marais wa zamani mbona wakili Edward Hossea hakuwepo?
Sasa siukamuukize Hosea kwanini hajakuwepo na ile hali wenzie walikuwepo?
 
Ulitaka aje kikaoni kwa mapenzi yako au yake?
 
Back
Top Bottom