Wakili Pasco Mayalla -A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part II

Wakili Pasco Mayalla -A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part II

Mkuu elvischirwa, nakuomba sana usinilishe maneno, sijawahi kutamka popote kuwa Mbowe ni gaidi, ila kufuatia mimi kuwa ni mtu wa Audio Visual (30 years, experience), nilithibitisha ile video ni bonafide genuine, kwa vile mimi sio mamlaka ya uchunguzi jinai, (DCI) na wala sio mamlaka ya kuendesha kesi jinai, (DPP) na sio mamlaka ya uthibitisho wa jinai, (mahakama) nilitoa tuu angalizo hili kuhusu Chadema Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...!
P
Mimi nimekariri ulichowahi kuandika kuhusu Mbowe na tukio la Mwanza, bahati mbaya sijawahi kukutana humu na mwingine akikariri hicho ulichokidai, hata hivyo kesi ilipofutwa haikuwa busara kufukua ushahidi ambao haukuwahi kusemwa na mtu mwingine yeyote zaidi ya wewe ambao usingeirejesha upya kesi, mhe. Wakili umekua na shutuma nyingi sana dhidi ya Chadema na ndiyo picha uliyojijengea humu JF of GT's kiasi kuwa mimi hujiuliza je, utaweza kuwa Lakha kumtetea mwanachadema? Ni tumaini langu baada ya kutimiza haja yako sitegemei kuona Post zako dhidi ya Chadema na dhidi ya vyama vingine kama zipo japo sizikumbuki kama zipo.
 
Kwa story hii ndio nimeunganisha dots sasa wanaokufungamanisha na kaunda suti huwa wapo sahihi.
Duh...!, Mkuu Matola, Mimi na Abou ni ndugu wa damu tumesoma nae darasa moja, chuo kimoja TSJ, tukilala chumba kimoja. Tukaomba kazi pamoja sehemu moja na kuajiriwa siku moja position moja pale RTD, ofisi ikatupangia nyumba moja, Flat pale Ilala Sharif Shamba tukaanza maisha pamoja. Tulikuja kutengana baada ya wote kuoa nyumba ikawa ndogo.

Msiba kwa Abou ni msiba wangu, naamini unajua ni msiba wa nani na uhusiano wa msiba huo na wazee wa Kaunda Suti!.
Kaunda suti hazitangazi nafasi za kazi huwa wanachukuwana wenyewe na jana nimekuona Tabata kwenye msiba wa kaunda suti na Abubakar Liongo.
Pale ni nyumbani kwa Abou, Mimi kwa upande wangu, wazazi wangu wote wawili walikuwa wàtumishi waaminifu na maofisa waandamizi wa Idara, na ni kweli Idara huwa wana recruit from within ila sisi tumezaliwa watoto 8, hivyo hata kama Idara wana recruit watoto wa wana Idara, we can't all 8 of us be recruited huko!. Ndugu zangu 6 wako serikalini, wawili ndio tuko sekta binafsi. Siwezi kujua kuhusu ndugu zangu ila mimi sio!.

Mtu wa Idara, hawezi kuleta humu issues kama hizi, TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Au hii Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Ningekuwa ni mtu wa kule issue kama hii ingetua mezani kwa DGIS na yeye aipeleke kwa CinC, lakini mimi niliileta humu, na hao jamaa wakaipuuzia mwisho wa siku, jamaa wakala kichwa!.

Au nilipotoa angalizo hili, US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? ningekuwa mimi ni mtu wa kule, hoja hizi si ningeziwasilisha kule, zikafanyiwa kazi!. Matokeo yake hoja hizi zilipuuzwa mwisho wa siku tukalizwa!.
P
 
Duh...!, Mkuu Matola, Mimi na Abou ni ndugu wa damu tumesoma nae darasa moja, chuo kimoja TSJ, tukilala chumba kimoja. Tukaomba kazi pamoja sehemu moja na kuajiriwa siku moja position moja pale RTD, ofisi ikatupangia nyumba moja, Flat pale Ilala Sharif Shamba tukaanza maisha pamoja. Tulikuja kutengana baada ya wote kuoa nyumba ikawa ndogo.

