Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Unazungumzia Ulaya ipi?!Kwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazungumzia Ulaya ipi?!Kwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Duh! Hatuko safe kabisa kumbe nchi hii. Inawezekana hata HAPA JF pia ndio hivyo hivyo.Wakati nchi nyingi makampuni ya mawasiliano yakiwa yanaweka kipaumbele sana kwenye usiri wa taarifa za wateja wao, hapa kwetu hali ni tofauti kabisa.
Hilo limethibitishwa leo na Wakili Msomi Fred Kapara, ambaye ni Wakili wa Kampuni ya Tigo, alipoulizwa Mahakamani wakati akitoa ushahidi katika kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa CHADEMA na wenzake wanne, kwamba kati ya Utii kwa mamlaka na Usiri wa taarifa za wateja kipaumbele kwao ni nini, bila kupepesa macho akajibu Utii (Compliance) kwao ndiyo kipaumbele (Priority) zaidi.
Sasa majibu ya kwanini kumekuwepo na uzimaji wa baadhi ya mitandao ya kijamii na kupanda mara dufu kwa gharama za bando za data yameshapatikana. Sababu kubwa ni kwamba huko kwenye hizo social networks zingine kwao Privacy za Wateja ndiyo Priority hivyo mamlaka zitashindwa kupata kile wanakitaka kwa urahisi.
Hii kesi mpaka waje wamalizike mashahidi wote 24 tutakuwa tumeshapata siri nyingi sana ambazo raia wa kawaida tulikuwa tunafichwa.
View attachment 1995845
Kwako Wewe kutuma laki 5, kupitia Tigo, ni uovu?! Ameulizwa kuna kosa limeahinishwa kwenye barua ya kuomba hizo taarifa, akasema hakuna! Jiulize alitoaje taarifa za mteja ‘kibwege’ hivyo, kisa ni polisi wanataka?! Au siku wakiku-huck Wewe ndo utapata akili?!Yani inamaana pamoja na kujinasibu kama watu wanaozijua Sheria, hawakuwa wanajua kama mamalaka zimepewa uwezo huo pale inapolazimu? Na kwa hii kesi ilikuwa ni lazima kuexpose ushahisi wowote unaoweza kurahisha kesi, maana kama ushahidi mzuri wa kuthibitisha makosa ulikuwa unapatikana huko, huwezi kuuacha kwa kigezo cha privacy.
Ningeona wamefaya makosa kama wangefatilia taarifa za siri ambazo hazihusiani kabisa na makosa anayokabiliwa nayo mtuhumiwa, kosa ni kosa tu liwe ni la kifichoni au la wazi.
Nadhani ni kwakua inang'ata kwao ndomaana hawakutaka taarifa za uovu wa jamaa yao zivujishwe.Angekuwa ni Sabaya hapo, ungeona hoja tofauti kabisa kwenye mitandao.
Hapa hakuna ujinga huo, Melo alikubali kuteseka kwa ajili yetuDuh! Hatuko safe kabisa kumbe nchi hii. Inawezekana hata HAPA JF pia ndio hivyo hivyo.
Unaweza ukakuta ndo kapachikwa pale na system hata kama position yake siyo kubwa.Umempendelea sana huyo ngedere kwa kumuita Wakili Msomi! Anaulizwa maswali mengine anajikanyaga kanyaga tu! Halafu eti ni Mwanasheria wa kampuni kubwa kama tigo!
Jamii Forums tuko safe sana! Na shukrani za kipekee zimwendee huyu Mzalendo wa kweli Maxence Melo!Duh! Hatuko safe kabisa kumbe nchi hii. Inawezekana hata HAPA JF pia ndio hivyo hivyo.
Majibu haya hayana afya sana kwa kampuni husika. Ingekuwa huko Dunia ya kwanza hii kampuni ingepoteza wateja sanaImagine wakili wa Tigo anadai kuwa siyo kazi ya Tigo kulinda privacy ya mteja!🚶🚶🚶
View attachment 1995874
Mnatabia ya kuchambua kamstri kamoja na kukasimamia ili kutafuta uchochoro wa kutokea, bila kusimamia hoja yote niliyoandika.Kwa kwako Wewe kutuma laki 5, kupitia Tigo, ni uovu?! Ameulizwa kuna kosa limeahinishwa kwenye barua ya kuomba hizo taarifa, akasema hakuna! Jiulize alitoaje taarifa za mteja ‘kibwege’ hivyo, kisa ni polisi wanataka?! Au siku wakiku-huck Wewe ndo utapata akili?!
