Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Vote for change. Vote for TL.
 
Wewe Lumumba sycophant, si heri ungeandika tu Kiswahili (au yawezekana hata Kiswahili nacho hakipandi!). Acheni kudandia lugha za watu msizozielewa, eti an African. Diaspora...shame on you!
Not all master the English language.
 
Mataga , Lumumba buku saba mnahangaika sana , Robert Amsterdam anajulikana vizuri sana Kama kiboko ya madikteta wa Africa , nyie endeleeni na upuuzi wenu wa kuvuruga uchaguzi awanyooshe ?
Washabiki wenu hawa hapa.
 

Attachments

  • VID-20201002-WA0000.mp4
    9.7 MB
Pamoja na kujifanya mjanja lakini hatambui kuwa keshaingia mkataba na shetani .

CIA watamtafuna na kumsaga saga. Pole yake.
FBI na CIA ndiyo walichunguza shambulio la Dodoma wakampa report zote kuwa mratibu wa shambulio ni polepole na mtekelezaji wa shambulio ni wasiojulikana wawili Bashite cyprian Musiba jeri muro, le mutuz na Heri kisanduku na nyaulingo ambao walishuka chini wakafanya shambulio kwa Bunduki, tayari nyaulingo mungu kamuadhibu alipata ajali Bagamoyo akapoteza jicho na kuvunjika miguu yote kawa kilema, Bashite yupo benchi, Le mutuz hana uteuzi kila Teuzi zinampitia pembeni, cyprian Musiba na jeri muro wanashinda na kukesha kwa waganga lakini na wao mwisho wao haupo mbali, hakuna mabaya yasiyo na mwisho wake kwani hata hao wasiojulikana mmoja alikufa kwa ajali mbeya na mwingine alipigwa risasi kule mara alipokwenda kumvamia mfanyabiashara, kwa 70% tayari mungu keshawaonyesha Athari za mabaya yao na bado atawaadhibu zaidi.
 
Hapa wamefeli vibaya mno ccm inashinda tena kweupeee
 
Tunga propaganda nyingine hii sio tamu comrade 😂😂
Huwa siandiki propaganda naandika facts,

In 2016 niliandika Lisu kuwa atagombea Urais na kweli kagombea.

Subiria mwisho wa huu mchezo utakuja ona namna hawa mabeberu watamfanya jamaa baada ya kushindwa kutimiza matakwa yao.

Nimemaliza.
 
Huwa siandiki propaganda naandika facts,

In 2016 niliandika Lisu kuwa atagombea Urais na kweli kagombea.

Subiria mwisho wa huu mchezo utakuja ona namna hawa mabeberu watamfanya jamaa baada ya kushindwa kutimiza matakwa yao.

Nimemaliza.
Tulieni si mlitaka kumuua Mungu akawakatalia??? Sasa jiandaeni tu ndo Raisi wenu huyo 2020-2025
 
Huwa siandiki propaganda naandika facts,

In 2016 niliandika Lisu kuwa atagombea Urais na kweli kagombea.

Subiria mwisho wa huu mchezo utakuja ona namna hawa mabeberu watamfanya jamaa baada ya kushindwa kutimiza matakwa yao.

Nimemaliza.
CCM wakienda kuomba omba misaada ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani CCM nyinyi ni mbuzi jike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…