La muhimu kama walioana kisheria je waliachana kisheria ??? Je taratibu za kukimbia na sababu aliziripoti ,kuna hati zinazoonyesha kulikuwa na matatizo kati yake na mumewe ,aliwahi kuyaripoti iliamuliwaje huko alikoripoti ?? Hakuna hata moja kati ya hilo ,mke na aliemchukua mke wote watakuwa wamefanya au wamemfanyia uhuni huyo masikini wa Mungu , ila sasa kama jamaa ameamua kuamka na baada ya kumjua mbaya wake ,kila kitu kitakuwa shwari hapo sheria zitakapochukua mkondo wake ,ninachowaomba msiwe mnamtetea Slaa tu bali muwe mnatoa maauzi yenye kutoa haki kwa wote wawili au watatu ,kisheria ,bila ya upendeleo ,yaani hapa hapa JF tunaweza kujua ni nani mwenye makosa ambae hukumu itabidi itwalishwe juu yake ,hapa hapa JF ,tuache tabia ya CCM kulindana kwa kuwa tu ni mwenzetu na kumnyonga mnyonge asiestahili :mad2: