TANZIA Wakili wa serikali Godfrey Wambari hatunaye tena!

TANZIA Wakili wa serikali Godfrey Wambari hatunaye tena!

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2008
Posts
2,502
Reaction score
741
ni ndugu yangu.

RIP WAMBARI.


wambali.jpg
 
alikuwa akifanyia kituo chake cha kazi kilikuwa wapi?
 
Serikali inashindwa kesi nyingi sana na tunapoteza fedha nyingi kama taifa, huyu marehemu amewahi kusimamia serikali kwenye kesi yoyote akashinda!!?

Nitamtakia RIP au RIA baada ya jibu.
 
Serikali inashindwa kesi nyingi sana na tunapoteza fedha nyingi kama taifa, huyu marehemu amewahi kusimamia serikali kwenye kesi yoyote akashinda!!?

Nitamtakia RIP au RIA baada ya jibu.

Ukishajua halafu? Is it mandatory to comment? Kwa nini usianzishe uzi kuhusiana na serekali kushindwa kesi? R..P Wambali.
 
Serikali inashindwa kesi nyingi sana na tunapoteza fedha nyingi kama taifa, huyu marehemu amewahi kusimamia serikali kwenye kesi yoyote akashinda!!?

Nitamtakia RIP au RIA baada ya jibu.
Braza / sister kuna wakati unahitaji kujipima uwezo wako wa kufikiri,
 
Ukishajua halafu? Is it mandatory to comment? Kwa nini usianzishe uzi kuhusiana na serekali kushindwa kesi? R..P Wambali.

Umemkweza marehemu kwa cv ya uwakili wa serikali, nami nimehoji ufanisi kwenye hicho ulichokusudia kukitumia kuomba huruma yetu, usiweweseke! Kwa maana ya uwakili tutajie kesi aliyowahi kutetea serikali ikashinda.

Laiti ungemtaja kwa jina tu kuwa amefikwa na umauti baada ya kupata ajali ya gari habari ya uwakili isingejitokeza. Haya sema sasa alishinda ama daily kushindwa!!!

Nitamuombea a RIP au a RIA mkinijibu.
 
Umemkweza marehemu kwa cv ya uwakili wa serikali, nami nimehoji ufanisi kwenye hicho ulichokusudia kukitumia kuomba huruma yetu, usiweweseke! Kwa maana ya uwakili tutajie kesi aliyowahi kutetea serikali ikashinda.

Laiti ungemtaja kwa jina tu kuwa amefikwa na umauti baada ya kupata ajali ya gari habari ya uwakili isingejitokeza. Haya sema sasa alishinda ama daily kushindwa!!!

Nitamuombea a RIP au a RIA mkinijibu.
Kwa hiyo siyo wakili, na kumuandika mtu cheo chake ni kumkweza halafu Umeona lakini aliyepost niani mpak unaniamia nimekweza???? ? Kwani kuna ubaya gani mtu kutajwa kwa cheo chake. Akitajwa Dr. Utaanza uluza alitibu wangapi wakapona na wangapi wakafariki? Au walimu ulifundisha wangapi wakauu na wangapi wakafeli? Kuhusu hilo tatizo la kushidwa kesi linafikaje hapa. Nawe kama mwana JF unahaki ya kuanzisha Thread kuhusu tatizo hili sio ungojhee mtu afariki ndio uunganishe!
 
Braza / sister kuna wakati unahitaji kujipima uwezo wako wa kufikiri,

Nawashauri ikiwa nia yenu ni kutangaza msiba wa ndugu yenu msijifungamanishe na serikali, manake inachukiwa kama kinavyochukiwa chama tawala, jipimeni uwezo wenu wa kufikiri, wameshatupiga hela za katiba mpya hao hao waserikali. Mmewahi kuambiwa utafika wakati watu watapatwa hisia za kufukua makaburi ya hawa viongozi waitandike hata mifupa bakora kwa upuuzi unaofanywa na serikali.

