Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Subirini kupanga foleni ya kuwapelekea ugali hao wenzenu pale ICC
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee the name says it all.
 
Asante akseh... na asidhani tumeshau kuwa rafiki mkubwa wa acasia na makampuni mengi ya madini yaliyokuwa yakiibia nchi hii sote tunajua ni CCM na viongozi wake, mfani karamagi alisaini mkataba haramu hotelini london na sote tunajua, na uyu mjinga anatuaminisha kuwa ni TL.
Sincerely ukweli tunaujua
Pia msifikiri tumesahau kuwa jao mnaodai kuwa walisaini mikataba hotelini ndio 2015/walikuwa wagombea urais ws CHADEMA. Hivyo CHADEMA ilishapiteza credibility kutoka 2015
 
Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.

Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.

Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.

Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.

Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acasia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.

Huyu ndiye mtu ambaye Tindu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?

Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.

Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.

Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.
Mtaweweseka mwwka huu. Lissi kawatafutia mwarobaini. Na sasa hivi pona yenu ni kuacha kuiba kura kama kushinda mshinde kwa haki( ambapo hamwesi kushinda kwa hakika) la sivyo mtakutana na Mkono wa Amsterdam. Jamaa anashinda kesi kwa Putin na venezuela kwenye udikitet uliokomaa hapa kwa uchwara itakuwaje?
Anyway nimemskikia Mahera anatetemeka ati kamtumia barua ya kumtisha.
 
Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.

Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.

Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.

Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.

Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acasia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.

Huyu ndiye mtu ambaye Tindu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?

Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.

Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.

Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.
Bora hata huyo anaweza akawa aliwatetea Acacia.. Ila Deo Mwanyika aliyelipishwa ambillion na Magufuli nae rafiki damu damu wa Magu mpaka kazawadiwa fursa ya kugombea ubunge kupitia chama cha Magufuli.. CCM kama CCM halisi isingeweza mpa nafasi fisadi aliyethibitishwa kama Deo Mwanyika fursa ya uongozi ndani ya chama na jaribio la kumuingiza Bungeni.
 
Mbona Kabudi mwanasheria nguli Waziri wa mambo ya nje katulia tuli kuhusu jambo hili? Hakika anajua tabu iliyopo mbele anawaachia mazuzu muingie haswa Jiwe
 
Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.

Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.

Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.

Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.

Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acasia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.

Huyu ndiye mtu ambaye Tindu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?

Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.

Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.

Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.
 
Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.

Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.

Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.

Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.

Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acasia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.

Huyu ndiye mtu ambaye Tindu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?

Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.

Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.

Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.
WEWE JITU LA UTUMWA WA FIKRA. IT SEEMS TO YOU AS LONG AS UTUMWA ANAUENDESHA MWAFRIKA SIYO HOJA, AKIWA MZUGU NDIYO INAKUWA HOJA? RUBBISH
 
Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.

Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uwakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.

Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.

Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.

Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acacia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.

Huyu ndiye mtu ambaye Tundu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?

Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.

Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.

Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.
Mataga huna akili.

Haki za binadamu hujaziona hapo!?
Yani unamtetea Putin thidi ya Kodokhovsky.
Jinga sana
 
Baada ya taarifa za kuwepo kwa Tweet yenye barua ya wazi toka kwa raia wa Canada Bw. Robert Amsterdam, nimelazimika kujielemisha ili kujua huyu mtu ni nani, thanks to Google search. Niliyosoma kuhusu huyu mtu yamenishitua.

Kwa kifupi imeelezwa kwamba Bw Amsterdam ni wakili wa kimataifa anayejihusisha na kesi za kisiasa, mikataba ya madini, haki za binadamu, uwakilishi wa kisheria wa makubwa duniani, n.k.

Kati ya kesi maarufu alizowahi kuzisimamia wakili Amsterdam ni zile zilizo wahusisha tajiri Mikhail Khodorkovsky wa Urusi na bilionea Thaksin Shinawatra wa Thailand. Wote hawa walishitakiwa nchini mwao kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kuonyesha nia ya kupindua serikali za nchi zao. Ni wazi kwamba Rais Putin wa Urusi hakuchelewa kumsweka ndani tajiri huyo wa mafuta.

