Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Tarehe hiyo CCM inaenda kuwa chama cha upinzani kama KANU ya kenya


CCM ni chama cha kufutwa kabisa kwani kwa mujibu wa Msajili wa vyama kinaenda kinyume na katiba zote hata yake mwenyewe pamoja na kinaenda kinyume na sheria zote za uandikishwaji vyama nchini
 
Just PATHETIC! The person to blame when it comes to the possibility of violence in Tanzania is this one. SHAME ON YOU!


 
Mdude Nyangali sio Mwanasiasa?? Tito Magoti je???

Wagombea wa udiwani Songwe na Njombe sio wanasiasa??? Kina Nusrati Hanje sio wanasiasa???
 
Mtajuuuuta mwaka huu, spana za Lisu zinafungua kila nati
 
Rais Magufuli hajaweka kifungoni hata mwanasiasa mmoja as we speak.
1. 16/38 risasi, sep/7
2. Ben Saanane
3. Azory
4. Mawazo
5. Mkiru...over 1,000 people dead
5. Uncountable Coco beach sandarusi maitii
6. and many any other atrocities due to be identified when time is ripe!
7. LASTLY, WOTE WALIO GEREZANI ETI WAHUJUMU UCHUMI/MONEY LAUNDERING NI WAFUNGWA WA KIASIASA KWA KISINGIZIO CHA UHUJUMU NA MONEY LAUNDERING
 
Kwani robert ndo uyaambia madikteta wauwe watu, waibe kodi za wananchi, waendekeze udini, ukabila,
 
1. 16/38 risasi, sep/7
2. Ben Saanane
3. Azory
4. Mawazo
5. Mkiru...over 1,000 people dead
5. Uncountable Coco beach sandarusi maitii
6. and many any other atrocities due to be identified when time is ripe!
ukiitwa ukaulizwa magufuli anahusikaje utoe ushahidi utasemaje
 
Nimeandika na ninarudia kuwa huyo jamaa ni mtetezi wa LGBT


Hawa hapa ni wanachama wa LGBT kutoka nchi gani na chama kipi ??? na wengine mumewapa uwaziri
 

Attachments

  • Mauno CCM.mp4
    9.6 MB
Hivi kweli wewe ni mtu wa kumchagulia Bob Amsterdam vipaumbele vya kazi, a world class legal counsellor?! We Kayumba Huoni hata aibu kweli?!
Usijiangaishe na lolote wewe endelea na mapambio ya mabeberu, mbeberu na maberuberu mpaka upotelee ndotoni usingizini.
 
A world class counsellor in the eyes of dunderheads
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…