Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Na kweli walimpataHata Mtikila anadai anawindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli walimpataHata Mtikila anadai anawindwa
Naikumbuka sana ile ajali tataNa kweli walimpata
....alidai anawindwa na sasa yametimia.Hata Mtikila anadai anawindwa
Walishsammaliza 2015Hata Mtikila anadai anawindwa
Huyu walimpata kwenye mawindo wakamalizaHata Mtikila anadai anawindwa
Katika jambo liliniuma ni kifo cha Prof Mwaikusa....huwezi amini serikali ya Tanzania ipo kimya hadi leo....Ni mahakama tu yenye ku prove guilty of an individual otherwise ni innocence tu ndiyo inakuwa ina prevail. Haiwezekani Kagame ukatili wake ukavuka mipaka kuja kuja kuua wananchi wetu wasio na hatia kama Prof Mwaikusa halafu jamii ikakaa kimya.
Za ndani ndani zinasema mzito mmoja aliyekuwa Director wa Communication wa Ikulu alihusika. Kwa kuwa naye ana asili ya Rwanda, basi ndiye aliyepokea fedha za kutekeleza udhalimu huo. The guy by then was strong a angeweza kuwaambia Polisi acheni upelelezi au akamtip mtu kuiba faili la uchunguzi. Salva RKatika jambo liliniuma ni kifo cha Prof Mwaikusa....huwezi amini serikali ya Tanzania ipo kimya hadi leo....
Kifo cha Prof kilinifunza jambo kubwa sana kuhusu Tanzania.....
Sitasahau kamwe tukio hili...
Poleni sana Baraka na wote...
Aisee!Za ndani ndani zinasema mzito mmoja aliyekuwa Director wa Communication wa Ikulu alihusika. Kwa kuwa naye ana asili ya Rwanda, basi ndiye aliyepokea fedha za kutekeleza udhalimu huo. The guy by then was strong a angeweza kuwaambia Polisi acheni upelelezi au akamtip mtu kuiba faili la uchunguzi. Salva R
Very Sad....unajua hata msibani kulikuwa na ganzi sana kulizungumzia tukio hilo...Za ndani ndani zinasema mzito mmoja aliyekuwa Director wa Communication wa Ikulu alihusika. Kwa kuwa naye ana asili ya Rwanda, basi ndiye aliyepokea fedha za kutekeleza udhalimu huo. The guy by then was strong a angeweza kuwaambia Polisi acheni upelelezi au akamtip mtu kuiba faili la uchunguzi. Salva R
Hizi dharau za maisha na mizaha juu ya uhai taifa hili zitaisha lini, mbona matukio ni mengi sana lakini hatujifunzi?!!!Hata Mtikila anadai anawindwa
Ivi inakuaje kagame anatuma watu nchi nyingine kufanya mauaji na iyo nchi inajikausha kimya tu.....Prof Peter Erlinder ambaye ni wakili anayewatetea watuhumiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ameomba kuwasilisha utetezi wake kwa niaba ya wateja wake kupitia picha za video yaani 'video conference'.
Anasema usalama wake uko mashakani kama atakuwapo mahakamani Arusha kimwili kwa kuwa Serikali ya Rwanda inatekeleza mpango wa kuwaua watetezi wote wa watuhumiwa wa mauaji ya kimbari.
Profesa Peter ambaye ni mwanasheria wa Kimarekani anasema hataki yampate yaliyompata mwanasheria mwenzie Profesa Juani Mwaikusa wa UDSM aliyeuawa kikatili nje ya nyumba yake mwaka jana.
Ingawa sitaki kuingilia mchakato wa DCI na mahakama lakini nataka mdau mwenye details zaidi atujuze!
Ivi inakuaje kagame anatuma watu nchi nyingine kufanya mauaji na iyo nchi inajikausha kimya tu.....
Msururu wa watu waliouliwa na Paul Kagame ni mrefu na wala hakuanza leo. Hata yule Fred Rwegima mwanzilishi wa RPF aliyeuliwa kwenye mapambano ni yeye ndiye aliye engineer. PK ni mbobezi katika kutengeneza mbinu za kuua wapinzani wake. Patrick Karegeya naye alikuwa head wa intelligence aliuawa South Africa kwa jinsi hiyo hiyo.Ivi inakuaje kagame anatuma watu nchi nyingine kufanya mauaji na iyo nchi inajikausha kimya tu.....
Saliti weweee. Kumbe una muda mrefu humu?Nakudharau Sana!Prof Peter Erlinder ambaye ni wakili anayewatetea watuhumiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ameomba kuwasilisha utetezi wake kwa niaba ya wateja wake kupitia picha za video yaani 'video conference'.
Anasema usalama wake uko mashakani kama atakuwapo mahakamani Arusha kimwili kwa kuwa Serikali ya Rwanda inatekeleza mpango wa kuwaua watetezi wote wa watuhumiwa wa mauaji ya kimbari.
Profesa Peter ambaye ni mwanasheria wa Kimarekani anasema hataki yampate yaliyompata mwanasheria mwenzie Profesa Juani Mwaikusa wa UDSM aliyeuawa kikatili nje ya nyumba yake mwaka jana.
Ingawa sitaki kuingilia mchakato wa DCI na mahakama lakini nataka mdau mwenye details zaidi atujuze!
Kwa nini unanidharau halafu unasoma post zangu? Mimi ni kama maji, usiponinywa, utaniogaSaliti weweee. Kumbe una muda mrefu humu?Nakudharau Sana!
Kwenda zako huko. Material gani unadeliver wewee? Kuwa na msimamo. Unayumba Sana mkuu nKwa nini unanidharau halafu unasoma post zangu? Mimi ni kama maji, usiponinywa, utanioga
Unanikubali sana kwa materials zinazo deliver, ila hupendi ninapo criticise ideology yako ya kisiasa.