Msiba kwa Abou ni msiba wangu, naamini unajua ni msiba wa nani na uhusiano wa msiba huo na wazee wa Kaunda Suti!.

Pale ni nyumbani kwa Abou, Mimi kwa upande wangu, wazazi wangu wote wawili walikuwa wàtumishi waaminifu na maofisa waandamizi wa Idara, na ni kweli Idara huwa wana recruit from within ila sisi tumezaliwa watoto 8, hivyo hata kama Idara wana recruit watoto wa wana Idara, we can't all 8 of us be recruited huko!. Ndugu zangu 6 wako serikalini, wawili ndio tuko sekta binafsi. Siwezi kujua kuhusu ndugu zangu ila mimi sio!.

Mtu wa Idara, hawezi kuleta humu issues kama hizi, TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Au hii Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Ningekuwa ni mtu wa kule issue kama hii ingetua mezani kwa DGIS na yeye aipeleke kwa CinC, lakini mimi niliileta humu, na hao jamaa wakaipuuzia mwisho wa siku, jamaa wakala kichwa!.

Au nilipotoa angalizo hili, US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? ningekuwa mimi ni mtu wa kule, hoja hizi si ningeziwasilisha kule, zikafanyiwa kazi!. Matokeo yake hoja hizi zilipuuzwa mwisho wa siku tukalizwa!.
P
Tahafhari: Matumizi ya Tip-× hayaruhusiwi.
 
Duh...!, Mkuu Matola, Mimi na Abou ni ndugu wa damu tumesoma nae darasa moja, chuo kimoja TSJ, tukilala chumba kimoja. Tukaomba kazi pamoja sehemu moja na kuajiriwa siku moja position moja pale RTD, ofisi ikatupangia nyumba moja, Flat pale Ilala Sharif Shamba tukaanza maisha pamoja. Tulikuja kutengana baada ya wote kuoa nyumba ikawa ndogo.

Msiba kwa Abou ni msiba wangu, naamini unajua ni msiba wa nani na uhusiano wa msiba huo na wazee wa Kaunda Suti!.

Pale ni nyumbani kwa Abou, Mimi kwa upande wangu, wazazi wangu wote wawili walikuwa wàtumishi waaminifu na maofisa waandamizi wa Idara, na ni kweli Idara huwa wana recruit from within ila sisi tumezaliwa watoto 8, hivyo hata kama Idara wana recruit watoto wa wana Idara, we can't all 8 of us be recruited huko!. Ndugu zangu 6 wako serikalini, wawili ndio tuko sekta binafsi. Siwezi kujua kuhusu ndugu zangu ila mimi sio!.

Mtu wa Idara, hawezi kuleta humu issues kama hizi, TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Au hii Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Ningekuwa ni mtu wa kule issue kama hii ingetua mezani kwa DGIS na yeye aipeleke kwa CinC, lakini mimi niliileta humu, na hao jamaa wakaipuuzia mwisho wa siku, jamaa wakala kichwa!.

Au nilipotoa angalizo hili, US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali? ningekuwa mimi ni mtu wa kule, hoja hizi si ningeziwasilisha kule, zikafanyiwa kazi!. Matokeo yake hoja hizi zilipuuzwa mwisho wa siku tukalizwa!.
P
Atleast nimeelewa sasa kwa nini ulikuwq kindakindaki na Lowasa, najuwa nafasi ya Aboubakar Liongo kwa Lowasa, illikuwa lazima muwe wote kwa Lowasa.

Nimefahamu kitu, hiyo ya Kaunda suti potezea tu nimeshaelewa.
 