Kwenye kichwa cha habari "A lesson in Intellectual dishonesty and International meddling" mwandishi wa habari Tony Cartalucci anaelezea Wakili Robert Amsterdam kama mtetezi wa majambazi (convicted criminals) hida ya serikali kwa kutumia agenda za Uhuru wa kisiasa.

Wakili Amsterdam pia ameshiriki kwenye kesi za mikataba ya madini katika nchi za kiafrika. Kama raia wa Canada sitashangaa nikisikia kwamba pia alihusika kusimamia makampuni kama Acacia kwenye kesi mbali mbali za kuishitaki Tanzania kwenye mahakama za kimaifa.

Huyu ndiye mtu ambaye Tundu Lissu amemkodisha kusimamia kwenye shughuli zake za kisiasa. Swali linakuja akilini ni kwamba Bwana Lissu amempa ahadi gani ikiwa atakupa Rais?

Huyu mtu anahesabu za political goes gani kwa Tanzania kama ilivyokuwa huko kwenye mataifa mengine? Hakuna chembe ya ukweli kwamba mkataba wa Bw Lissu na Amsterdam unahusu kutuma ya kisiasa.

Andiko la mwandishi Tony kuhusu Intellectual dishonesty and International meddling linatoa picha kamili ya huyu mtu. Hapo ndipo Mh. Lissu ametufikisha kama nchi.

Nadhani kuna ukweli kwamba anatumwa na wakubwa.


Mtetezi wa majambazi!!!,hapo ndipo CCM mnapokosea
Macho yanaona namna haki inavokandamizwa na utawala wenu dhalimu kuwahi kutokea katika awamu zote nchi hii,people die like FLIES every day
Watu wanapewa makesi ya ajabu ajabu eti ikionekana tu una vision au mission tofauti na serikali hii

Ukombozi wa MWENYEZIMUNGU unakuja taratibu na uzuri hata ule mtaji wenu wa wajinga kule vijijini taratibu unaanza kutoweka

Mkubali ninyi ni WAKOSEFU na muanze kujirekebisha hapo, KIBURI ndicho kilichowaangusha MADHALIMU wote duniani
 
Mabeberu yakiamua mbuzi jike lazima atazaa tu
Ushahidi gani wanataka, hawa wazungu saa nyingine sijui ni ujinga au nini. Saudi Arabia wamemuua Jamal Khashoggi Ubalozini, hao kina Amsterdam wamefanya nini?

Tatizo la kushikiliwa akili na wazungu ndio hilo. Atatishia mataifa dhoofu hapa kwetu hawezi kufanya lolote sisi ndio baba lao.

Tuliwaambia wazungu tutakomboa Africa na tumefanya hivyo. Sasa ni wakati wa kujenga uchumi wetu, na tunafanya hivyo kama hawajui kilichomtoa kanga manyoya wajaribu.
 
  • Masikitiko
Reactions: Ole
1. Amani ya nchi yetu
Watanzania ni watu wapendao amani, na hapa nimedhamiria kuzungumzia amani ya kutokuwa na vita, vurugu, kadhia, maandamano yenye mauaji, majeraha, uharibifu wa mali n.k.
Pengine tukawa hatuna amani ya kukosa mali, chakula na pesa. Lakini tunaamini amani ya kwanza ni kutokuwa na vita na matumizi ya mabavu.
Amani bila HAKI hilo halipo ni mwendawazimu tu ndio anaweza akaamini hivyo.
 
Kuna msemo wa Mwanafilosofia Plato unaosema, ‘’An empty vessel makes the loudest sound, so they that have the least wit are the greatest babblers.”

Wahenga wetu pia walisema, ‘’debe tupu haliachi kuvuma.

Mwanasheria huyu wa Tundu Lissu anaonekana kama mtangazaji wa siasa za Tanzania badala ya mwanasheria.

Wanasheria mahili nchini kama Peter Kibatala huwezi kuwaona wanasema sema ovyo au wanapiga kelele bali kazi zao ndio zinawasemea.

