Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda bado wanajishauri wafanye nini au waseme nini maana mwenzao ni kama kapigwa chenga ya mwili na hakujiandaa pakushikaUnaweza kuona wanakuja na mapovu kutoka bafuni kuja kutetea mwenzao
Ltakua ni wazo la bimkubwa hili sila Hakimi plus his legal team. ..kuna mambo hatuyajui hapa maybedemu alicheatHamna mwanaume ametuheshimisha wanaume kama ASHRAF HAKIMI
ile kauli ya wanawake wana akili kuliko mwanaume,HAKIMI kaitengua vibaya mno
Genious of All time,mutu mwenye akili zake,Mutu kichwa ya juu inafanya kazi 24hrs
HAKIMI na wakili wake makatili sn,
Dada wa watu haamini anachofanyiwa[emoji16]
Yaani kwenye hiyo picha kama mtu wa maana na tabasam lake la kinafikii huyu dogo muache ajidanganye akamuulize Samson 😬
Hawezi shindana na Mwanamke akatoboa subiri Hiba anajipanga kwa shambulizi 😬😁😁😁Ha ha ha ha.....kama nakuona vile ulivochafukwa[emoji16]View attachment 2591460
Hii kitaalamu kwenye mpira inaitwa "counter attack" na kitaalam kwenye vita inaitwa "counter offensive"!!Huyo mwanamke hana hamu kichwa kinamuuma alipanga kumkomoa