Halafu wahariri hapo Nipashe walipwe malimbikizo yao, wameshindwa kuona hilo kosa kwenye heading mpaka gazeti limeenda press
 
Mkuu naskia ulipata shahada ya awali ya sheria LL.B UDSM kwa miaka 10?
It's true, japo nilisoma LL.B UDSM kwa 4 years, from 2003 nikahitimu 2007, LL.B yangu nimekuja kukabidhiwa 2017!. Ten years after graduating!.

Wakati nikiwa mwaka wa 4, matokeo ya mwisho, nika clear. Jina langu nikaliona kwenye list ya graduation. Hivyo nikajihesabu ni graduant.

By then, part of family inaishi nje ya nchi, hivyo nikatimka zangu to join the family for a family matters.

Kumbe huku nyuma kuna mwalimu alifuta matokeo yangu ya somo lake ambalo nilikuwa nimepata A, kwa hoja kuwa mimi ni mtu anayenifahamu, hakuwahi kuniona hata mara moja kwenye somo lake!.

Hivyo jina langu likaondolewa kutoka graduation list na mimi
nikapigwa a technical disco kwa kufutiwa matokeo mengine yote as an absentee without mimi knowing maana siko nchini.

Niliporudi nchini 2008, nikaanza kushughulikia clearance yangu, baada ya kukamilisha kila kitu, kufika hatua ya mwisho, wakati wanataka ku print cheti changu ndipo wakukuta jina limekatwa, hivyo halipo kwenye graduation list!.

Ndipo nikaanza ku trace back to back ndipo nikakuta matokeo yangu ya mwisho yamefutwa yote!.

Ku trace reasons ndipo nikaikuta hiyo hoja kuwa somo hilo nililopata A, sikuwahi kuhudhuria hata kipindi kimoja!. Mwalimu ananijua in person, hivyo hajawahi kuniona!.

Ukiwa maarufu, a local TV personality kwa kujulikana kwa sura ni shidah!. Ili uwe free kwenye mambo fulani you have to disguise and be incognito, somo lake kila siku, nilikuwepo, signing sheet nasaini, ila nilikuwa nakaa back bench, incognito nimepiga kapelo na sun gogle's, siulizi swali lolote wala sichangii hoja yoyote, teacher akawa anadhani sipo!.

Records za attendence register zipo zikaonyesha nilikuwepo, Mwalimu aliyefuta matokeo yangu, aliyafuta kinyume cha sheria, kama ni kweli hajaniona kwenye kipindi chake, alipaswa aniripoti ili nizuiwe kufanya UE, kama course work zote nimefanya, jina lipo kwenye attendance register, mtihani wa EU nimefanya, na nikapata A, hakuna sheria ya kumfutia mwanafunzi matokeo eti kwasababu unamjua ni maarufu na hujawahi kumuona kwenye kipindi chako!.

Utambulisho wa mwanafunzi kuhudhuria kipindi ni attendance register na sio Sura!.
Justifications ya kufanya EU, ni attendance register na kukamilisha course work, na sio mwalimu kukujua sura!.
Wakati namaliza UDSM, Dean alikuwa ni Dr. Ibrahim Juma.

Wakati nahangaikia cha kufanya ndipo nikala ule mziga wa bike Pascal Mayalla apata ajali.....
Sikuweza tena kushughulikia.
Mwaka ukapita
2009 nikawa fit kuanza shughuli mdogo mdogo na nilishuka humu JF kushukuru Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
usumbufu ulipozidi nikaachana na kufuatilia, nikaenda zangu UK, kufanya Kazi FCO, nikapangiwa BHC DAR.

Ndipo nikarudi UDSM kumaliza mambo yangu, nikakuta Dean ni Prof. Sifuni Mchome, nikakubaliwa nitapewa cheti changu cha kuhitimu LL.B ila sasa sheria imebadilika nitatakiwa kwenda law school!.

It took me almost 10 good years to be recognised as a bonafide LL.B holder in 2017 baada ya jina langu kuingizwa upya Kwa graduation ya 2018 watu wakadhani ndio nime graduate!.