Jf wakiulizwa kuhusu mimi wanaweza kutetea kwakua, hata kama niliweka info zangu bado ni ngumu kwa mtu aliye nje ya mfumo wa Jf kutambua kuwa zile info ni zangu.Kwamfano, hata kama Mbowe au SHH ni ngumu sana kujua moja kwa moja kuwa SSH anatumia I'd fulani kwahiyo unajua ngumu kumpoint mtu directly.Fake id
Inazuia utambulisho wako kwa member wenzio ila info zipo
Kwani wewe ulijiungaje Jf?
Barua haikuandikwa kosa,alipokea yeye,aka print majibu yeye,akaenda mahakamani yeye kutoa ushahidi.Jambo la pili la kuangalia ni kuwa alielezwa ya kuwa makao makuu ya Tigo yapo jirani na ofisi za usalama wa Taifa na akakubali!!!Umeelewa lakini.....Kwani Chadema ingekuwa nyie ndo wamiliki wa Tigo TZ alaf serikali ikaja inamtuhumu mtu mngegoma kutoa ushirikiano?
Kumbukeni tu jinai ni mambo yanaweza kuhatarisha usalama wa nchi na hiyo serikali inayoomba hizo data ndiyo imekupa leseni.
Chadema mngegoma kutooa hizo taarifa ingekuwa nyie ndo Tigo TZ?
Kuna alot of people huko nje ambao hawajui hata kama Mbowe ana kesi, seuze hili sakata la Tigo?Majibu haya hayana afya sana kwa kampuni husika. Ingekuwa huko Dunia ya kwanza hii kampuni ingepoteza wateja sana
Siyo Wewe tu, shahidi wa leo amekuja kuiambia mahakama kwamba Mbowe alituma laki 5! Mnang’ng’ania ni za ugaidi, kwa kigezo gani? Huyu shahidi yenu amehusishaje hiyo laki 5 na ugaidi?Mnatabia ya kuchambua kamstri kamoja na kukasimamia ili kutafuta uchochoro wa kutokea, bila kusimamia hoja yote niliyoandika.
Kwahiyo hapo umeona wapi nimeandika kutuma 500K ni kosa???
Kutuma 500K sio kosa,swala ni unatuma laki tano ili kifanikisha shughuli gani?? Kama kwenye kesi imesemekana kuwa kuna kiasi kilichotumwa kwaajili ya kitu fulani, kuna ubaya gani mahakama ikithibitusha ili kujua kama ni kweli Mbowe anasingiziwa?
Kazi katafute huko hukoTIGO INATHAMINI NA KULINDA SIRI ZA MTEJA ZISIZO ZA KIHALIFU
Tigo naombeni kazi.
Nae huyo ni mwanasheria! Lazima nimshangae; aliamua kutumiwa na tanpol au mwajiri wake??Kwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.
Nafikiri sio kazi yangu kuthibitisha hilo, wewe kama unataarifa zaidi kuhusu hilo unaweza kuweka hapa ili kila mtu asome.Siyo Wewe tu, shahidi wa leo amekuja kuiambia mahakama kwamba Mbowe alituma laki 5! Mnang’ng’ania ni za ugaidi, kwa kigezo gani? Huyu shahidi yenu amehusishaje hiyo laki 5 na ugaidi?
Watunga sheria wetu hawaoni shida hii ndani ya jamii, mpaka siku speaker mahojiano yake na kimada chake yavuje ndio wataona tatizo linalohitaji sheria mahususi.Nchi nyingine Wana sheria Kali za data protection na lazima kuingia makubaliano kati ya pande mbili, ila bongo swala la data protection inabidi liende bungeni maana watu wanaingilia privacy za watu kimasihara sihara tu na hamna Cha kuwabana
Mjinga weweChama cha magaidi wanalia na kusaga meno
Hao Chadema ni wapumbavu tu. Mbona kwenye kesi wa Ole Sabaya walikuwa wanasherehekea Voda walipokuwa sana "comply"? Sasa imekuja kwa Mbowe wanajifanya kushangaa? Wapumbavu kweri kweri.Kwa maana hiyo chadema walitaka hata mtu mwovu akitumia mtandao ALINDWE TU NA UOVU kwa kuwa sheria ya usiri na faragha inamlinda.
#Hata ulaya hakuna kitu ya namna hii.