CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
ingekuwa nchi za maana hao jamaa sasa hivi soko la hisa wangekuwa wanapumulia mashine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Jamii forum hawakutoa taarifa za mteja wao walipotakiwa kufanya hivyo na wezi wa ccm?
Ficha basi ujinga wako, Sasa hivi Dunia inapambana na haki ya ulinzi wa Siri za mteja kwenye ulimwengu wa tekinaolojia ya habari na mawasiliano ndio maana watu kama Edward Snowden dunia inawaangalia kama mashujaa sio wahalifuKwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Kuna haja ya Jf kuwa na utaratibu wa kuingia bila kutumia haya mamitandao yaoMaxence Melo alisimama imara pamoja na kulazwa lupango kwa wiki kadhaa kutetea haki ya wanachama wa JF.
Hizi requirements zinataratibu zake haziko kiholela, kinachogomba hapa hizo taratibu hazikufutwafulani ya simu n moja ya requirement na ulishakubali unapoanzisha kampuni unazani tigo wafanye nn?
Jamaa kakutana na wajuvi wa sheria sasa kajivua nguoWew mburula Kingai huna ujualo kaa utulie Kibwetele. Huyo wakili kihiyo wa tigo amekiri Mahakamani kuwa hakuna barua aliyopewa na polisi inayo omba afanye uchunguzi kwa kosa fulani. Na hata yeye barua aliyo ijibu pia haioneshi kuwa amechunguza na kubaini makosa hayo.
Ndio maana wanamuuliza kwa nini unatoa taarifa za wateja pasipo na sababu za kisheria.
Umoja ni nguvu na peoples power haijawahi kushindwaDawa ni kujitoa tu tuone kama atapata hata huo mshahara.
Sasa wapinzani wakiamua kujitoa huko si ndiyo watabaki kama ttcl?Hii kesi inaenda kufichua mengi.
Alafu pia inaonekana watanzania tunadharaulika sana, huyo jamaa ameropoka hivyo akijua wateja wao hawawezi kuchukua maamuzi yoyote ya kuitikisa kampuni.
Watanzania wengi wanaweka ushabiki kwenye kila jambo.
Huyo ni mpiga zumari tu wa lumumba hana ajuwaloWewe ni MJINGA unajua utaratibu wakupata hayo mawasiliano kwa mhalifu...sheria simmetunga wenyewe kama hamzitaki kwanini msizifute
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Kila nchi na utaratibu waoSheria za US zinaruhusu kampuni za simu kutoa siri za wateja, au ndo ushalishwa matango pori lumumba
Gaidi ni Hamza mwana ccmSasa wewe, iwapo mtu na genge lake wanataka kupindua nchi, raia mwema akatoa siri na achilia mbali kampuni zikagundua kuna mpango wa kufanya vitendo viovu. Ina maana hiyo kampuni ya mawasiliano ikae kimya kisa eti wana linda siri za mteja?? kweli nyumbu mumechanganyikiwa. Mr DJ ni gaidi
Hayo maMtu kila kitu mpaka wapate taarifa Lumumba hawataki kushughulisha bongo zao kusaka taarifaHuyo ni mpiga zumari tu wa lumumba hana ajuwalo
Ya hovyo tu hayo ni ya kuyadharauHayo maMtu kila kitu mpaka wapate taarifa Lumumba hawataki kushughulisha bongo zao kusaka taarifa
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Aliulizwa Kama alijua kuwa aliyeletewa namba achunguze Kama ni mwalifu kadai yeye hakujua Kama anamchunguza mhalifu.Kwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.