Baada ya ku graduate 2007 jina kuingizwa 2018, it took 5 more years kupata uwakili, 2022!. Kiukweli hii safari ya uwakili wangu ni ndefu, yenye milima na mabonde, vidimbwi, madibwi, mito na vijito na sasa ndio hatimaye nimeifikia bahari, jee nitavuka?.
P
 
It's true, japo nilisoma LL.B UDSM kwa 4 years, from 2003 nikahitimu 2007, LL.B yangu nimekuja kukabidhiwa 2017!. Ten years after graduating!.

Wakati nikiwa mwaka wa 4, matokeo ya mwisho, nika clear. Jina langu nikaliona kwenye list ya graduation. Hivyo nikajihesabu ni graduant.

By then, part of family inaishi nje ya nchi, hivyo nikatimka zangu to join the family for a family matters.

Kumbe huku nyuma kuna mwalimu alifuta matokeo yangu ya somo lake ambalo nilikuwa nimepata A, kwa hoja kuwa mimi ni mtu anayenifahamu, hakuwahi kuniona hata mara moja kwenye somo lake!.

Hivyo jina langu likaondolewa kutoka graduation list na mimi
nikapigwa a technical disco kwa kufutiwa matokeo mengine yote as an absentee without mimi knowing maana siko nchini.

Niliporudi nchini 2008, nikaanza kushughulikia clearance yangu, baada ya kukamilisha kila kitu, kufika hatua ya mwisho, wakati wanataka ku print cheti changu ndipo wakukuta jina limekatwa, hivyo halipo kwenye graduation list!.

Ndipo nikaanza ku trace back to back ndipo nikakuta matokeo yangu ya mwisho yamefutwa yote!.

Ku trace reasons ndipo nikaikuta hiyo hoja kuwa somo hilo nililopata A, sikuwahi kuhudhuria hata kipindi kimoja!. Mwalimu ananijua in person, hivyo hajawahi kuniona!.

Ukiwa maarufu, a local TV personality kwa kujulikana kwa sura ni shidah!. Ili uwe free kwenye mambo fulani you have to disguise and be incognito, somo lake kila siku, nilikuwepo, signing sheet nasaini, ila nilikuwa nakaa back bench, incognito nimepiga kapelo na sun gogle's, siulizi swali lolote wala sichangii hoja yoyote, teacher akawa anadhani sipo!.

Records za attendence register zipo zikaonyesha nilikuwepo, Mwalimu aliyefuta matokeo yangu, aliyafuta kinyume cha sheria, kama ni kweli hajaniona kwenye kipindi chake, alipaswa aniripoti ili nizuiwe kufanya UE, kama course work zote nimefanya, jina lipo kwenye attendance register, mtihani wa EU nimefanya, na nikapata A, hakuna sheria ya kumfutia mwanafunzi matokeo eti kwasababu unamjua ni maarufu na hujawahi kumuona kwenye kipindi chako!.

Utambulisho wa mwanafunzi kuhudhuria kipindi ni attendance register na sio Sura!.
Justifications ya kufanya EU, ni attendance register na kukamilisha course work, na sio mwalimu kukujua sura!.
Wakati namaliza UDSM, Dean alikuwa ni Dr. Ibrahim Juma.

Wakati nahangaikia cha kufanya ndipo nikala ule mziga wa bike Pascal Mayalla apata ajali.....
Sikuweza tena kushughulikia.
Mwaka ukapita
2009 nikawa fit kuanza shughuli mdogo mdogo na nilishuka humu JF kushukuru Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
usumbufu ulipozidi nikaachana na kufuatilia, nikaenda zangu UK, kufanya Kazi FCO, nikapangiwa BHC DAR.

Ndipo nikarudi UDSM kumaliza mambo yangu, nikakuta Dean ni Prof. Sifuni Mchome, nikakubaliwa nitapewa cheti changu cha kuhitimu LL.B ila sasa sheria imebadilika nitatakiwa kwenda law school!.

It took me almost 10 good years to be recognised as a bonafide LL.B holder in 2017 baada ya jina langu kuingizwa upya Kwa graduation ya 2018 watu wakadhani ndio nime graduate!.

