Wakili wa Tigo adai kwao Compliance (Utii) kwa mamlaka ni kipaumbele kuliko Privacy (faragha) za Wateja

Wakili wa Tigo adai kwao Compliance (Utii) kwa mamlaka ni kipaumbele kuliko Privacy (faragha) za Wateja

Kampuni ya tigo imejitia doa sana ambapo itawachukua muda mrefu sana kurudisha imani kwa wateja zao ambayo wameipoteza
Kisa kukubali kutumiwa na watawala
 
Fikiria tu, kampuni inatumia mabilioni ye fedha kila mwaka ili itengeneze brand yake kwa wananchi. Lengo ikiwa ni wananchi waiamini na waipende ili waendelee kutumia huduma zake ili kampuni iendelee nayo kutengeneza pesa na faida.

Ghafla, anatokea mtu tu ndani ya kampuni, kwa kushindwa kwake kuelewa the value of brand, anajikuta anatia doa na kuharibu kabisa image ya kampuni, ki urahisi rahisi tu ndani ya masaa machache.. just like that!!

Anashindwa tu kutumia akili yake kujibu maswali diplomatically ili kulinda image na brand ya kampuni, kitu ambacho kingewezekana kabisa kufanyika.

Mtu huyu huyu anaamka kesho anaenda kazini kula kiyoyozi kwa mwajiri aliyemchafua??

Technically, ame destroy billions of value just kwa maneno yake. Watu wa branding mtanielewa. Haileti picha nzuri.

Napenda sana binadamu wenzangu, najua ana familia.. ila mi sio muumini wa "uzembe"..

Sitashangazwa mtu kama huyu asipokuwepo kazini tena.

Corporate world nnayoifahamu mimi, haitamuacha huyu mtu.

Akatafute tu ugali pengine.

Over
 
Fikiria tu, kampuni inatumia mabilioni ye fedha kila mwaka ili itengeneze brand yake kwa wananchi. Lengo ikiwa ni wananchi waiamini na waipende ili waendelee kutumia huduma zake ili kampuni iendelee nayo kutengeneza pesa na faida.

Ghafla, anatokea mtu tu ndani ya kampuni, kwa kushindwa kwake kuelewa the value of brand, anajikuta anatia doa na kuharibu kabisa image ya kampuni, ki urahisi rahisi tu ndani ya masaa machache.. just like that!!

Anashindwa tu kutumia akili yake kujibu maswali diplomatically ili kulinda image na brand ya kampuni, kitu ambacho kingewezekana kabisa kufanyika.

Mtu huyu huyu anaamka kesho anaenda kazini kula kiyoyozi kwa mwajiri aliyemchafua??

Technically, ame destroy billions of value just kwa maneno yake. Watu wa branding mtanielewa. Haileti picha nzuri.

Napenda sana binadamu wenzangu, najua ana familia.. ila mi sio muumini wa "uzembe"..

Sitashangazwa mtu kama huyu asipokuwepo kazini tena.

Corporate world nnayoifahamu mimi, haitamuacha huyu mtu.

Akatafute tu ugali pengine.

Over
Kafanya nini huyu
 
Hata baki salama wanaenda kumuondoa mana alicho kiongea leo, ni hatari sana, kwanza aliulizwa amtaje aliye sajili line ya tigo akasema hamji, haya line ilisajiliwa wapi anasema hajui anachotaka kusma ni kwamba tigo haina data za kutosha kuhusu wateja wake na haituni privacy ya wateja wake.
Fikiria tu, kampuni inatumia mabilioni ye fedha kila mwaka ili itengeneze brand yake kwa wananchi. Lengo ikiwa ni wananchi waiamini na waipende ili waendelee kutumia huduma zake ili kampuni iendelee nayo kutengeneza pesa na faida.

Ghafla, anatokea mtu tu ndani ya kampuni, kwa kushindwa kwake kuelewa the value of brand, anajikuta anatia doa na kuharibu kabisa image ya kampuni, ki urahisi rahisi tu ndani ya masaa machache.. just like that!!

Anashindwa tu kutumia akili yake kujibu maswali diplomatically ili kulinda image na brand ya kampuni, kitu ambacho kingewezekana kabisa kufanyika.

Mtu huyu huyu anaamka kesho anaenda kazini kula kiyoyozi kwa mwajiri aliyemchafua??

Technically, ame destroy billions of value just kwa maneno yake. Watu wa branding mtanielewa. Haileti picha nzuri.

Napenda sana binadamu wenzangu, najua ana familia.. ila mi sio muumini wa "uzembe"..

Sitashangazwa mtu kama huyu asipokuwepo kazini tena.

Corporate world nnayoifahamu mimi, haitamuacha huyu mtu.

Akatafute tu ugali pengine.

Over
 
Wananchi tuache lawama kwa makampuni..... haya ni matokeo ya siasa mbaya. Kampuni zote duniani zinafuata sheria za nchi husika; na kama wanaona ni mbaya wanatakiwa kufunga biashara.

Mbaya hapa sio mtandao wa Tigo, mbaya ni CCM na serikali yake.
 
Fikiria tu, kampuni inatumia mabilioni ye fedha kila mwaka ili itengeneze brand yake kwa wananchi. Lengo ikiwa ni wananchi waiamini na waipende ili waendelee kutumia huduma zake ili kampuni iendelee nayo kutengeneza pesa na faida.

Ghafla, anatokea mtu tu ndani ya kampuni, kwa kushindwa kwake kuelewa the value of brand, anajikuta anatia doa na kuharibu kabisa image ya kampuni, ki urahisi rahisi tu ndani ya masaa machache.. just like that!!

Anashindwa tu kutumia akili yake kujibu maswali diplomatically ili kulinda image na brand ya kampuni, kitu ambacho kingewezekana kabisa kufanyika.

Mtu huyu huyu anaamka kesho anaenda kazini kula kiyoyozi kwa mwajiri aliyemchafua??

Technically, ame destroy billions of value just kwa maneno yake. Watu wa branding mtanielewa. Haileti picha nzuri.

Napenda sana binadamu wenzangu, najua ana familia.. ila mi sio muumini wa "uzembe"..

Sitashangazwa mtu kama huyu asipokuwepo kazini tena.

Corporate world nnayoifahamu mimi, haitamuacha huyu mtu.

Akatafute tu ugali pengine.

Over
Atakula alipopeleka mboga,
 
Kapata baraka za mwajiri. Hivi ile ishu ya kususia mtandao wa voda iliishia wapi wanachadema? Maana naona hadi kwenye michango ya chama huwa mnatumia MPESA.
Ngoja tuone kama atapona.. ingekuwa management inajua wangetumia diplomasia kama nilivosema..
 
Back
Top Bottom