Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Wakili Robert Amsterdam ni nani?

Haya maandishi yameandikwa na vibaraka wa watawala wasiopenda demokrasia itamalaki.

Hakuna lolote! Mwaka huu mtanyoooka tu.
 
Nilikuwepo Thailand wakati wa mapinduzi ya kumuondoa Bilionea waziri mkuu Thanksin lakini hata baada ya kupinduliwa na jeshi baada ya madai ya ufisadi mzito,iliporudishwa serikali ya kiraia dada yake akaukwaa uwaziri mkuu,lakini nae akaondolewa na jeshi kwa kosa hilo hilo la ufisadi,baada ya vurugu na maandamano makubwa kupinga serikali hiyo.Kumbe hizo vurugu zote ndani yake kulikuwa na bwana Amsterdam.
Kwa mawazo yangu sina uhakika kama ni mtu au kundi liliomtambulisha Lissu kwa kampuni ya Amsterdam ,wala sijui madhumuni ya Amsterdam nje ya kazi ya kumtetea mteja wake.Tusubiri matokeo ya kazi yake kwa mteja wake labda litakuwa fundisho kubwa kwa kizazi kipya.
 
Anachokifanya huyo beberu ni kinyume cha taratibu za kiuwakili,

Kwa kawaida wakili anatumika kwa consultation kwa mteja na pia kumuwakilisha mahakamani lakini sio kama anavyofanya huyu anayejiita wakili wa Lisu ambapo anahusika katika kila hatua ya maisha ya kawaida ya mteja wake kwa maana kwamba amevaa kabisa viatu vya mteja wake jambo ambalo kiutaratibu halikubaliki.
Soma mkataba wao!!?? Atamuhakikishia ulinzi wa kisheria popote. Hii ni kutokana na umaaluni wa jiwe. Unampiga mtu risasi halafu hutaki upelelezi ufanyike. Mawindo ni wauaji waliokosa target wa jiwe na jiwe mwenyewe.
 
kwa ufupi

To be fair, Amsterdam's clients are hopeless causes, guilty of such overt criminality there really is no defense. And while it may be noble to defend such men, adhering to the best traditions and values of the West, Robert Amsterdam goes well beyond this, abusing this responsibility in order to carry out specific political objectives on behalf of the globalists with whom he consorts

Kwa urefu soma hapa:

A lesson in intellectual dishonesty and international meddling.
by Tony Cartalucci


Contrary to many's beliefs, the men described by the Economist as "globocrats" are not invincible. They fail more often then they would care to admit, and along the wake of chaos they leave behind them in pursuit of their agenda, lies a horizon of complete, unmitigated wreckage. Following in the wake are men like Toronto/London based international lawyer Robert Amsterdam who attempt to salvage this wreckage.
The story of Robert Amsterdam sheds light on yet another cog in the "globocrat" machine, one rarely noticed or reported upon because, like the US funded NGOs, its role is one meant to feed back into localized unrest fomented by the globalists from afar. Amsterdam's job is to rehabilitate failed color revolutions, failed puppets, fallen thorns from the sides of the globalists' enemies, and to ensure that no matter how deep and dark the hole is a foreign country puts the globalists' operatives, they remain a burden and concern upon them indefinitely.

Robert Amsterdam isn't just any lawyer. He is co-founder of Amsterdam & Peroff, a major corporate member of the globalist nexus Chatham House, an organization that represents the collective interests of the largest corporations and banks on earth. He boasts support from the Economist, a fellow member of the Chatham House, and is afforded an entire page on the Huffington Post to pass off his pedantic legal drivel as "commentary." Then there is the fact that nearly all of his clients are either exiled, on the run, or rotting in prison, yet he is still able to find more "high profile" cases.

To be fair, Amsterdam's clients are hopeless causes, guilty of such overt criminality there really is no defense. And while it may be noble to defend such men, adhering to the best traditions and values of the West, Robert Amsterdam goes well beyond this, abusing this responsibility in order to carry out specific political objectives on behalf of the globalists with whom he consorts.