Baada ya ku graduate 2007 jina kuingizwa 2018, it took 5 more years kupata uwakili, 2022!. Kiukweli hii safari ya uwakili wangu ni ndefu, yenye milima na mabonde, vidimbwi, madibwi, mito na vijito hatimaye nikavuka.
P
Pole sana Paco, ni kweli Vyuoni sio wote wanafeli wengine wanafelishwa!
 
It's true, japo nilisoma LL.B UDSM kwa 4 years, from 2003 nikahitimu 2007, LL.B yangu nimekuja kukabidhiwa 2017!. Ten years after graduating!.

Wakati nikiwa mwaka wa 4, matokeo ya mwisho, nika clear. Jina langu nikaliona kwenye list ya graduation. Hivyo nikajihesabu ni graduant.

By then, part of family inaishi nje ya nchi, hivyo nikatimka zangu to join the family for a family matters.

Kumbe huku nyuma kuna mwalimu alifuta matokeo yangu ya somo lake ambalo nilikuwa nimepata A, kwa hoja kuwa mimi ni mtu anayenifahamu, hakuwahi kuniona hata mara moja kwenye somo lake!.

Hivyo jina langu likaondolewa kutoka graduation list na mimi
nikapigwa a technical disco kwa kufutiwa matokeo mengine yote as an absentee without mimi knowing maana siko nchini.

Niliporudi nchini 2008, nikaanza kushughulikia clearance yangu, baada ya kukamilisha kila kitu, kufika hatua ya mwisho, wakati wanataka ku print cheti changu ndipo wakukuta jina limekatwa, hivyo halipo kwenye graduation list!.

Ndipo nikaanza ku trace back to back ndipo nikakuta matokeo yangu ya mwisho yamefutwa yote!.

Ku trace reasons ndipo nikaikuta hiyo hoja kuwa somo hilo nililopata A, sikuwahi kuhudhuria hata kipindi kimoja!. Mwalimu ananijua in person, hivyo hajawahi kuniona!.

Ukiwa maarufu, a local TV personality kwa kujulikana kwa sura ni shidah!. Ili uwe free kwenye mambo fulani you have to disguise and be incognito, somo lake kila siku, nilikuwepo, signing sheet nasaini, ila nilikuwa nakaa back bench, incognito nimepiga kapelo na sun gogle's, siulizi swali lolote wala sichangii hoja yoyote, teacher akawa anadhani sipo!.

Records za attendence register zipo zikaonyesha nilikuwepo, Mwalimu aliyefuta matokeo yangu, aliyafuta kinyume cha sheria, kama ni kweli hajaniona kwenye kipindi chake, alipaswa aniripoti ili nizuiwe kufanya UE, kama course work zote nimefanya, jina lipo kwenye attendance register, mtihani wa EU nimefanya, na nikapata A, hakuna sheria ya kumfutia mwanafunzi matokeo eti kwasababu unamjua ni maarufu na hujawahi kumuona kwenye kipindi chako!.

Utambulisho wa mwanafunzi kuhudhuria kipindi ni attendance register na sio Sura!.
Justifications ya kufanya EU, ni attendance register na kukamilisha course work, na sio mwalimu kukujua sura!.
Wakati namaliza UDSM, Dean alikuwa ni Dr. Ibrahim Juma.

Wakati nahangaikia cha kufanya ndipo nikala ule mziga wa bike Pascal Mayalla apata ajali.....
Sikuweza tena kushughulikia.
Mwaka ukapita
2009 nikawa fit kuanza shughuli mdogo mdogo na nilishuka humu JF kushukuru Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
usumbufu ulipozidi nikaachana na kufuatilia, nikaenda zangu UK, kufanya Kazi FCO, nikapangiwa BHC DAR.

Ndipo nikarudi UDSM kumaliza mambo yangu, nikakuta Dean ni Prof. Sifuni Mchome, nikakubaliwa nitapewa cheti changu cha kuhitimu LL.B ila sasa sheria imebadilika nitatakiwa kwenda law school!.

