Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
Wakili Peter Madeleka,Wakili Boniface Mwabukusi na Dkt Wilbroad Slaa kuongea na Waandishi wa Habari kesho tarehe 12/07/2023 Mesuma Hotel,Makumbusho,Dar es Salaam.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwao wapambanaji hawa.Wakili Peter Madeleka,Wakili Boniface Mwabukusi na Dkt Wilbroad Slaa kuongea na Waandishi wa Habari kesho tarehe 12/07/2023 Mesuma Hotel,Makumbusho,Dar es Salaam.
Naweza kukuhakikishieni hiyo Press Conference haitakuwepo. Wenye maguvu wataizuia.Wakili Peter Madeleka,Wakili Boniface Mwabukusi na Dkt Wilbroad Slaa kuongea na Waandishi wa Habari kesho tarehe 12/07/2023 Mesuma Hotel,Makumbusho,Dar es Salaam.
View attachment 2684599
Makini sana broVision aliyokuwa nayo baba wa taifa mwalimu Nyerere ni watanzania wenyewe watumie rasilimali zao kujenga nchi yao, siyo genge la watawala wenye tamaa kupiga nchi mnada ili waishi maisha ya kifahari wao na vizazi vyao.
Itapigwa mtandaoni ulimwegu wa digital unawezaje kuzui mikutano.Naweza kukuhakikishieni hiyo Press Conference haitakuwepo. Wenye maguvu wataizuia.
Vision yake ngumu kutekelezekaVision aliyokuwa nayo baba wa taifa mwalimu Nyerere ni watanzania wenyewe watumie rasilimali zao kujenga nchi yao, siyo genge la watawala wenye tamaa kupiga nchi mnada ili waishi maisha ya kifahari wao na vizazi vyao.
Hao uliowataja, washambulie wewe,Hawa jamaa sio kwamba hawana point kwenye hoja zao, wana point tena nyingi. Tatizo wanapo feli, press zao huwa wanatoka nje ya mstari wa mada husika zinazolikabili taifa, na kushambulia watu personal.
1) Kwa kushindwa kudhibiti hisia zao.
2) Kwa kutafuta huruma au kuvuta hisia za wananchi.
Dr. Slaa ndio bingwa wa kutoka kwenye mstari wa mada husika zinazo litikisa taifa, na huwa mara nyingi anatafuta hifadhi kwa huruma/hisia za wananchi kwa kushambulia watu personal (Mara nyingi hushambulia wafanya biashara, na hata sio hata wanasiasa). Hushambulia watu ambao yeye anajua ni rahisi kuwavuta wananchi kihisia.
1) Dr. Slaa huwezi kumsikia akimshambulia Speaker Wa Bunge kwa kupitisha ukiritimba wowote.
2) Dr. Slaa huwezi kumsikia akimshambulia Waziri Mkuu wa kupotosha au kudanganya wananchi.
3) Dr. Slaa huwezi kumsikia akimshambulia Makamu Wa Rais kwa kutokumshauri au kukaa kimya kwenye maswala yanalo likabili taifa.
kwa mfano ukali upi wa maneno walioutumia nyumaWapunguze ukali wa maneno, hasa huyo mwaisa. Inahamisha mjadala, badala ya watu kujibu hoja wanaanza kusema mnamtukana mama naniliu.