Wakili wa Fei Toto asema wamepokea hukumu lakini Fei hana mpango wa kurudi Yanga

Feisal Salumu mpaka sasa hivi hana mpango wa kurudi na kuichezea Yanga na msimamo wake ni uleule kwamba anataka kuendelea kupinga hayo maamuzi kwa sababu anaona hayakumtendea haki…[emoji817][emoji818]
 
Kama alilipa milioni 112 unafikiri 2m itamshinda
 
Nimeipenda hio kauli ni kauli kisusio kwa wanaojielewa kisheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…