Elections 2010 Wakili wa mdai wa Dr. Slaa ni mgombea udiwani wa CCM!

dah!
huyu jamaa ni mwenda wazimu sana yaani ameamua kutuaibisha wanaume maana mwanaume kamili huwezi kulia lia hadharani kuwa umeporwa mke
unaporwa!!!!!!!!

HUYU NI WA KIUME SIO MWANAUME, mwanaume huwa halalamiki hi hivyo
 
Si ndio nyinyi Wakristo munaosema ndoa hazivunjwi? Leo tena mambo yamekuwa vipi? Au mkuki kwa nguruwe lakini kwa binaadamu huwa mchungu?

Mimi nauliza tu jamani!!!!!!!!!!!!!

Kwe kampeni za mwaka huu kipaumbele ni kipi, mkeo na hawara zako ama Masklahi ya taifa, Uwajibikaji wa Serikali, Ujenzi wa Uchumi thabiti?
 
dah!
huyu jamaa ni mwenda wazimu sana yaani ameamua kutuaibisha wanaume maana mwanaume kamili huwezi kulia lia hadharani kuwa umeporwa mke
unaporwa!!!!!!!!

HUYU NI WA KIUME SIO MWANAUME, mwanaume huwa halalamiki hi hivyo

Waswahili bwana....! Usishangae bwana Edson, hawa kwao pwani mambo yao ni idadi ya wake na miti ya minazi huku muda wao mwingi wanautumia kujenga uswahiba wakinywa kahawa.
Watakumbuka saaa ngapi kuwa watanzania wanataka kusikia kuhusu uwajibikaji, ujenzi wa uchumi imara, maendeleo ya watu, uadilifu mahala pa kazi hasa hasa katika ofisi za umma, uboreshwaji wa huduma za afya, bara bara, mazingira n.k? Ndo maana hawa jamaa linapoibuka suala la wanawake wanaacha kuzungumzia suala lililoko mezani wanapoteza muda mwingi kuzungumzia udaku. Halafu wanataka eti watanzania wawape kura ili waendelee na uharo huu, haiwezekani hata kidogo!
 
Mwanaume kutoka hadharani na kudai ameporwa mkewe ni aibu ya mwaka!!! watu watajiulize kulikoni ? itabidi apimwe afya yake labda mtoto si.......Amekosa ushauri mimi ningemshauri akae kimya avumilie maumivu mwenyewe. Maana kwa ss hawezi pata tena mwingine
 
.

hata mwanamke ambae yuko responsible hawezi kutoroka kitanda cha mume wake wa ndoa kihuni kihuni na kisha akaibukia kwa mume mwingine yaani Dk Slaa. Alitakiwa kukimbilia kanisani alikofunga ndoa kuomba msaada, kwa ndugu wa pande zote mbili au mahakamani kudai haki zake. Ukiona mwanamke anatoroka bila utaratibu kisha huko aliko anatangaza ndoa basi ameshindikana
 
Acha mahakama itoe hukumu yake wewe una base kwenye habari ya upande mmoja hujui huyo mwanamke aliondoka kwa sababu gani, unatoa judgement kisiasa na si kitaaluma.

Hata wewe Luteni umehadaika kiurahisii hivi? unashindwa kujua kuwa hii kesi inajaribu kurudisha kura za wakristu na pia kuwahadaa Maaskofu na waumini wao kuwa waraka wakikristu walioutoa unambana Dr Slaa kuwa hafai kimaadili yao ya kanisani na mwisho wa siku wapete? CCM huko kwenye kesi wao hawapo kabisa wapo kwenye waraka wa maaskofu tu
 


Dk Slaa alianza kumendea mke huyo wa mtu wakati wanaishi jirani Kijitonyama. Hapo ndipo Dk. Slaa alianza kwa kuiba na kutesa kwa kificho na Josephine bila kujali ni mke wa mtu hasa kwa kumpa vijisenti kama vya mzee chenge. Binti akazibuka hakutaka kumsikiliza jamaa. Kilichosababisha Dk Slaa kumlaghai Josephine ni ujirani pale kijitonyama.
 