It took me almost 10 good years to be recognised as a bonafide LL.B holder in 2017 baada ya jina langu kuingizwa upya Kwa graduation ya 2018 watu wakadhani ndio nime graduate!.

Baada ya ku graduate 2007 jina kuingizwa 2018, it took 5 more years kupata uwakili, 2022!. Kiukweli hii safari ya uwakili wangu ni ndefu, yenye milima na mabonde, vidimbwi, madibwi, mito na vijito na sasa ndio hatimaye nimeifikia bahari, jee nitavuka?.
P
Pole na Hongera sana, Pia asante kwa ufafanuzi
 
It's true, japo nilisoma LL.B UDSM kwa 4 years, from 2003 nikahitimu 2007, LL.B yangu nimekuja kukabidhiwa 2017!. Ten years after graduating!.

Wakati nikiwa mwaka wa 4, matokeo ya mwisho, nika clear. Jina langu nikaliona kwenye list ya graduation. Hivyo nikajihesabu ni graduant.

By then, part of family inaishi nje ya nchi, hivyo nikatimka zangu to join the family for a family matters.

Kumbe huku nyuma kuna mwalimu alifuta matokeo yangu ya somo lake ambalo nilikuwa nimepata A, kwa hoja kuwa mimi ni mtu anayenifahamu, hakuwahi kuniona hata mara moja kwenye somo lake!.

Hivyo jina langu likaondolewa kutoka graduation list na mimi
nikapigwa a technical disco kwa kufutiwa matokeo mengine yote as an absentee without mimi knowing maana siko nchini.

Niliporudi nchini 2008, nikaanza kushughulikia clearance yangu, baada ya kukamilisha kila kitu, kufika hatua ya mwisho, wakati wanataka ku print cheti changu ndipo wakukuta jina limekatwa, hivyo halipo kwenye graduation list!.

Ndipo nikaanza ku trace back to back ndipo nikakuta matokeo yangu ya mwisho yamefutwa yote!.

Ku trace reasons ndipo nikaikuta hiyo hoja kuwa somo hilo nililopata A, sikuwahi kuhudhuria hata kipindi kimoja!. Mwalimu ananijua in person, hivyo hajawahi kuniona!.

Ukiwa maarufu, a local TV personality kwa kujulikana kwa sura ni shidah!. Ili uwe free kwenye mambo fulani you have to disguise and be incognito, somo lake kila siku, nilikuwepo, signing sheet nasaini, ila nilikuwa nakaa back bench, incognito nimepiga kapelo na sun gogle's, siulizi swali lolote wala sichangii hoja yoyote, teacher akawa anadhani sipo!.

Records za attendence register zipo zikaonyesha nilikuwepo, Mwalimu aliyefuta matokeo yangu, aliyafuta kinyume cha sheria, kama ni kweli hajaniona kwenye kipindi chake, alipaswa aniripoti ili nizuiwe kufanya UE, kama course work zote nimefanya, jina lipo kwenye attendance register, mtihani wa EU nimefanya, na nikapata A, hakuna sheria ya kumfutia mwanafunzi matokeo eti kwasababu unamjua ni maarufu na hujawahi kumuona kwenye kipindi chako!.

Utambulisho wa mwanafunzi kuhudhuria kipindi ni attendance register na sio Sura!.
Justifications ya kufanya EU, ni attendance register na kukamilisha course work, na sio mwalimu kukujua sura!.
Wakati namaliza UDSM, Dean alikuwa ni Dr. Ibrahim Juma.

Wakati nahangaikia cha kufanya ndipo nikala ule mziga wa bike Pascal Mayalla apata ajali.....
Sikuweza tena kushughulikia.
Mwaka ukapita
2009 nikawa fit kuanza shughuli mdogo mdogo na nilishuka humu JF kushukuru Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
usumbufu ulipozidi nikaachana na kufuatilia, nikaenda zangu UK, kufanya Kazi FCO, nikapangiwa BHC DAR.

