Wakili Mwabukusi: Wapinzani hawana afadhali yoyote na CCM, ni wabaya kuliko hata CCM

Nilijuwa na nilisema kuwa kitendo cha Mwabukusi kuruhusu vyama vya siasa kudandia agenda yake ya DPW aliyoishaitengeneza vizuri ni kuiua agenda hiyo. Sasa yametia Mwarabu yuko Kurasini.

Hivi vyama kama vyenyewe havitaki kushirikiana vimeamua kuwa wateja wa CCM 5-1 unategemea unaweza kushirikiana navyo jambo ukalifanikisha kwa tija?

Bora Mwabukusi kama wao wapinzani ungechukuwa chako mapema.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Chadema wanatatuaje changamoto za Tanzania kwani wao ni serekali wanakusanya kodi
 
ccm wako bungeni asilimia 100 wabadilishe sheria mbovu ambazo haziwajibishi waizi wa mali za umma hio lawama tena unawapa chadema hii ni kali
 
Naamini Mbeya wanaweza kuanzisha chama cha ziada chenye mafanikio kwenye upinzani, isiwe kila muda vyama vyenye upinzani vianzishwe na watu wa Kilimanjaro (Ilianza Tlp, ikaja Nccr, sasa ni Chadema)
Umepotpsha tlp ni rwekwamwa, nccr ni mabere, cdm ni bob makani Kilimanjaro Iko wapi?? Una elimu ndogo na Chuki za ukabila,
 
Nyie chadema si ndio mlijipendekeza kwake?acha awanyeee
 


“Machafuko ama Mapinduzi ya kijeshi “

Bado sana JMT kufika huko.
 
Halafu kuna wapuuzi wanaamini kabisa kuwa mzee mbowe eti anajitolea kufanya siasa ,dah nchi hii ina wajinga aisee
 
wapi chadema imesema itashiriki uchaguzi? jiepushe na watu wa hovyo......usiwe kwenye kundi la mtu kutofungu post/thread yako akijua kuna rubbish!

Kuna namna ya kusema uliyonayo moyoni kwa wenzako ambao lengo lenu ni moja..... huyu kumbe mpuuzi tu.
Hivi kweli kuna wakumzuia lema kutokutafuta ajira ya pale Arusha eti kisingizio ni katiba mpya?
 
Halafu kuna wapuuzi wanaamini kabisa kuwa mzee mbowe eti anajitolea kufanya siasa ,dah nchi hii ina wajinga aisee
Kipindi billcanars inataifishwa, mashamba ya mbowe yanaharibiwa na kumbuka account za mbowe zimefungwa na zimefunguliwa wakati wa samia au kipindi hiko mbowe anafanyiwa hayo madhila ulikua bado mtoto
 
Mbowe anazingua, ila mwabukusi kuita wapinzani ni wabaya kuliko CCM Hilo ni tusi baya na dharau. Aanzishe chama chake Sasa.
Wachagga bana bado mnaamini kuwa chadema ni chama cha siasa?
 
Wachagga bana bado mnaamini kuwa chadema ni chama cha siasa?
Kipindi billcanars inataifishwa, mashamba ya mbowe yanaharibiwa na mkuu wa wilaya kule hai, na kumbuka account za mbowe zimefungwa na zimefunguliwa wakati wa samia au kipindi hiko mbowe anafanyiwa hayo madhila ulikua bado mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…