TANZIA Wakili wa serikali Godfrey Wambari hatunaye tena!

TANZIA Wakili wa serikali Godfrey Wambari hatunaye tena!

Braza / sister kuna wakati unahitaji kujipima uwezo wako wa kufikiri,

Siyo kazi ya wakili kushinda kesi,ni kazi ya wakili kuisaidia mahakama kufikia au kufanya maamuzi ya haki na yasiyo na chembe ya uonevu
 
Kunitaka nikue wakati mimi ni mkubwa huo ndio upumbavu!!!!, Lissu anasifiwa kwa uwakili wake unaojieleza, Marando, Lamwai n.k huyu ndugu yetu tuambieni utumishi wake uliotukuka nasi tushadadie "wakili msomi" kama wanavyomwitaga msando.

Nenda milembe wewe!!,hapa upo kimakosa sawa!
 
Kunitaka nikue wakati mimi ni mkubwa huo ndio upumbavu!!!!, Lissu anasifiwa kwa uwakili wake unaojieleza, Marando, Lamwai n.k huyu ndugu yetu tuambieni utumishi wake uliotukuka nasi tushadadie "wakili msomi" kama wanavyomwitaga msando.
Unaonekana umekua kimwili tu. Ingekuwa akili zako ziko matured usingeandika ----- unaondika f-a-l-a wewe. Wewe unasifiwa kwanini kwenye jamii yako?
 
Huu mjadala sasa unataka kutuondoa kwenye huzuni ya kuondokewa na Wakili msomi.
RIP Wakili.
 
Kama hii taarifa iliwahusu baadhi ya watu jamani si mngewatumia kwa whatsapp tu!!

Mimi hakuna wakili wa serikali nimewahi kusikia kashinda kesi, tunawalipa mishahara ya bure.
Otherwise niambieni nani kashinda kesi??
bwanamdogo, kufiwa afiwe mwenzio tu, yaani sikia kwa mwenzio tu, ukifiwa wewe inauma sana sana. hata haya maneno usingekuwa na uwezo wa kuyatoa, unayatoa kwasababu haujafiwa wewe. Mungu akubariki.
 
Wakili wa serikali sio hata cheo . . . . .kumkweza mtu maana yake nini haswa??!!!
Uwakili wa serikali sio CV. . . .
Huruma yako we nani. . . . Juu ya nini ambacho sie tuliofiwa tutashindwa kukifanya kwa umoja wetu???!!!
Jina tu peke yake God wako wangapi??!! Wambari wako wangapi, narrowing down the identification ikawekwa "wakili wa serikali" kuondoa wengine wenye majina labda kama hayo! !!!

Roho imekuuma sana kutajwa kazi yake. . . . . ."askari wawili wameuwawa kongowe" kaulize wamekamata wahalifu wangapi na mengineyo!!!!???

Wewe ndio unaweweseka mkuu, jogi kama kweli unataka records zake za kesi mi ntakugharamia kila kitu uende Dodoma ntakupa na mwenyeji soon after easter utapata data yako unayohitaji kuhusu marehemu!!!

RIP kaka Wambari

Kama anataka izo data aje mi nipo msibani ntampeleka katika ofisi yake ili apate kupitia nyaraka anazoziitaji.
Lakini watanzania tunakosa weledi katika kusoma harama za nyakati kila mtu yupo sahihi katika kusema na kutoa mtazamo wake baona brother kakurupuka asijue mda huu watu wapo na majonzi.
Af pia aache unafiki kujifanya ana mapenzi kunoga na nchi hii kama alikua anataka kujua hayo yote basi angejitahidi kujua wakati bwana wambari hajafikwa na umauti.
Jitu #jingajinga kabisa
 
Last edited by a moderator:
sasa saa 9 za usiku bwana wakili wa serikali alikuwa anatoka kwenye mahakama gani?!
au labda bwana wakili wa serikali hakuwa na mke au pengine alikuwa na mke ila alitoka kwa mchepuko wake?!
Daah poleni sana wafiwa na bwana wakili pumzika kwa amani

#Zitto
 
Kwa wale waliosoma Jitegemee, kwa mawakili wa serikali wote, wafanyakazi wa mahakama na wananchi wanaomfahamu huyu wakili wa serikali ni kwamba amepata ajali na hatunaye tena.