Ndipo nikarudi UDSM kumaliza mambo yangu, nikakuta Dean ni Prof. Sifuni Mchome, nikakubaliwa nitapewa cheti changu cha kuhitimu LL.B ila sasa sheria imebadilika nitatakiwa kwenda law school!.

It took me almost 10 good years to be recognised as a bonafide LL.B holder in 2017 baada ya jina langu kuingizwa upya Kwa graduation ya 2018 watu wakadhani ndio nime graduate!.

Baada ya ku graduate 2007 jina kuingizwa 2018, it took 5 more years kupata uwakili, 2022!. Kiukweli hii safari ya uwakili wangu ni ndefu, yenye milima na mabonde, vidimbwi, madibwi, mito na vijito na sasa ndio hatimaye nimeifikia bahari, jee nitavuka?.
P
Kwa aina ya maprofesa kama Kabudi sishangai huu mkasa ulioupata, pole sana na maisha yaendelee.

Binafsi nisingeweza kuendelea una moyo sana.
 
Ndugu Paskal, kama itakupendeza tunaomba CV ya huyu wakili mwandamizi msomi Murtaza Lakha pamoja na kesi alizowahi kuziungurumisha hapa Nchini ikiwemo kesi ilyomkumba baba yako ilivyoenda na alishinda vipi kutokana na usimamizi wa wakili hodari. Usisahau kunitag utakapoleta madini kuhusu ndugu Lakha au mwendelezo wako wa makala hii. Ahsante
 
Kwa aina ya maprofesa kama Kabudi sishangai huu mkasa ulioupata, pole sana na maisha yaendelee.

Binafsi nisingeweza kuendelea una moyo sana.
Huwezi, huwezi amini, Prof. Kabudi ni mtu poa sana!, yeye ndie alikuwa supervisor wangu wa LL.B Dissertation yuko poa sana na ana huruma sana maana... kuna umri wa kusoma 1st degree na umri wa kusoma post graduate, unaposoma ukiwa mtu mzima, na baadhi ya waalimu ni wadogo zako kama mimi mwaka wa kwanza, somo la kwanza, kipindi cha kwanza ni Dr. Tulia1, enzi hizo kasichana na umbo lake, alikuwa kama mtoto wa A level!. Waalimu watu wazima wanakuheshimu na kukuhurumia!. Ila kuna wale waalimu vijana!, baadhi ya wanafunzi mature tumetinga pale UDSM tukiwa njema kuliko baadhi ya maticha, hivyo ticha mkikutaa kitaa, unapiga offer, na hata naniliu, unampora!, sasa ngoja arudi chuo!, utakoma!.
P
 
We jamaa nakuchukia kichizi nakumbuka kesi ya mbowe uoni aibu kupost ujinga wako kutengeneza attention
 
This case licha ya kuwa na public interest, it's surprising it's unreported!. Haipo kwenye law reports as a result, haipo Tanzil!.

Hata police files zake zilikuja kutupwa. Nikiwa sekondari Tambaza, nikaenda kwa rafiki yangu mmoja anaitwa Martin Mpinga, dingi yake ni polisi, nikakuta lundo la police case files, ile sense of inquisitive yangu, nikafungua kusoma
..la haula!. Police files za Kesi ya Mauaji Mwanza!. Nikamuuliza Martin akasema ni ma fail ya kazini kwa baba yamehifadhiwa hapo!. Kumbe baadhi ya mafaili ya kazini ya polisi wetu wanaenda nayo home na kuyaacha yana zagaa zagaa, watoto wa polisi wanakuja na rafiki zao na kujisomea tuu kilichomo!.
P.
Mkuu why usilikwapue?nimependa sana mtiririko mzima wa masimulizi jambo jingine ningependa kufahamu hatma ya Mzee Mayalla je itaelezwa kwenye sehemu ya Mwisho?
 
Back
Top Bottom