Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,518
- 6,506
Wewe utakuwa ni hutu tuwakili twenye supp. Kibao pale Law school. Hebu rejea hutuba ya Waziri wa sheria Bunge liloisha juzi ujue ni kesi ngapi serikali imeshinda. Halafu na wewe useme ni zipi serikali imeshindwa.Umemkweza marehemu kwa cv ya uwakili wa serikali, nami nimehoji ufanisi kwenye hicho ulichokusudia kukitumia kuomba huruma yetu, usiweweseke! Kwa maana ya uwakili tutajie kesi aliyowahi kutetea serikali ikashinda.
Laiti ungemtaja kwa jina tu kuwa amefikwa na umauti baada ya kupata ajali ya gari habari ya uwakili isingejitokeza. Haya sema sasa alishinda ama daily kushindwa!!!
Nitamuombea a RIP au a RIA mkinijibu.
Tafuta utujuze atumishi wake, tujipange kuhudhuria mazikoni, mtuambie mapema kama na yeye aliacha wosia kama wa komba kuwa azikwe na mabuldoza tusije.
Tafuta utujuze atumishi wake, tujipange kuhudhuria mazikoni, mtuambie mapema kama na yeye aliacha wosia kama wa komba kuwa azikwe na mabuldoza tusije.
Wakili wa serikali sio hata cheo . . . . .kumkweza mtu maana yake nini haswa??!!!
Uwakili wa serikali sio CV. . . .
Huruma yako we nani. . . . Juu ya nini ambacho sie tuliofiwa tutashindwa kukifanya kwa umoja wetu???!!!
Jina tu peke yake God wako wangapi??!! Wambari wako wangapi, narrowing down the identification ikawekwa "wakili wa serikali" kuondoa wengine wenye majina labda kama hayo! !!!
Roho imekuuma sana kutajwa kazi yake. . . . . ."askari wawili wameuwawa kongowe" kaulize wamekamata wahalifu wangapi na mengineyo!!!!???
Wewe ndio unaweweseka mkuu, jogi kama kweli unataka records zake za kesi mi ntakugharamia kila kitu uende Dodoma ntakupa na mwenyeji soon after easter utapata data yako unayohitaji kuhusu marehemu!!!
RIP kaka Wambari
Nawashauri ikiwa nia yenu ni kutangaza msiba wa ndugu yenu msijifungamanishe na serikali, manake inachukiwa kama kinavyochukiwa chama tawala, jipimeni uwezo wenu wa kufikiri, wameshatupiga hela za katiba mpya hao hao waserikali. Mmewahi kuambiwa utafika wakati watu watapatwa hisia za kufukua makaburi ya hawa viongozi waitandike hata mifupa bakora kwa upuuzi unaofanywa na serikali.
Nitamtakia a RIP au a RIA mkinijibu.
Aliwahi kushinda kesi yoyote enzi za uhai wake!!!!
kuna harufu kama wewe uishawahi kupambana na mawakili wa serikali wakakuburuta mahakamani ndio maana una chuki na kusikia jina hilo. hata hivyo msg haikuwa directed kwako, taarifa iliwahusu wale wanaomfahamu na wenye mapenzi mema tu wewe haupo kwenye kundi hilo hivyo unaweza kusepa tu hii thread haikuhusu. tambaaa
Kwa wale waliosoma Jitegemee, kwa mawakili wa serikali wote, wafanyakazi wa mahakama na wananchi wanaomfahamu huyu wakili wa serikali ni kwamba amepata ajali na hatunaye tena.
Inasemekana alikuwa anaendesha saa tisa usiku wa kuamkia leo, kuna lori likamgonga na halikusimama, asubuhi watu wanaangalia kwenye gari iliyopata ajali wanaona kuna mtu ndani hajafa, kumpeleka hospitali ndio akafia hospital.
Alikuwa anafanyia kituo cha Dodoma.
RIP WAMBARI.
View attachment 240166
Bila shaka wew Huna Dini na kama una dini DINI HIO HAIJAKUAANDAA VZRII,NA KAMA IMEKUANDAA BASI UNA MATATIZO YA AKILI,NA WATU KUENDELEA KUBISHANA NA WEWE NTAWAONA NAO MACHIZI tu,HIO DINI YAKO NI HATARI SANA!!
Askari wa Kongowe wameuwawa wakiwa kazini
Acha upumbavu. Grow up.Serikali inashindwa kesi nyingi sana na tunapoteza fedha nyingi kama taifa, huyu marehemu amewahi kusimamia serikali kwenye kesi yoyote akashinda!!?
Nitamtakia RIP au RIA baada ya jibu.
Kama hii taarifa iliwahusu baadhi ya watu jamani si mngewatumia kwa whatsapp tu!!kuna harufu kama wewe uishawahi kupambana na mawakili wa serikali wakakuburuta mahakamani ndio maana una chuki na kusikia jina hilo. hata hivyo msg haikuwa directed kwako, taarifa iliwahusu wale wanaomfahamu na wenye mapenzi mema tu wewe haupo kwenye kundi hilo hivyo unaweza kusepa tu hii thread haikuhusu. tambaaa
Acha upumbavu. Grow up.
Mkuu kweli una ulazima wa kufanya haya kipindi hiki??!!!