Nitamtakia a RIP au a RIA mkinijibu.
Aliwahi kushinda kesi yoyote enzi za uhai wake!!!!
 
Kwa hiyo siyo wakili, na kumuandika mtu cheo chake ni kumkweza halafu Umeona lakini aliyepost niani mpak unaniamia nimekweza???? ? Kwani kuna ubaya gani mtu kutajwa kwa cheo chake. Akitajwa Dr. Utaanza uluza alitibu wangapi wakapona na wangapi wakafariki? Au walimu ulifundisha wangapi wakauu na wangapi wakafeli? Kuhusu hilo tatizo la kushidwa kesi linafikaje hapa. Nawe kama mwana JF unahaki ya kuanzisha Thread kuhusu tatizo hili sio ungojhee mtu afariki ndio uunganishe!

Tafuta utujuze atumishi wake, tujipange kuhudhuria mazikoni, mtuambie mapema kama na yeye aliacha wosia kama wa komba kuwa azikwe na mabuldoza tusije.
 
Tafuta utujuze atumishi wake, tujipange kuhudhuria mazikoni, mtuambie mapema kama na yeye aliacha wosia kama wa komba kuwa azikwe na mabuldoza tusije.
Unataka upeleke nuksi mazikoni?
 
alikuwa akifanyia Dodoma. kwa wewe unayesema kama alishinda kesi au la, kifupi ni kwamba amekuwa wakili wa serikali kwa miaka zaidi ya saba. na kesi hizo mnazosikia kwenye magazeti ni chache sana ambazo ndio zenye msisimko sana. ila kila siku mahakama huwa zinaendelea na zinaendesha kesi maelfu kwa maelfu. hapo sasa utajijibu mwenyewe kama alishinda au la, ila alikuwa senior state attorney tayari.

mawakili wa serikali wanavumilia sana maisha, pamoja na kwamba serikali haiwajali. ndio maana wengi wanaacha kazi na kuwa mawakili wa kujitegemea. kumpoteza wakili mmoja wakati kuwapata ni shida ni hasara kubwa. zaidi ya yote alikuwa mtu wetu wa karibu sana na tumesoma naye. ni majonzi mazito kwa kweli. ajali hizi jamani zinatisha sasa.
Mwili umenisisimuka sana, ni mtu ninayemfamu na hakuwa na makuu, kaka yake ni Jaji Wambali. Poleni sana wafiwa.
 
Umemkweza marehemu kwa cv ya uwakili wa serikali, nami nimehoji ufanisi kwenye hicho ulichokusudia kukitumia kuomba huruma yetu, usiweweseke! Kwa maana ya uwakili tutajie kesi aliyowahi kutetea serikali ikashinda.

Laiti ungemtaja kwa jina tu kuwa amefikwa na umauti baada ya kupata ajali ya gari habari ya uwakili isingejitokeza. Haya sema sasa alishinda ama daily kushindwa!!!

Nitamuombea a RIP au a RIA mkinijibu.

Wakili wa serikali sio hata cheo . . . . .kumkweza mtu maana yake nini haswa??!!!
Uwakili wa serikali sio CV. . . .
Huruma yako we nani. . . . Juu ya nini ambacho sie tuliofiwa tutashindwa kukifanya kwa umoja wetu???!!!
Jina tu peke yake God wako wangapi??!! Wambari wako wangapi, narrowing down the identification ikawekwa "wakili wa serikali" kuondoa wengine wenye majina labda kama hayo! !!!

Roho imekuuma sana kutajwa kazi yake. . . . . ."askari wawili wameuwawa kongowe" kaulize wamekamata wahalifu wangapi na mengineyo!!!!???

Wewe ndio unaweweseka mkuu, jogi kama kweli unataka records zake za kesi mi ntakugharamia kila kitu uende Dodoma ntakupa na mwenyeji soon after easter utapata data yako unayohitaji kuhusu marehemu!!!

RIP kaka Wambari
 
Last edited by a moderator:
God is just and faithful let us not grow weary from worshipping Him!
 
Back
Top Bottom