Wakili wa Ashraf Hakimi: Hiba atapaswa kulipia gharama za kesi na kugawana 50/50 ya mali anazomiliki

Wakili wa Ashraf Hakimi: Hiba atapaswa kulipia gharama za kesi na kugawana 50/50 ya mali anazomiliki

Hakimi itakua ni mwanaume wa mkoani, anaupiga mwingi sana
Ha ha ha....vijana wa mkoani wabahili sn[emoji16]
20230417_213124.jpg
 
Hamna mwanaume ametuheshimisha wanaume kama ASHRAF HAKIMI

ile kauli ya wanawake wana akili kuliko mwanaume,HAKIMI kaitengua vibaya mno

Genious of All time,mutu mwenye akili zake,Mutu kichwa ya juu inafanya kazi 24hrs
Ltakua ni wazo la bimkubwa hili sila Hakimi plus his legal team. ..kuna mambo hatuyajui hapa maybedemu alicheat
 
Back
Top Bottom