Wakili Pasco Mayalla -A True Story of My Life: Nilitamani kuwa Wakili sababu ya Wakili Murtaza Lakha, sasa ni Wakili. Je, nitakuwa kama Lakha? Part II

Mkuu why usilikwapue?
Mkuu Duduvwili, ili mtu uweze kukwapua kitu chochote, lazima kwanza uwe na kitu kinachoitwa "mens rea" ya ukwapuaji, ndipo uweze kufanya "actus reus" (kitendo) cha ukwapuaji!, it's very unfortunately, mimi sio mkwapuaji!.
nimependa sana mtiririko mzima wa masimulizi jambo jingine ningependa kufahamu hatma ya Mzee Mayalla je itaelezwa kwenye sehemu ya Mwisho?
Asante, subiria last part.
P
 
✓Kaka Pascal hbri,nimepitia historia ya maisha yako nikagundua kuwa:we Ni mpambanaji Sana na kamwe hukati tamaaa Hadi upate like unachokitaka!!!
✓Nakuomba kitu kimoja ya kwamba Kama itawezekana andikia kitabu historia ya maisha yako itakuwa chachu Sana kwa watanzania na watu duniani kwa ujumla kutimiza ndoto zao
 
utavuka mkwe wangu Mungu yupo
 
Hao Watanzania wanasoma vitabu? Nyumbani kwako kama kuna wadogokozi pesa hifadhi kwenye kurasa za vitabu zitakaa salama kabisa hakuna mtu atagusa.
 
Ni mda sasa ila basi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…