His two most recent and perhaps most notorious cases involve one a Russian oligarch named Mikhail Khodorkovsky, and a Thai police colonel-turned-billionaire tycoon Thaksin Shinawatra. Khodorkovsky is guilty and indeed sitting in a Siberian prison for embezzling billions. His Thai counterpart, Thaksin, also has two years coming to him for immense fraud. And while both are being defended by Amsterdam as "political victims" what is never mentioned, indeed buried deeply are the extra-legal, meddling affiliations both men have with the globocratic elite that undermine their political aspirations with megalithic, even treasonous conflicts of interest.

Accomplished researcher, William Engdahl, points out some very alarming connections and trends that served as the real basis for Khodorkovsky's current Siberian lodging. It seems that Khodorkovsky wasn't just embezzling money or involved in breathtaking displays of corruption, such was the nature of the times he came into power. It was rather his connections with the West, in particular Henry Kissinger and "Lord" Jacob Rothschild who were sitting on what Engdahl calls a George Soros Open Society-styled "Open Russian Foundation."

Worth repeating indefinitely, is the role these "foundations" and the networks of meddlesome NGOs they maintain play as the next greatest threat to national sovereignty behind invading armies and the IMF's economic hitmen.

Using both his wealth and his Western organized NGO networks, Khodorkovsky set out on an ambitious political campaign to seize for himself the Russian presidency from which he would undoubtedly repay his foreign backers with the economic liberalization (read: sellout) of the Russian Federation.

With uncanny exactitude, Thaksin Shinwatra attempted the same "soft-coup" in Thailand. He was a Carlyle Group adviser while holding office in then PM Chavalit's New Aspiration Party which oversaw the 1997 IMF's intrusion and controlled economic implosion of the Thai economy. He would later become PM himself in 2001 and through wealth procured through similarly fraudulent, though not unprecedented means, he began consolidating power, eliminating checks and balances, and preparing the liberalization of the Thai economy on behalf of his foreign backers. On the eve of the military coup that overthrew his government, he was literally standing in New York City giving a progress report to the Council on Foreign Relations.

Since his ouster from power, he has been backed by fellow Carlyle man James Baker and his Baker Botts law firm, International Crisis Group's Kenneth Adelman and his Edelman Public Relations firm, and now Robert Amsterdam's Amsterdam & Peroff. His proxy political party maintains a "people's power" organization supported by several National Endowment for Democracy NGOs including "Prachatai," an "independent media organization" that coordinates the "people's power" propaganda efforts.

In both Khordovsky's and Thaksin's case we come back to Robert Amsterdam, who now concurrently meddles in both Russian and Thai affairs using these two overtly mired convicted criminals as leverage to push not only the legal cases for which he is responsible, but the continuation of his clients' political objectives of undermining Russia's and Thailand's establishments, which in turn represent the continuation of the "globocrats'" agenda.

While Russia possesses the intelligence and military apparatuses to suppress significant internal unrest caused by Western backed NGOs and the continued and now lost cause of Khordovsky, the perceived "injustice" Robert Amsterdam accuses Russia of gives the West the moral high-ground to meddle in Russia's surrounding geography, notably color revolutions, NATO expansion, and political destabilization in Eastern Europe.

Robert Amsterdam is also attempting to lend Thaksin Shinawatra and his organized mob* the same credibility and moral high-ground ahead of yet another attempted overthrow of the Thai government this coming spring. While even Thaksin's mob leaders themselves have admitted on numerous occasions to having armed men involved in the bloodbath that ensued in 2010, Robert Amsterdam is now releasing a report that retroactively rewrites history and absolves them of their admissions. He also misses no opportunity to not only defend his "clients" (he also concurrently defends Thaksin's "red" mob) but calls on the Thai government to resign, as per the globocrat's aspirations of regime change and the subsequent economic liberalization under the re-installed Thaksin regime.
Huyo ana mawazo hasi kama yako. Alitendwa huyo mwandishi. Alikuwa ni mwendesha mashitaka alipoteza kesi dhidi ya Amsterdam. Nikiwa nchi ya watu nilifuatilia kesi hiyo. Tatizo mna google ujinga alaf bila utafiti unaleta uku. Uliza listi ya waendesha mashitaka wa kimataifa dhidi ya Amsterdam utawaona na jina la huyo fala utaliona. Kwa kukusaidia ingia tuvuti ya ICC the Hague utapata wee TAGA
 
Kuna Mambo makuu mawili yatakayo mtesa sana magufuli mahali popote alipo nje na ndani
1.Kumpiga Lissu risasi
2.Kujenga Kiwanja cha ndege kijijini kwake
 
Hata kama "SHETANI" atamsaidia "LISSU" kuing'oa CCM madarakani, basi raia tutamuunga mkono kwa juhudi zote.

