Wakili wa Ashraf Hakimi: Hiba atapaswa kulipia gharama za kesi na kugawana 50/50 ya mali anazomiliki

[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaume wapuuzi ndo hawathamini mama zao
Mwanaume anahonga range mama Ake anaishi kwenye makuti kijumba Cha udongo
Anahonga ifoni 14 mama Ake anaazima kiswaswadu Kwa jirani
Sasa huoni hapo ni kosa la mme wake?
 
Wakili si mwamuzi wa mwisho. Mwamuzi wa mwisho ni mahakama tu. So far tumekuwa tunasikia ghilba za mawakili tu
We usikaze kichwa kesi ya mgawanyo wa mali za mwanaume ameshinda huyo dada ila tatizo atapewa na dogo hana kitu? Sio kwamba amenyimwa la hasha, hamna kitu cha kupewa.kwa kuwa wanaachana na dogo hana kitu basi zitagawiwa mali za mwanamke. Umeelewa?
 
Lakini mbele ya Allah naona kama haki haikutendekea kabisa, ushindi ulikuwa ni technical tuu kutokana na ujanja ujanja wa Hakimi na mama yake, theres a pay back kwa vitu kama hivi
Acha ufala. Haki gani unayoongolea kwan ni nani aliyeomba talaka na kushinikiza , si ni yeye mke, na angeweza tu kuomba talaka na kupita hivi kosa alilofanya ni kufungua kesi ya madai ya mali baada ya talaka kukamilika.

Usitegemee haki sehemu ambayo wewe haujalenga kutaka haki.

Mwanamke mwenye hekima huwa anaondoka habebi hata kijiko sababu hakuja kwa tamaa ila kwa mapenzi ya kweli. Ila hawa wenye tamaa huwa hawataki kuondoka mikono mitupu.
 
We usikaze kichwa kesi ya mgawanyo wa mali za mwanaume ameshinda huyo dada ila tatizo atapewa na dogo hana kitu? Sio kwamba amenyimwa la hasha, hamna kitu cha kupewa.kwa kuwa wanaachana na dogo hana kitu basi zitagawiwa mali za mwanamke. Umeelewa?
Anakaza fuvu kusudi tu uyo[emoji16]
 
Kwa sababu amezaa naye, atie ubinadamu kidogo, Ashraf ana mpunga mrefu ampe mali kidogo kama nyumba na matumizi kidogo, mtoto akija kusikia umemfanyia mama yake wema atakuja kukuelewa sana

Atapata kile anachostahili kwa mujibu wa sheria.
 
Lakini mbele ya Allah naona kama haki haikutendekea kabisa, ushindi ulikuwa ni technical tuu kutokana na ujanja ujanja wa Hakimi na mama yake, theres a pay back kwa vitu kama hivi

Mkuu haya ya kumilikisha mali na pesa kwa Mama jamaa aliyafanya hata kabla ya kuoana na huyo dada, kwa hiyo ujue “allah” ndio aliwapa Hakimi na mama yake akili na maono ya haya yanayoendelea kabla hayajakatokea ndio kilichosemwa na uchunguzi wa mahakama, sasa mwenye janja janja ya mali ni nani hapo kati ya ustaadh Hakimi au model Hiba?

Hakimi anashtumiwa ila sio kama amekutikana na hatia ya kubaka,kumbuka ni miezi 2 kabla ndio huyu Hiba alianza kudai hii talaka, when tukio limekuja akakiweka kama kisingizio na kaenda straight kuwa anataka mgao.

Umemtaja “Allah” hapo, we unaamini kuwa talaka ya Hiba anayoiomba inapitia sheria za “Allah”, zile tatu mnazogawan kwa mpangilio!?

Usijaribu kutumia huruma kutaka ku set maumivu kwa Hakimi, soma maisha ya Hakim na wazazi wake pia kabla hajawa Star, pesa hajazipata kirahisi.

Naona si rahisi kuja kuaminika kwa dhamira ya Hiba kwenye maisha ya Hakim na utajiri alio nao.
 

Kuna mbongo anahangaika kwa kufanya kazi 2 Uswizi ili aweze ku settle madeni after divorce kwa ishu kama hizi za hawa wanawake wa Ulaya.
 
Sijakataa ila sidhani kama ni kosa kumuonea huruma huyo mwanamke .

Dada Mahakam imethibitisha kuwa jamaa hana mali na alimilikisha mali hata kabla ya kuoana na Hiba, sasa hapo haikufikirishi tofauti!?

Maswali ni mengi yanaweza kuja kutoka kwenye hili.
 
We usikaze kichwa kesi ya mgawanyo wa mali za mwanaume ameshinda huyo dada ila tatizo atapewa na dogo hana kitu? Sio kwamba amenyimwa la hasha, hamna kitu cha kupewa.kwa kuwa wanaachana na dogo hana kitu basi zitagawiwa mali za mwanamke. Umeelewa?
kwa mtazamo wa kibongo sawa. Lakini unapaswa ujue kwamba

1 - katika nchi za magharibi, mtu anaweza akachagua kupitisha mshahara wake kwenye akaunti zaidi ya moja na bado ukawa wake. Hata Hakimi amepitisha 80% kwa akaunti ya mama na 20% akaunti yake.

2 - Katika nchi za magharibi income yo yote hulipiwa kodi. Ikiwa mama yake baada ya kupokea hiyo 80% ya mashahara wa mwanawe, hajailipia kodi, sheria haitambui kuwa ni pesa yake ni pesa ya aliyelipwa na ndiyo sababu huyo hakimi huacha 20% kwenye akaunti yake, inawezekana ni kwa ajili ya makato ya kodi. Hiyo 80% iliyo kwa akaunti ya mama yake ni yake.

3-Sheria za ndoa mara zote huangalia income ya mtu na si wapi ameweka pesa yake. Kama wamefunga ndoa na wakaishi kwa miaka miwili income ya hakimi aliyosaini akalipwa pasipo kujali aliitunza wapi ni "marital income'. Hata income ya mkewe katika kipindi cha ndoa ni marital income ya wote wawili-50%/50%.

4 - Anayepokea mshahara psg na anasaini kuwa amepokea ni Hakimi si mama yake hivyo ni income ya hakmi a marital income. Aliitunza wapi income hiyo sidhani kama sheria inaweza kujali hilo.

5-Elon musk, Bill Gate, Benzos wote wamewalipa wake zao, unadhani ni wajinga? Sheria ziliwabana kutokana na vipato vya.

6: Kama kuna prenup agreement inayozuia vipato vyao wakati wa ndoa visigawanywe sawa, hakimi atapona lakini kama hakuna haponi.

NB: Yote yaliyosemwa ni porojo za mawakili si uamuzi wa mahakama. Tusubiri uamuzi wa mahakama.
 
Leta source ya taarifa zako hapa hiyo kesi imeisha we endelea kukaza kichwa yani Ufaransa mtu asilipe kodi halafu aangaliwe tu si tungesikia kesi!
 
Leta source ya taarifa zako hapa hiyo kesi imeisha we endelea kukaza kichwa yani Ufaransa mtu asilipe kodi halafu aangaliwe tu si tungesikia kesi!
Anaongea vitu vya kufikrika uyo[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…