JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kheri yenu nyie mnaowasilisha nyaraka mtandaoni na zinafika, wenzenu huyeyuka zikifika.View attachment 2271293
Wakili Edson Kilatu anayesimamia suala la Halima Mdee na wabunge wenzake 18 amenukuliwa akisema:
“Baada ya kesi ya wateja wangu Halima Mdee na wenzake kutupwa, tulirudi kufanya marekebisho, alfajiri ya jana (Juni 23, 2022) tukawasilisha nyaraka Mahakamani kwa njia ya mtandao, hivyo Spika asingeweza kutoa maamuzi ya kuwaondoa wateja wetu Bungeni huku kesi ikiwa Mahakamani."
Source: DarMpya
Sio kweli,itakuwa 15!Ikifika 2025, Halima Mdee atakuwa amekaa bungeni kwa miaka 20; inatosha sana. Shida ni hao wenzake ambao ndio safari yao ya siasa inaanza
2005 - 2010 Mbunge viti maalumu CHADEMASio kweli,itakuwa 15!
Wakili mzuri asiyejua anayemshtaki ni nani?Kumbe nchi hii ina mawakili wazuri tu na hawana kelele..😄
Tulia.. safari bado mbichiWakili mzuri asiyejua anayemshtaki ni nani?
Mbona yupo sahihi2005 - 2010 Mbunge viti maalumu CHADEMA
2010 - 2020 Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA
2020 - 2025 Mbunge wa Spika
Ni mingapi hapo?
Kumbe alianzia viti maalumu?Sikuwa na kumbukumbu na hilo2005 - 2010 Mbunge viti maalumu CHADEMA
2010 - 2020 Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA
2020 - 2025 Mbunge wa Spika
Ni mingapi hapo?
hajui kazi ya ku hustle ni kitu gani,katoka chuo mbowe kampa ubunge....hadi leo kaamua kuwa tapeliKumbe alianzia viti maalumu?Sikuwa na kumbukumbu na hilo
Aliyewaingiza bungeni ndio atakayewatoa. Kama aliweza kumtoa mtu jela usiku na asubuhi akawa mbunge. Hata huyo wakili ni vile njaa inamsumbua, ukiwa mtu wa principles hupaswi kujiingiza kwenye vikesi vya kukuharibia cv.
Wakili mzuri asiyejua anayemshtaki ni nani?
View attachment 2271293
Wakili Edson Kilatu anayesimamia suala la Halima Mdee na wabunge wenzake 18 amenukuliwa akisema:
“Baada ya kesi ya wateja wangu Halima Mdee na wenzake kutupwa, tulirudi kufanya marekebisho, alfajiri ya jana (Juni 23, 2022) tukawasilisha nyaraka Mahakamani kwa njia ya mtandao, hivyo Spika asingeweza kutoa maamuzi ya kuwaondoa wateja wetu Bungeni huku kesi ikiwa Mahakamani."
Source: DarMpya
Utalinganisha track record ya Kibatala au Lissu na huyo wakili njaa?Sasa kwani chadema hawajawai kukosea pamoja na kuwa na mawakili wengi wanaosemwa ni wenye uwezo?