Kwasababu CCM ni zaidi ya "SHETANI" alielaaniwa mwenyewe.
Lisu aliongea hilo pia wakati akimpokea Lowasa kuwa wao Chadema wako tayari kumpokea hata Shetani MWENYEWE kama atawasaidia kuiondoa CCM madarakani.Hiki unachoongea ndio ilikuwa kauli ya Lisu alipoulizwa kwa nini mumempokea Lowasa kuwa mgombea wakati mlimwita fisadi?

AnywayTaifa hili liko chini ya Mungu aliyetushindia Corona kama humjui.Huyu Mungu hataruhusu Shetani awe wa ubelgiji au Singida au kuzimu ashike nchi
 
Ccm na serikali yenu mwaka huu mnalo tunataka kuona jeuri yenu😂😂😂
 
Soma mkataba wao!!?? Atamuhakikishia ulinzi wa kisheria popote. Hii ni kutokana na umaaluni wa jiwe. Unampiga mtu risasi halafu hutaki upelelezi ufanyike. Mawindo ni wauaji waliokosa target wa jiwe na jiwe mwenyewe.
Kama umenielewa hutapata tabu kuona kuwa huyo wakili anachokifanya sio sahihi, kinachoonekana ni vitisho na kuingilia michakato ya Taasisi za Taifa huru,

Huwezi mwambia mkuu wa Taasisi flani kuwa usipofanya hivi kwa mteja wangu nitahakikisha unapelekwa ICC au kuwekewa vikwazo.

Kila mchakato unataratibu zake za kuukabili na taratibu hizo hazifanani, Pili barua zake hazina madhara kisheria kwa hapa nyumbani kwani hana kibali cha kufanya shughuli za uwakili ni za kupuuzwa tu, tatu kesi za Uchaguzi huwa hazipelekwi ICC, kule zinakwenda kesi za jinai zinazohusiana na mauaji ya kimbari, maswala ya uchaguzi yanashughulikiwa na mifumo iliyowekwa ndani ya nchi husika.

Kuhusiana na maswala ya vikwazo lazima kuwe na maazimio ya nchi wanachama wa jumuiya za kimataifa ukiachana na vile vikwazo vya nchi moja moja. I.e US ama EU kwa Sasa dunia haiendeshwi na tena na kauli za Taifa moja maendeleo yametapakaa kona ya dunia hivyo ukikosa hapa unapata kule, hakuna tena monopoly katika upatikanaji wa vitu, hivyo mikwara haifui Sana dafu .

Tanzania tumekuwa na chaguzi za amani na hakujawahi tokea matukio ya kupelekea mtu kuhitajika ICC au kuwepo vikwazo vya kimataifa, hatuna historia hiyo wala kwa Sasa hakuna viashiria vya hayo kutokea, amani imetawala na uchaguzi utapita JPM na Mwinyi wakikamata usukani na sisi tukiendelea kulijenga taifa letu pendwa Tanzania.
 
CCM huwa nawaambia kila muda kwamba mkitaka Robert Amsterdam asiwalale, basi tekelezeni ahadi yenu kwake kwamba uchaguzi huu utakuwa huru na wa haki 😆
 
CCM huwa nawaambia kila muda kwamba mkitaka Robert Amsterdam asiwalale, basi tekelezeni ahadi yenu kwake kwamba uchaguzi huu utakuwa huru na wa haki 😆
HV chadema mnapata wapi Ela ya kumlipa huyu mzunguko???au ndo m8chango ya wenye migodi...Amsterdam & Partners Eyes $4M Fee from Venezuela
Fri., Mar. 27, 2020
By Kevin McCauley
Amsterdam
Amsterdam & Partners will receive a $4M flat fee to push for the removal of US sanctions on Venezuela. The US does not recognize the government of Venezuela.

