It's true, japo nilisoma LL.B UDSM kwa 4 years, from 2003 nikahitimu 2007, LL.B yangu nimekuja kukabidhiwa 2017!. Ten years after graduating!.
Wakati nikiwa mwaka wa 4, matokeo ya mwisho, nika clear. Jina langu nikaliona kwenye list ya graduation. Hivyo nikajihesabu ni graduant.
By then, part of family inaishi nje ya nchi, hivyo nikatimka zangu to join the family for a family matters.
Kumbe huku nyuma kuna mwalimu alifuta matokeo yangu ya somo lake ambalo nilikuwa nimepata A, kwa hoja kuwa mimi ni mtu anayenifahamu, hakuwahi kuniona hata mara moja kwenye somo lake!.
Hivyo jina langu likaondolewa kutoka graduation list na mimi
nikapigwa a technical disco kwa kufutiwa matokeo mengine yote as an absentee without mimi knowing maana siko nchini.
Niliporudi nchini 2008, nikaanza kushughulikia clearance yangu, baada ya kukamilisha kila kitu, kufika hatua ya mwisho, wakati wanataka ku print cheti changu ndipo wakukuta jina limekatwa, hivyo halipo kwenye graduation list!.
Ndipo nikaanza ku trace back to back ndipo nikakuta matokeo yangu ya mwisho yamefutwa yote!.
Ku trace reasons ndipo nikaikuta hiyo hoja kuwa somo hilo nililopata A, sikuwahi kuhudhuria hata kipindi kimoja!. Mwalimu ananijua in person, hivyo hajawahi kuniona!.
Ukiwa maarufu, a local TV personality kwa kujulikana kwa sura ni shidah!. Ili uwe free kwenye mambo fulani you have to disguise and be incognito, somo lake kila siku, nilikuwepo, signing sheet nasaini, ila nilikuwa nakaa back bench, incognito nimepiga kapelo na sun gogle's, siulizi swali lolote wala sichangii hoja yoyote, teacher akawa anadhani sipo!.
Records za attendence register zipo zikaonyesha nilikuwepo, Mwalimu aliyefuta matokeo yangu, aliyafuta kinyume cha sheria, kama ni kweli hajaniona kwenye kipindi chake, alipaswa aniripoti ili nizuiwe kufanya UE, kama course work zote nimefanya, jina lipo kwenye attendance register, mtihani wa EU nimefanya, na nikapata A, hakuna sheria ya kumfutia mwanafunzi matokeo eti kwasababu unamjua ni maarufu na hujawahi kumuona kwenye kipindi chako!.
Utambulisho wa mwanafunzi kuhudhuria kipindi ni attendance register na sio Sura!.
Justifications ya kufanya EU, ni attendance register na kukamilisha course work, na sio mwalimu kukujua sura!.
Wakati namaliza UDSM, Dean alikuwa ni Dr. Ibrahim Juma.
Wakati nahangaikia cha kufanya ndipo nikala ule mziga wa bike
Pascal Mayalla apata ajali.....
Sikuweza tena kushughulikia.
Mwaka ukapita
2009 nikawa fit kuanza shughuli mdogo mdogo na nilishuka humu JF kushukuru
Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
usumbufu ulipozidi nikaachana na kufuatilia, nikaenda zangu UK, kufanya Kazi FCO, nikapangiwa BHC DAR.
Ndipo nikarudi UDSM kumaliza mambo yangu, nikakuta Dean ni Prof. Sifuni Mchome, nikakubaliwa nitapewa cheti changu cha kuhitimu LL.B ila sasa sheria imebadilika nitatakiwa kwenda law school!.
It took me almost 10 good years to be recognised as a bonafide LL.B holder in 2017 baada ya jina langu kuingizwa upya Kwa graduation ya 2018 watu wakadhani ndio nime graduate!.
Baada ya ku graduate 2007 jina kuingizwa 2018, it took 5 more years kupata uwakili, 2022!. Kiukweli hii safari ya uwakili wangu ni ndefu, yenye milima na mabonde, vidimbwi, madibwi, mito na vijito na sasa ndio hatimaye nimeifikia bahari, jee nitavuka?.
P