Weka mbali kama mume wa Josephine ametumwa na CCM au hapana, Dk. Slaa anawajibika kutupa mashabiki wake ukweli. Je amezini na mke wa mtu au hapana. Acheni mjadala wa maji taka hapa twende kwenye hoja ya msingi ya wizi wa mke wa mtu.
 

Kuiba mke wa mtu ni utawala bora? Rais mtarajiwa anakuwa ni mwizi wa wake za watu hata kabla hajapata urais mmmmmh Dk Slaa akiwa Rais wake zetu watasalimik!!!!! maanake akimpenda tu atatuma watu wa kumtorosha. Dk. Jiuzulu kwa heshima yako.

Utawala bora ni pamoja na kufuata sheria za nchi. Hii ya Slaa inakiuka misingi ya utawala bora pale anaposhiriki kuisambatisha familia halali kisheria. Familia ndio hujenga taifa lakini Slaa anabomoa familia ili kuelekea Ikulu. Dk Slaa anashiriki kutengeneza watoto wa mitaani wasio na baba.nasita kukubali kwamba hili ni jambo binafsi.
 
.

kwa hiyo katika ukristo ndoa inavunjika bila kufuta kanuni za kanisa?
 
Ata kesi ikingurum si mpaka iwe proven kuwa ni kweli.
Kama kesi akina Mramba,Chenge mbona wanapeta au ya Slaa ni ya mauaji?
Na kumbuka kama akishinda wakati kesi inaunguruma then analindwa na SHERIA so kesi itakufa kifo cha Mende
 
.

Kajaribu kujijitetea mahakamani hivyo kama hujafungwa au kulipa fidia kubwa. Nani kakuambia maneno ya mdomoni yanatosha kumshawishi hakimu kwamba ukikutana na mke wa mtu akisema tu kaachika unaanza kutembea naye. Dk. Slaa alikuwa na nafasi ya kuomba vielelezo zaidi kama kweli ni mtu wa kufauata misingi ya sheria
 
Na waliomsindikiza kwenye pres conference yake wote wapambe wa Makamba....hivi tingatinga lilipopora yule Mama mbona CCM hawakumsaidia mumewe?
.

wote ni wamoja hakuna atakayemtetea tingatinga kama alifanya hivyo ni sawa na Slaa. kama ni hivyo tingatinga ana bahati mbona hakuna aliyejitokeza kutoa madai
 
jamaa alikuwa anamsindikiza mkewe huyo majira ya jioni siku ya tukio ndipo slaa alimvizi jamaa akiwa anakojoa kichakani na kumpora mke wake wa siku zote........kwa kifupi..ukitaka sinema nzima livyochezwa ntakupa.ha...ha...haaaaaaaaaaaa
Hivi huyu bwana ameporwaje mke wake? Mimi bado hii kitu haijaingia akilini!
 
Inaelekea Mahimbo siyo riziki kutokana na ulevi wa kupindukia ndiyo maana ndoa ikamshinda
Ulevi wa Mahimbo unaweza kuwa ulisababishwa na mawazo baada ya Josephine kutoroka kila wakati kwenda kwa Dk. Slaa. IPo habari kuwa alikuwa hashikiki alipokutana na Slaa, nyodo na dharau kibao kwa mumewe.
 
Sheria itawatambuaje kuwa mume na mke bila uthibitisho wa marriage certificate? hiyo sheria inahitaji kwenda mbele zaidi..
.

kasome sheria ya ndoa, usiwe mbishi. Ushahidi wa majirani na ndugu wakithibitisha kuwa mwanamume na mwanamke wameishi pamoja zaidi ya miezi 6 ushahidi huo unatosha kuhalalisha hiyo ni ndoa kisheria chini ya kiapo cha mahakama. Dk Slaa ana ndoa mbili ya Rose Kamili na Josephine Mushimbusi kwa kuwa aliishi na mke wa kwanza hata kama hakumuoa zaidi ya miezi 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…