Hahaha Fei tushamalizana nae ,TFF washamaliza kazi ,kama anakimbilia CAS ajiandae kulipa 2m kufungua kesi na pili akae benchi muda wote mpaka kesi iishe ,tatu akishindwa aandae 230m kuilipa yanga.
Endeleeni kumdanganya huyo Fei wenu mtampoteza.
Ushahidi wa Azam upo DUBAI ,Boss wa azam aliyemlipia ticket,hotel na trainer.