Inasemekana alikuwa anaendesha saa tisa usiku wa kuamkia leo, kuna lori likamgonga na halikusimama, asubuhi watu wanaangalia kwenye gari iliyopata ajali wanaona kuna mtu ndani hajafa, kumpeleka hospitali ndio akafia hospital.

Alikuwa anafanyia kituo cha Dodoma
.


RIP WAMBARI.
Saa tisa usiku! Hata gari lililomgonga halijulikani. RIP
 
dadangu, basi tu, ajali huwa haipigi hodi. kuna wengine wanarudi home saa kumi na mbili jioni kila siku lakini wanapata ajali vilevile, na hakuna anayeweza kujua kuwa sasa naenda kupata ajali, ingekuwa hivyo angeahirisha safari, tatizo mbele giza, Mungu ndio anajua kitakachotokea mbele yako, si kwa uweza wetu dada. ukiwa hai shukuru Mungu tu, tunasavaivu kwa neema, bila neema kuna majanga mengi yametuzunguka wala tusingekatisha hata dakika.
Ni kweli lakini pia kuna matendo huwa yanakaribisha vifo.kuna wakaka kama wawili kila mmoja kwa siku yake walipata ajali wakiwa wamelewa ,njiani wanarudi majumbani mwao usiku wa manane.Sijamsemea Godfrey ila nilitaka kuwakumbusha tu wakaka walio hai.
 
Mkuu OLESAIDIMU, nikupe pole, nasema pole sana kwa usumbufu ulioupata kutokana na post zangu, ukiirejea katiba ya nchi yetu tunayoitumia kipo kifungu kinaelekeza kulinda na kuendeleza mila na tamaduni zetu.

Haya makabila yanautani, ambao ni desturi katika mila za makabila husika, Nimelazimika kukutegulia kakitendawili haka maana maneno yangu ilikuwa na bado lengo lake ni kukupunguzieni fikra za moja kwa moja kuhuau pengo mlilolipata kwa kuondokewa na mpendwa ndugu yenu, fikra ambazo zikiachwa ku build up zinaweza kusababisha kiharusi kwa baadhi ya wanandugu.

Usini charactarize kuwa mimi ni mnyama ingawa ni kweli mimi ni mnyamala.
RIP WAKILI WA SERIKALI

Tumepoa jogi, Mungu ndiye muweza wa yote!!!

Maisha yaendelee mkuu
 
Last edited by a moderator:
Serikali inashindwa kesi nyingi sana na tunapoteza fedha nyingi kama taifa, huyu marehemu amewahi kusimamia serikali kwenye kesi yoyote akashinda!!?

Nitamtakia RIP au RIA baada ya jibu.

Wewe ni ******* mkubwa sana
 
umemkweza marehemu kwa cv ya uwakili wa serikali, nami nimehoji ufanisi kwenye hicho ulichokusudia kukitumia kuomba huruma yetu, usiweweseke! Kwa maana ya uwakili tutajie kesi aliyowahi kutetea serikali ikashinda.

Laiti ungemtaja kwa jina tu kuwa amefikwa na umauti baada ya kupata ajali ya gari habari ya uwakili isingejitokeza. Haya sema sasa alishinda ama daily kushindwa!!!

Nitamuombea a rip au a ria mkinijibu.

maombiyako hatasiku moja ayajawahi.kusikilizwa namungu


unataka uombenini kwamarehemu iwapo wemzima ujibiwi
 
Saa tisa usiku! Hata gari lililomgonga halijulikani. RIP[/SIZE][

Satisa anatokabar..harusini..au njiapanda usiulizewapi...nakamaharusini akuwanamke...Else familiakwanini aitenge.. embuchinguzeni
 
Nawashauri ikiwa nia yenu ni kutangaza msiba wa ndugu yenu msijifungamanishe na serikali, manake inachukiwa kama kinavyochukiwa chama tawala, jipimeni uwezo wenu wa kufikiri, wameshatupiga hela za katiba mpya hao hao waserikali. Mmewahi kuambiwa utafika wakati watu watapatwa hisia za kufukua makaburi ya hawa viongozi waitandike hata mifupa bakora kwa upuuzi unaofanywa na serikali.

Nitamtakia a RIP au a RIA mkinijibu.
Aliwahi kushinda kesi yoyote enzi za uhai wake!!!!
Aliwahi kumshinda babaako
 
R.I.P brother Godfrey Wambali.Very sad.
 
Back
Top Bottom