Elections 2010 Wakili wa mdai wa Dr. Slaa ni mgombea udiwani wa CCM!

dah!
huyu jamaa ni mwenda wazimu sana yaani ameamua kutuaibisha wanaume maana mwanaume kamili huwezi kulia lia hadharani kuwa umeporwa mke
unaporwa!!!!!!!!

HUYU NI WA KIUME SIO MWANAUME, mwanaume huwa halalamiki hi hivyo


huyu jamaa (Dk. Slaa) ni mwenda wazimu sana yaani ameamua kutuaibisha wanaume maana mwanaume kamili huwezi kutangaza hadharani kuwa una mke kumbe umepora mke
wa mwanaume mwenzako!!!!!!!!

HUYU NI WA KIUME SIO MWANAUME, mwanaume huwa anakuwa makini.
 
Sasa hivi wagombea hata kushiriki kwenye mazishi ya ndugu zao na kutoa michango wanaogopa sababu ya watoto wa Dr Sehao wa CPPB, sasa kuibuka kwa mtu anayedai mkewe kwa wakati huu na kwa mtu kama Dr Slaa............!! Mi naona hapa hao watoto ndo wanuse kweli kweli na ijulikane ni nini, na mi naamini wanaweza.
 
Ikipimwa DNA unaweza kukuta mtoto wa pili wa Mahimbo na Josephine ni wa Dk Slaa na Josephine. Mtoto huyo kazaliwa 2007 hapo juzi juzi tu wakati huo Dk akivinjali na mke wa mtu kwa kuiba iba na kwenda naye hotelini. Mahimbo asiishie tu kwenye kesi ya ugoni aende mbali zaidi hadi kuwapima watoto wote kama ni wa kwake au wa Dk. Slaa.
 
mmepoteza hii, hivi huyu jamaa yenu anaendelea na kampeni maana nnaona sisikii lolote kutoka kwake


kwa kweli hii amejiangusha sio kujishusha
 
Je wajua kwamba wakili A.Kitururu anaye mtetea Mporwa mke wa Dr Slaa ni mgombea udiwani wa CCM kata ya ubungo.Je CCM mnataka wananchi wajifunze nini?.

Tundu Lisu ni mwanasheria wa chadema na anagombea ubunge Singida kwa tiketi ya chadema na amekuwa wakili wa chama hicho katika kesi mbalimbali. Kipi cha ajabu hapa?
 
Dk. Slaa yuko wapi aje hapa JF kujibu tuhuma hii mbona nasikia yumo humu JF?
 

''Alisisitiza kuwa kesi hiyo haitahusu sheria ya ndoa wala malezi ya watoto'' Haya ni maneno yalioandikwa na mwandishi wa Habarileo kutoka kwa wakili wa Mahimbo, ............ wa Ubungo kwa CCM.
 
Dk. Slaa yuko wapi aje hapa JF kujibu tuhuma hii mbona nasikia yumo humu JF?

Dr. Slaa huwa hajibu upupu hata siku moja yule ana hekima zake hawezi zungumzia upupu hata siku moja.
 
Wewe kweli ndo umelala fofofofofofofofoooooo! Wewe ni Kitururu nini? Lichunguze jambo vizuri kabla hujahitimisha kuhusu tabia au hali ya afya ya akili ya Dr Slaa, ambaye "uwezo wake kiakili unawazidi wabunge 40" put together.
 
Amehongwa na sisiem fedha hizo zitamtokea puani huyo wakili sijua alisoma wapi amekosa uzalendo anataka kuendelea kuya weka mafisadi madarakani jamani kitururu
 
sasa hawa ccm wanaakili kweli au au .............
 
kweli wewe fofo fofo
 

Kama hukumu yako ndio hiyo wa kuwa mgombea ya uRais wa CHADEMA ametembea na mke wa mtu na hivyo aache kugombea, basi sema zaidi kuhusu mgombea wa CCM ambae kuna tuhuma nyingi zaidi ambazo zimeshaandikwa kuhusiana na yeye, kusuiana na mambo hayo hayo.

Je, mwaka 2005, Lipumba alijitoa?
 
. Acheni mjadala wa maji taka hapa twende kwenye hoja ya msingi ya wizi wa mke wa mtu.
Mambo ya kuibiana wake si mambo ya maana!! mambo ya maana ni kujadili ni hatua gani tuzichukue dhidi ya walioiba mali zetu na hawa wanaotaka kuugeuza uongozi wa nchi yetu mali ya koo zao!!
 
Unategenmea umakini kwa chama ambacho katibu mkuu wake ni makamba.?

hiyo thanks niliyokugongea, fanya iwe twice....MAKAMBA ni kiazi,jembe, huyu JK tatizo mbishi sana, wanampigia kelele kila siku hasikii..CCM ni sikio la kufa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…