econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Tulia.. safari bado mbichi
Safari imeisha. Sema nchi yetu inapofika suala la chadena huwa tunapindisha sheria. Yani kwa Chadema sheria za nchi huwa hazifanyi kazi , umefukuzwa uanachama lakini eti uanachama unaendelea kisa umefungua kesi mahakamani kuomba uanachama wako usifutwe.