Huyu Mwanasheria wa Lissu unakuta anauliza maswali halafu anajijibu mwenyewe! Kibaya zaidi, anaaminisha baadhi ya watu wajinga kama ndiye ‘’masiha’’ wa Tundu Lissu kuingia Ikulu au eti Rais Magufuli kushitakiwa kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu!

Ukimchunguza kwa undani utagundua bado ana fikra kuwa akiwatisha viongozi nchini au kusema sana basi watafanya anachokitaka. Kinachofurahisha zaidi, hao anaowapigia kelele au kuwatisha inaonekana wamempuuza! Yeye anapiga kelele, wao wanatenda ‘’by hook or by crook’’!

Kibaya zaidi, huyu mwanasheria hawajui Watanzania vizuri! Kwa watanzania hawa, huu uchaguzi kwao ni ‘’bygone’’. Hakuna maandamano wala vurugu za kisiasa kama anategemea zitatokea ili iwe ‘’chachu’’ ya kuingilia masuala ya kisiasa nchini!

Huu Uchaguzi Mkuu tumeshuhudia wanasiasa wa Marekani wakitoa matamko mengi kuzidi hata baadhi ya ahadi wagombea Urais nchini!

Kuna dhana inajengwa eti kuwa Tanzania itawekewa vikwazo vya kiuchumi. Hakuna cha vikwavyo vya kiuchumi bali kilichoko ni ‘’competing economic interest and benefit’’ kwa baadhi ya wafanyabiashara wa kimataifa hasa Marekani na Kanada. Kelele za baadhi ya wanasiasa wa Marekani ni baada ya Symbion Power Tanzania Ltd (SPTL) kupigwa ‘’kufuli’’ na serikali. Serikali ilikuwa inalipa zaidi ya Tsh bilioni 700 kwa mwaka kwa haya makampuni (Symbion, IPTL na Aggreko).

Tanzania kama nchi ingewekewa vikwazo vya kiuchumi kama tungekuwa tumewafukuza wawekezaji wa nje kama alivyofanya Rais Robert Mugabe. Yaani utawekewaje vikwazo wakati makampuni makubwa ya kimataifa ya uwindaji, gesi na madini bado yanaendelea kuvuna faida nchini huku yakisafirisha madini kwenye masoko ya nchi zinazodaiwa zitaweka vikwazo.

Hata ‘’Targeted individual sanctions’’ kwa wanasiasa wa Tanzania ni kupoteza muda tu kwa sababu wanasiasa wenyewe hata kusafiri nje ya nchi hawasafiri na pia hawana hata ‘’big asset’’ kwenye nchi inayosemekana itaweka vikwazo! Ndiyo yaleyale ya Makonda kuwekewa vikwazo huku akiendelea kudunda mitaani!

Baada ya muda, huyu ‘’mwanasheria wa Tundu Lissu’’ atapotea kwenye siasa za Tanzania kimya kimya na kumuacha Tundu Lissu abebe mzigo wake baada ya misheni ya kuingia Ikulu ‘’kugonga mwamba’’!

Namfanisha Tundu Lissu na mwanasiasa wa Venezuela, Juan Guaido ambaye alitumiwa sana na wanasiasa wa Marekani ili kumuondoa Rais Nicolas Maduro wakitegemea ana uwezo na nguvu za kisiasa kwa wananchi wengi lakini baadaye ikagundulika hana uwezo au nguvu hizo.

Wanasiasa wa Marekani baada ya kugundua hana uwezo na nguvu za kisiasa wakaachana naye. Wabunge wa kambi ya upinzani pia wakamuondoa kwenye kiti cha kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.

Tundu Lissu naye ataachwa kimya kimya kama ilivyotokea kwa Juan Guaido kwa sababau wanasiasa wa Marekani na Kanada hawana urafiki wa kudumu bali wana maslahi/manufaa ya kudumu.

Tundu Lissu ameshindwa kuleta maslahi/manufaa ya kudumu kwa wafanyabiashara wa Marekani na Kanada ambapo malipo yake ni kumuacha aubebe mzigo wake mwenyewe kama walivyofanya kwa Juan Guaido!
 
Back
Top Bottom