A&P assumed the work of Foley & Lardner, which resigned the account last month after Florida Senator Rick Scott blasted it for representing the "brutal regime" of Nicolas Maduro.

F&L was in line for a $12.5M flat fee for devising a "narrative and strategy" to help Venezuela remove the sanctions.
 
HV chadema mnapata wapi Ela ya kumlipa huyu mzunguko???au ndo m8chango ya wenye migodi...Amsterdam & Partners Eyes $4M Fee from Venezuela
Fri., Mar. 27, 2020
By Kevin McCauley
Amsterdam
Amsterdam & Partners will receive a $4M flat fee to push for the removal of US sanctions on Venezuela. The US does not recognize the government of Venezuela.

A&P assumed the work of Foley & Lardner, which resigned the account last month after Florida Senator Rick Scott blasted it for representing the "brutal regime" of Nicolas Maduro.

F&L was in line for a $12.5M flat fee for devising a "narrative and strategy" to help Venezuela remove the sanctions.
Tuna vyanzo vingi vya mapato
 
---------------‐------
I am writing this article as an African. Diaspora alerting the African Union to be aware with Robert Amsterdam who claims to be an international lawyer and Political Adviser. Amsterdam has started to set a violence strategy in African countries heading to their elections.

Mr. Amsterdam is famous to us as the Canadian International lawyer who was born in 1956. He runs the law firm called Amsterdam& Partners, with offices in. Washington D.C. and London.

Credible investigators information confirmed that for a cup of years Amsterdam has supported political violence in Europe, Asia, Latin America, Middle East and Africa.

Amsterdam who was awarded a BA from Carleton University ( Ottawa, Canada) in 1975 and LLB from Queen's University ( Kingston, Canada) in 1978 is practicing Public International law, international criminal law and political advocacy as well as providing dangerous directives to institutions and persons with political risk guidance.

He is Proffesional on issues pertaining to resource nationalism and expropriation, while also representing sovereigns in disputes with foreign investors.

His unique blend of political advocacy and international law has led to his retention by several governments and world leaders, such as Republic of Turkey, the Former Prime Minister of Thailand Thaksin Shinawatra, former President of Zambia Rupiah Banda, Governor Godswill Akpabio of Akwa Ibom state in Nigeria, among other high profile figures.

Amsterdam has successively setled disputes for mojar corporations such as PWC and the Four Seasons Hotel & Resorts Group in Venezuela, and also worked the well known Gutierrez case in Guatemal, which involved representing the victims of one of the country's largest alleged tax fraud and money laundering schemes, while also advising companies on opening new markets and managi g political risk.

Amsterdam would go on to present famous political prisoners such as Eligio Cedeno in Venezuela, African political leaders such as Nigeria's Nasir Ahmad el - Rufai, and leading democracy advocates such as Singapore's Dr. Chee Soon Juan.

Amsterdam's clients are hopeless causes, guilty of such overt criminality there really is no defense.

And while it may be noble to defend such men, adhering to the best traditions and values of the West, Robert Amsterdam goes well beyond this, abusing this responsibility in order to carry out specific political objectives on behalf of globalists with whom he consorts.

Robert Amsterdam is also involved in providing legal advices on gay people, homosexuals and Lesbians.

A good example is the posts in his website on November 24, 2011 and January 25, 2013 respectively that were defending homosexuals in Russia when the country's Duma was about to pass the bill of banning homosexuality misconduct.

Robert Amsterdam is recently involved in changing the good conduct of Uganda opposition NUP Leader Robert Kyaguranyi ( Bobi Wine) from opposing homosexuals to advocating and supporting homosexuals.

Robert Amsterdam is currently working with CHADEMA Presidential Candidate Tundu Lissu in ensuring that is rights are assured. He is also helping Lissu to win elections using threats na violent tactics against the government and police force.

He has also agreed with CHADEMA and Tundu Lissu to support homosexuality in his campaigns to continue receiving financial and legal support.

Already, Lissu through different press conferences has pledged to introduce laws that support homosexuality and Lesbians if elected to be the President of the United Republic of Tanzania.

amst.JPG
 
Back
Top Bottom